TANZIA Kahama: Watu 19 wafariki dunia kwenye ajali inayohusisha trekta, hiace na lorry!

TANZIA Kahama: Watu 19 wafariki dunia kwenye ajali inayohusisha trekta, hiace na lorry!

Hii ni Mara ya pili eneo la ajali kusababisha ajali sijui why huwa hawaweki Viashairia hata watu wa vibendera Umbali mrefu toka sehemu ya ajali kuwa alert madereva wanaokuja kuwa kuna tukio[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Matrafiki wamerudi Ofisini kupokea mishara ya buree kisa Kinana kasemaa yani ovyooo kabisaaa...!!
 
Ni usiku (saa nne) wa kuamkia leo Agosti 9, 2022.

Gari ndogo IST inatokea Kahama fresh, inaelekea Tinde. ikaparamia trekta lilokua mbele limejaza kuni halafu halina taa za nyuma wala reflector. Watu watatu wakafa kwenye IST!

Dereva wa Trekta akakimbia!

Wakati uokoaji unaendelea, ikaja Hiace iko full nyomi full speed, kutoka Kahama kuelekea Tinde.

Kufumba kufumbua mbele (kwenye ajali ya Trekta na IST) wametandaza majani, uokoaji unaendelea. It was too late!

Dereva wa Hiace akapoteza control, akakwepa lile Trekta akaparamia Lori lilikokua limepunguza mwendo kupisha uokoaji upande wa pili wa barabara.

Watu 16 wakafa papo hapo (na dereva akiwemo)!

Jumla watu 19!

Majeruhi 15 wamekimbizwa Hospital ya manispaa ya Kahama.

RPC na RC Shinyanga wamefika eneo la tukio Alfajiri.

View attachment 2318712
Uliyepiga picha hii huenda nawe utatafutwa ukamatwe.
 
So sad,hii ajari imesababisha kifo cha mdogo wangu kwenye hiyo IST,laiti ningemkamata dereva wa hilo trekta,ningemtatua malinda bila kalainishi.
Ndo ingemrudisha?

Punguzeni Speed kama hamna Taa kali
 
Wabongo tunakufa kindezi sana

Siku zote usalama wako unaanzia na wewe

Mwenyewe....

Kwanza tractor zingepigwa maarufuku kutembea usiku
Maana nyingi hazina taa
Wanaziendesha kwa mazoea tu

Ova
Sio nyingi, zote hazina...

Pita barabara ya Iringa Mbeya utakutana na Power Tiller nyingi kuliko kawaida na hazina Taa, zinakata muda wowote ule
 
Hivi hizi gari zinaendeshwaje, inawezekana vipi dereva huwezi kuona hata mita mia mbili na kufikia hatua ya kuparamia chochote kilichopo barabarani. Nafikiri sifa za kijinga za madereva kujiona mamwamba wa kuendesha magari kwa spidi kali ndo zinamaliza zaidi watu.
 
Tendelee kufata ushauri wa kinana traffic wapunguzwe
 
Hizi ajali pasipo madereva wenyewe kuacha kuendesha kwa mwendo kasi haziwezi kwisha, hatuwezi kutegemea askari wa usalama barabarani kila siku waokoe maisha yetu kama abiria ndani ya mabasi hatuwaambii madereva ukweli wapunguze mwendo.
Askudanganye mtu,maaskari ndo msaada sana,achen kuhusisha Mambo ya siasa kweny uhai wa watu
 
Gari ndogo IST inatokea Kahama fresh, inaelekea Tinde. ikaparamia trekta lilokua mbele limejaza kuni halafu halina taa za nyuma wala reflector. Watu watatu wakafa kwenye IST!

Dereva wa Trekta akakimbia!

Wakati uokoaji unaendelea, ikaja Hiace iko full nyomi full speed, kutoka Kahama kuelekea Tinde.

Kufumba kufumbua mbele (kwenye ajali ya Trekta na IST) wametandaza majani, uokoaji unaendelea. It was too late!

