Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Nimeulizia neno msikiti ni lugha gani mkuu na linamaanisha nini???? Sijaulizia temple au sinagogi au masjidTemple ni Hekalu kwa kuswahili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeulizia neno msikiti ni lugha gani mkuu na linamaanisha nini???? Sijaulizia temple au sinagogi au masjidTemple ni Hekalu kwa kuswahili.
Sio waislam hao.Haya huu ndo muda wa kujua kama albadir inapiga kazi au magumashi
View attachment 2572948
Watu wasiojulikana wamemchinja mlinzi aliyekuwa akilinda katika msikiti wa Shree Hindu Mandal Temple uliopo mjini Kahama kisha kuiba sadaka na kuharibu vitu vya thamani vilivyokuwa kwenye msikiti huo na kutokomea kusikojulikana.
Mlinzi huyo aliyefahamika kwa jina la Bakari Karasani (46) ambaye ni mlinzi wa miaka mingi kwenye msikiti huo alichinjwa usiku wa kuamkia March 31 kisha mwili wake kuwekwa nyuma ya msikiti huo.
Shree hindu Mandal ni Wahindu au ni Singh,s au Sikh,s Mkuu?????Maana pakstan wamejaa hawa.Sio waislam hao.View attachment 2572964
Nimeulizia neno msikiti ni lugha gani mkuu na linamaanisha nini???? Sijaulizia temple au sinagogi au masjid
Hapo nimekuelewa mkuu.Msikiti ni neno la kiswahili na maana yake ni nyumba ya kufanyia ibada hasa kwa Waisilamu,
Na hili ndio la Msingi haswaa,,,tunalolisubiri kwa hamuu mnoo!!!Wafiwa pia tunawapa pole,,Mungu awaongoze walimalize salama!!!Haya huu ndo muda wa kujua kama albadir inapiga kazi au magumashi
Yale matakataka yalikojolewa Mbagala yakasababisha maandamano hadi KKOO 2012Haya huu ndo muda wa kujua kama albadir inapiga kazi au magumashi
Ndio kaandika nini hapa?msikiti wa Shree Hindu Mandal Temple
إنَّا لِلَّهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَMlinzi huyo aliyefahamika kwa jina la Bakari Karasani (46) ambaye ni mlinzi wa miaka mingi kwenye msikiti huo alichinjwa usiku wa kuamkia March 31 kisha mwili wake kuwekwa nyuma ya msikiti huo.
Siyo muhimu kujua ila taarifa inatakiwa itolewe kwa usahihi kama wenye nyumba yao ya ibada walivyo andika hapo juuMkuu kwani neno msikiti unajua ni lugha gani na linamaanisha nini???
View attachment 2572948
Watu wasiojulikana wamemchinja mlinzi aliyekuwa akilinda katika msikiti wa Shree Hindu Mandal Temple uliopo mjini Kahama kisha kuiba sadaka na kuharibu vitu vya thamani vilivyokuwa kwenye msikiti huo na kutokomea kusikojulikana.
Mlinzi huyo aliyefahamika kwa jina la Bakari Karasani (46) ambaye ni mlinzi wa miaka mingi kwenye msikiti huo alichinjwa usiku wa kuamkia March 31 kisha mwili wake kuwekwa nyuma ya msikiti huo.
Yale matakataka yalikojolewa Mbagala yakasababisha maandamano hadi KKOO 2012
Walipigwa wakavua kanzu na kubeba biblia
Kuna mtu kashanielewesha,siyo muhimu kwa wewe kunijibu.Siyo muhimu kujua ila taarifa inatakiwa itolewe kwa usahihi kama wenye nyumba yao ya ibada walivyo andika hapo juu
😀 😀 😀unataka vitaa mkuuNlitaka nishangae msikitini wakute sadaka kwamba kanzu za mashehe hazina mifuko au😂😂
Mshaanza ligi wandewa🤣🤣🤣🤣Yale matakataka yalikojolewa Mbagala yakasababisha maandamano hadi KKOO 2012
Walipigwa wakavua kanzu na kubeba biblia
Mshaanza ligi wandewa🤣🤣🤣59. Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Hivyo mnatuchukia kwa kuwa tumemuamini Mwenyezi Mungu na tuliyo teremshiwa na yaliyo teremshwa kabla, na kwa kuwa wengi katika nyinyi ni wapotofu?
(Qur'an 5:59)