Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Kwani we ulitaka kujua au ulitaka kunielewesha mimi? Hapo ndo itakua hatukuelewana samahani kama nimekujibu vibayaKuna mtu kashanielewesha,siyo muhimu kwa wewe kunijibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani we ulitaka kujua au ulitaka kunielewesha mimi? Hapo ndo itakua hatukuelewana samahani kama nimekujibu vibayaKuna mtu kashanielewesha,siyo muhimu kwa wewe kunijibu.
Mm nilitaka kujua mkuu,sasa nikaona labda wewe ndio hukunielewa.Lakini ucjali sisi ndugu hakuna shida.Bila Samahani ndugu yanguKwani we ulitaka kujua au ulitaka kunielewesha mimi? Hapo ndo itakua hatukuelewana samahani kama nimekujibu vibaya
Hacheni chuki na wasukuma kisa mnachuki na Jiwe,Majambazi yote miaka yote wanatokeaga pande za machame huko na kwa mromboo.Wasukuma wana hulka za kishetani kama wahutu.
Shree hindu Mandal ni Wahindu au ni Singh,s au Sikh,s Mkuu?????Maana pakstan wamejaa hawa.
Ina maana nimeuliza ili nieleweshwe mkuu.Au hukusoma vizuri nilichouliza kwa wadau?????Kuhusu miaka ya hizo dini,nadhani Sigh na Sikh zina miaka mingi kuliko ukristo na uislamu.Ni zao la Buddhasim mkuuAcha kupotosha, Hindus na Sikhs ni watu na imani tofauti kabisa, Wahindu ndio mabaniani na Sikhs ndio Masingasinga na Hekalu la Masingasinga linaitwa Guadavara.
Wahindu mwanzilishi wao anaitwa Krishna na Masingasinga Mwanzilishi wao anaitwa Guru Baba Nanak.
Wahindu walikuwepo hata kabla ya Ukristo na Uisilamu haujaanza na Usingasinga umekuja baada ya Uisilamu.
Mkuu umeona alama za kuuliza hizo?????
Ina maana nimeulizwa ili nieleweshwe mkuu.Au hukusoma vizuri nilichouliza kwa wadau?????
Ucjali ndugu yangu.Lakini Kuhusu Sikh,s na Sigh, na Hindu,s hizo dini zina miaka mingi kuliko uislamu na ukristo sababu wakati uislamu na ukristo unaingia bara Hindi tayari ulikuta miliki za kifalme za Wasikh,s na Wahindu na Wasigh,s zipo kwa maelfu ya karne ni zao la dini ya Budha iliyotokea katika miliki za Wanepal.Inabidi ujue Uislamu una miaka mingapi duniani na Ukristo una miaka mingapi duniani.Sorry mkuu nimepitiwa.
Hamna bhana nimesema tu sijamaanisha😂😂😂😀 😀 😀unataka vitaa mkuu
Hivi ni kweli ukoukojolea msahafu unakua chiziau ni maneno tu tunatishiana😂😂😂Yale matakataka yalikojolewa Mbagala yakasababisha maandamano hadi KKOO 2012
Walipigwa wakavua kanzu na kubeba biblia
😂😂😂😂ngoja tuoneHaya huu ndo muda wa kujua kama albadir inapiga kazi au magumashi
Msikiti ni nyumba ya ibada,na zaidi wanaotumia msikiti ni waislamu.Nimeulizia neno msikiti ni lugha gani mkuu na linamaanisha nini???? Sijaulizia temple au sinagogi au masjid
...Mkuu, unajua kweli maana ya Neno KWATU?Nimekutana na wengi wenu mnajifanya wakarimu kumbe roho kwatu. Mna roho mbaya sana.
Kiukweli hata sifahamu kabisa mkuu.Shree hindu Mandal ni Wahindu au ni Singh,s au Sikh,s Mkuu?????Maana pakstan wamejaa hawa.
Asante kwa kunielewesha mkuuMsikiti ni nyumba ya ibada,na zaidi wanaotumia msikiti ni waislamu.
OkKiukweli hata sifahamu kabisa mkuu.
Mkuu mmeua mlinzi aiseeTulia We kibwengo
Nilikuepo pale kizuiani mbagala polisi posti.Kesi ipo hivi ni madogo walikua wanabishana,kua ukikojolea msahafu (Quran) unageuka paka.Basi dogo janja mmoja akakojolea msahafu ila hakugeuka paka.Na madogo janja wengine wakaenda kumsemea kwa wazazi wao na wazazi wakahamasishana kufanya maandamano.Hivi ni kweli ukoukojolea msahafu unakua chiziau ni maneno tu tunatishiana😂😂😂