Dereva wa Hiace akapoteza control, akakwepa lile Trekta akaparamia Lori lilikokua limepunguza mwendo kupisha uokoaji upande wa pili wa barabara.
Matrafiki waliojifanya wanazuia ajali hawajui kuwa mtractor yote nchi hayana taa!!
 
Duuh ndugu umeelewa kweli kilichoelezwa na chanzo cha ajali ni nini umeelewa?

Hazina ndio harzad?

Kosa la trekta kutokuwa na taa wala reflector na haya ni makosa yanajirudia rudia sana juu ya hii mitambo haisimamiwi kabisaa
.mwenye hiace hakuwa na tahadhari moto mchibuyu umewawahisha ndugu zetu mbele ya haki na hiyo njia huwa hakuna matuta basi ni kufuta kisahani tena usiku hakuna "watoto yatima wale".

Mwendokasi ni hatari sana ndugu zangu madereva na ajali inazuilika palipo na subira na kuepuka mashindano tuache papara barabarani tu wapi barabarani na pia tahadhari ni muda wote vicheche ni vingi usiku tuwe makini sana.

Poleni ndugu na jamaa zetu huko kahama.
Acha papara kijana hakuna cha ajabu nilichoandika hapo, ni uelewa wako mdogo tu.

Chanzo cha yote ni trekta kutokua na hizo taa na ndicho nilichoongelewa.

Hazina sio hazard, kajifunze alama za uandishi utaelewa ni kwanini hiyo hazina nimeiweka kwenye mabano.

Mwisho kabisa, nakuonya kutoihusisha pombe na kitu chochote kibaya sawa kijana.
 
Natoa pole kwa wafiwa na kwa majeruhi. winston20 , hao majeruhi 15 walikuwa kwenye chombo kipi? Kwa sababu kwa mujibu wa taarifa yako, marehemu watatu (3) wamefia kwenye IST, marehemu kumi na sita (16) wamefia kwenye hio Nissan Caravan unayoita Hiace! Hao 15 walikuwa kwenye trekta ama hilo lori Howo?
 
Hayo matrekta miaka yote yapo njiani hayana taa, huwa hawayaoni!!?
Trekta lisilo na taa na magari mabovu yote huwa yanavizia barabara ikiwa haina traffic ndo wanapita ila tujaribu kufata amri ya kinana traffic waondolewe barabarani huwenda ikawa njia sahihi ya kupunguza ajali madereva tutajisimamia wenyewe
 
ila tujaribu kufata amri ya kinana traffic waondolewe barabarani huwenda ikawa njia sahihi ya kupunguza ajali madereva tutajisimamia wenyewe
Nimependa closure statement yako
 
Ni usiku (saa nne) wa kuamkia leo Agosti 9, 2022.

Gari ndogo IST inatokea Kahama fresh, inaelekea Tinde. ikaparamia trekta lilokua mbele limejaza kuni halafu halina taa za nyuma wala reflector. Watu watatu wakafa kwenye IST!

Dereva wa Trekta akakimbia!

Wakati uokoaji unaendelea, ikaja Hiace iko full nyomi full speed, kutoka Kahama kuelekea Tinde.

Kufumba kufumbua mbele (kwenye ajali ya Trekta na IST) wametandaza majani, uokoaji unaendelea. It was too late!

Dereva wa Hiace akapoteza control, akakwepa lile Trekta akaparamia Lori lilikokua limepunguza mwendo kupisha uokoaji upande wa pili wa barabara.

Watu 16 wakafa papo hapo (na dereva akiwemo)!

Jumla watu 19!

Majeruhi 15 wamekimbizwa Hospital ya manispaa ya Kahama.

RPC na RC Shinyanga wamefika eneo la tukio Alfajiri.

View attachment 2318712
Sio Mwakata hapo?
 
Madareva wengi ni wendawazimu tu

Ova
 
Trekta lisilo na taa na magari mabovu yote huwa yanavizia barabara ikiwa haina traffic
Mkuu asilimia kubwa ya tractor zipo barabarani mchana, wao wanaziona tunapishana nazo, hiece nyingi pia hazina taa na usiku ziko njiani na wao wana magari ya patrol mengi tu, je usiku huo wanakuwa nayo wapi?
 
Back
Top Bottom