Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Mkuu una uhakika gani kuwa wezi ni wasukuma?.Wasukuma wana hulka za kishetani kama wahutu.
Kahama hakuna:
Wachaga
Wahaya
Wahaya.
Wamatumbi
Wanyiramba nk?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu una uhakika gani kuwa wezi ni wasukuma?.Wasukuma wana hulka za kishetani kama wahutu.
wako kwenye 'mwezi' mtukufuHaya huu ndo muda wa kujua kama albadir inapiga kazi au magumashi
Acha upumbavu, akili zako zimeathriwa na kula kumbikumbi kama nyoka.Wasukuma wana hulka za kishetani kama wahutu.
Rutagwerera kwahiyo wahutu wanaozungumza kinyarwanda au kinyankole wana hulka za shetani???Wasukuma wana hulka za kishetani kama wahutu.
Povu ruksa. Ila ndiyo ukweli huo.Acha upumbavu, akili zako zimeathriwa na kula kumbikumbi kama nyoka.
Mkuu kwani neno msikiti unajua ni lugha gani na linamaanisha nini???Hiyo ni dini nyingine haiingiliani na uislam hata kidogo na nyumba zao za ibada hawaziiti msikiti, kwahiyo siyo msikiti huo hata hapo juu wameandika shree Hindu mandal Temple
Watusi mna akili za mgando kweli🤣🤣🤣🤣Povu ruksa. Ila ndiyo ukweli huo.
Mkuu ulitaka wahutu wakukarimu na jina lako unaitwa Rutagwerera🤣🤣🤣🤣🤣????Nimekutana na wengi wenu mnajifanya wakarimu kumbe roho kwatu. Mna roho mbaya sana.
Baniani(wahindi),hawana Albadiri(ahalal badir).Haya huu ndo muda wa kujua kama albadir inapiga kazi au magumashi
Ni wahindi wapakstani mkuu wa madhehebu ya wahamadya au shree hindu mandal??????Kwani mwandishi kasemaje mkuu???Hao sio wahindi?
Msikiti unaweza kuwa temple -
A temple - building for religious worship, especially in religions other than Christianity
HekaluHiyo ni dini nyingine haiingiliani na uislam hata kidogo na nyumba zao za ibada hawaziiti msikiti, kwahiyo siyo msikiti huo hata hapo juu wameandika shree Hindu mandal Temple
Temple ni Hekalu kwa kiswahili.Mkuu kwani neno msikiti unajua ni lugha gani na linamaanisha nini???
Baniani hawaswali ijumaa.Wamejitafutia laana ya bure!! Msikitini kuna hela gani sasa maana sadaka ikizidi sana kwa ijumaa moja labda elf 35!
Nafahamu.
Amini nakuambia lazima ni sukuma.
Hawa watu katili sana. Nina uzoefu nao wana pretend u-humble. Shenzi kabisa.