KAHAMA: Wezi waiba sadaka msikitini, waacha msiba kwa familia ya mlinzi

KAHAMA: Wezi waiba sadaka msikitini, waacha msiba kwa familia ya mlinzi

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
Screenshot_20230401-142707_1.jpg


Watu wasiojulikana wamemchinja mlinzi aliyekuwa akilinda katika msikiti wa Shree Hindu Mandal Temple uliopo mjini Kahama kisha kuiba sadaka na kuharibu vitu vya thamani vilivyokuwa kwenye msikiti huo na kutokomea kusikojulikana.

Mlinzi huyo aliyefahamika kwa jina la Bakari Karasani (46) ambaye ni mlinzi wa miaka mingi kwenye msikiti huo alichinjwa usiku wa kuamkia March 31 kisha mwili wake kuwekwa nyuma ya msikiti huo.
 
Mbona jengo lenyewe lishajipambanua kuwa ni TEMPLE cha ajabu muandishi anasema ni msikiti sijui waandishi wa Tz wamerogwa na nani....

Msikiti unaweza kuwa temple -

A temple - building for religious worship, especially in religions other than Christianity

Anaposema msikiti, ni sawa, ni sehemu ya tafsiri ya tample, msipende kukosoa tu....
 
Back
Top Bottom