TANZIA Kahama: Watu 19 wafariki dunia kwenye ajali inayohusisha trekta, hiace na lorry!

TANZIA Kahama: Watu 19 wafariki dunia kwenye ajali inayohusisha trekta, hiace na lorry!

Uganda walitimua askari barabarani wakabaki wa kuhesabu mmoja mmoja tu lakini suala la ajali ni kitendawili.

Zambia unaweza kutembea kilometers 500 usikutane na askari barabarani zaidi ya watu wa uhamiaji tu na hakuna ajali za kizembe kama hapa kwetu wanapolundikana traffic kila baada ya kilomita 3.

Elimu kwa madereva na wasafiri kwa ujumla ndiyo inaweza kupunguza ajali.

Ama itumike njia ya artificial intelligence ambayo itawaondoa traffic wote barabarani kwakuwa mfumo haudai rushwa kama hawa viumbe.
Hope mkuu mchango wako huu utasomwa na wengi, ajali SIO kazi ya Mungu it's someone fault, wenyeji wa huko pls hii ajali imetokea kwenye Highway?maana trekta halikutakuwa kuwepo hapo, pili hii ni tabia chafu sana,why uweke majani badala ya kutumia triangle 🔺️ ili kuonya other drivers?maana hii triangle 🔺️ ingewekwa kwenye umbali unaokubalika mwenye hiace angeionana ange slow down ,tatizo jingine kubwa magari yetu mengi yapo unroadworthy
 
Wakati si milele na sasa imetimia muda wao wa kurudi kwako Baba. Poleni wana familia
 
Nakumbuka kuna siku moja nilipanda gari kutoka dodoma kwenda mbeya. Ilikuwa usiku kwenye barabara ya mafinga makambako dereva anapitisha gari kwenye matuta kwa spidi abiria tunaruka juu ila tumepiga kimya tu. Nakumbuka wakati huo nilikuwa katika hali ya kutapika nilikuwa nimejikunja kwenye siti ili nijizuie so kwa upande wangu nilishindwa kufanya chochote ila ningekuwa comfortable ningefanya kitu aisee.
Ungefanya nini?
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Ni nadra sana kukuta tela la trekta lina taa za nyuma,kwa hapa bongo nadra sana....hivyo yangepigwa marufuku tu kutembea usiku.
 
Pole kwa wafiwa, Mungu awaponye majeruhi.
Wizara ya mambo ya ndani kwa kutumia jeshi la police la usalama barabarani lifanye msako wa vyombo vyote ambavyo havina sifa ya kuingia barabarani visiingie barabarani.
Binafsi safari za usiku sizipendi kwa sababu vipo vyombo vingi vya usafiri barabarani havina vigezo vya kuwa barabarani. Mfano mdogo tu haya malori mengi yanaharibikia maeneo mabaya sana. Dereva usipokuwa makini unayavaa yakiwa tamepaki.
 
Inanikumbusha boda boda mmoja pale mapinga.
Kuna Lori la cement limetoka kushusha likagongana na gari la maji la afya.njia ikawa imefungwa na hayo magari.ilikuwa usiku sana.yule bwana na haraka zake yuko speed balaa watu wanammulika tochi lakini wapi.asikii Wala haoni akaenda kugonga ubavuni mwa gari la cement akalala juu .na kiuno akateguka.
Tuweni makini madereva mwendo kasi haufai
 
Ni usiku (saa nne) wa kuamkia leo Agosti 9, 2022.

Gari ndogo IST inatokea Kahama fresh, inaelekea Tinde. ikaparamia trekta lilokua mbele limejaza kuni halafu halina taa za nyuma wala reflector. Watu watatu wakafa kwenye IST!

Dereva wa Trekta akakimbia!

Wakati uokoaji unaendelea, ikaja Hiace iko full nyomi full speed, kutoka Kahama kuelekea Tinde.

Kufumba kufumbua mbele (kwenye ajali ya Trekta na IST) wametandaza majani, uokoaji unaendelea. It was too late!

Dereva wa Hiace akapoteza control, akakwepa lile Trekta akaparamia Lori lilikokua limepunguza mwendo kupisha uokoaji upande wa pili wa barabara.

Watu 16 wakafa papo hapo (na dereva akiwemo)!

Jumla watu 19!

Majeruhi 15 wamekimbizwa Hospital ya manispaa ya Kahama.

RPC na RC Shinyanga wamefika eneo la tukio Alfajiri.

View attachment 2318712
So sad,hii ajari imesababisha kifo cha mdogo wangu kwenye hiyo IST,laiti ningemkamata dereva wa hilo trekta,ningemtatua malinda bila kalainishi.
 
Wabongo tunakufa kindezi sana

Siku zote usalama wako unaanzia na wewe

Mwenyewe....

Kwanza tractor zingepigwa maarufuku kutembea usiku
Maana nyingi hazina taa
Wanaziendesha kwa mazoea tu

Ova
 
Inanikumbusha boda boda mmoja pale mapinga.
Kuna Lori la cement limetoka kushusha likagongana na gari la maji la afya.njia ikawa imefungwa na hayo magari.ilikuwa usiku sana.yule bwana na haraka zake yuko speed balaa watu wanammulika tochi lakini wapi.asikii Wala haoni akaenda kugonga ubavuni mwa gari la cement akalala juu .na kiuno akateguka.
Tuweni makini madereva mwendo kasi haufai
Alikufa?
 
Inanikumbusha boda boda mmoja pale mapinga.
Kuna Lori la cement limetoka kushusha likagongana na gari la maji la afya.njia ikawa imefungwa na hayo magari.ilikuwa usiku sana.yule bwana na haraka zake yuko speed balaa watu wanammulika tochi lakini wapi.asikii Wala haoni akaenda kugonga ubavuni mwa gari la cement akalala juu .na kiuno akateguka.
Tuweni makini madereva mwendo kasi haufai
Alafu utakuta huyo boda alikuwa speed hku kaninginiza mguu chini
Kaweka singeli kwa sauti ya juu
Hana habari

Ova
 
Back
Top Bottom