KAHAMA: Wezi waiba sadaka msikitini, waacha msiba kwa familia ya mlinzi

Yale matakataka yalikojolewa Mbagala yakasababisha maandamano hadi KKOO 2012

Walipigwa wakavua kanzu na kubeba biblia
Mkuu hawakufika Kkoo,unawajua FFU au unawasikia.Watu walikula kichapo,ukionekana umevaa kanzu unaunganishiwa msala.Wale asikari wa FFU ni bangi tupu hawana mzaha.
 
😂😂😂😂 Ah kumbe kitabu kinapaishwa tu hakuna lolote asee na dogo yupo mpka leo tena anaweza akawa anakula maisha safi tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ah kumbe kitabu kinapaishwa tu hakuna lolote asee na dogo yupo mpka leo tena anaweza akawa anakula maisha safi tu
Uko kokojolea kitabu ni ukichaa tosha.Mtu mwenye akili timamu,hata awe mdogo wa umri hawezi kukojolea kitabu chochote.
Na anayeshabikia ujinga huu,naye pia itakuwa amepungukiwa na akili,kwa mwenye akili za sawa,hawezi kumshabikia mkichaa,ila naye atakuwa ni kichaa.
 
Mkuu hawakufika Kkoo,unawajua FFU au unawasikia.Watu walikula kichapo,ukionekana umevaa kanzu unaunganishiwa msala.Wale asikari wa FFU ni bangi tupu hawana mzaha.
Sio kweli,unaongea upuzi mtupu,kwa hiyo mwizi akiwa kavyaa suruali na shati,kila aliyevyaa suruali na shati akamatwe hata kama sio mwizi,tumia akili.
 
Mbona kamabimekuuma😂😂😂😂 kanzu imeingia kisubi nn
 
Apumzike kwa Amani Marehemu
 


--Ni hivi; Sikhism inasemwa ilianzishwa na Baba Nanak ina miaka takriban 554.
--Uisilamu una miaka takriban 1400.
--Ukristo una miaka takriban 2000
--Buddhism una miaka takriban 2564 ulianzishwa na Siddhartha Gautama (Budha), hii ni dini inayofuatwa sana na watu wa asia ukiweka kando Uhindu.
--Hinduism una takriban miaka 4000 ulianzishwa na Krishna (huyu wao humchukulia kama ni.mmoja wa miungu yao).
 
Mbona jengo lenyewe lishajipambanua kuwa ni TEMPLE cha ajabu muandishi anasema ni msikiti sijui waandishi wa Tz wamerogwa na nani....
Kwani Kiswahili cha Tempe kwa ujuavyo wewe ni nini hasa?
 
Mbona kamabimekuuma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kanzu imeingia kisubi nn
Ulitumia maneno,bila kutumia akili,badala kuleta wazo la kuwekwa camera za CCTV kwenye sehemu muhimu kama kwenye nyumba za ibada ili kuondoa uhalifu,waleta mambo ya kukojolea vitabu.Kuna matukio karibia matatu ya hivi karibuni kwenye nyumba za ibada:
1.Msichana aliyeuliwa hivi karibuni huko kibaha,akitoka kanisani(nyumba ya ibada)
2.Kuna nyumba ya ibada iliyovunjwa na kuharibiwa vitu vya ibada,abayo ni kanisa(nyumba ya ibada)
3.Na tukio hili la kuibiwa sadaka na kuchinjwa mlinzi,kwenye hekalu la baniani(nyumba ya ibada).
Hapa ni kutoa ushauri nyumba za ibada kuwe na camera za CCTV,zinazoweza hata kuonekana kwenye simu za viongozi wa nyumba hizo za ibada.Na nyumba zinginezo,kama maduka,maeneo ya watu wengi,kuwe pia na CCTV camera.
 
Au sio
 
Ok mkuu asante kwa maelezo yaliyotukuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…