Kaibiwa na Dada poa sasa anaanza upya

The 1st rule:
Kabla hujamleta dada poa kwako, Hakikisha chumba chako/nyumba yako (ina choo ndani. )

2nd rule
Ukimleta dada poa kwako funga milango yote kwa kitasa kasoro mlango wa bafun na choon, afu ficha funguo sehem ambayo hawez kuiona. Ukiona anaulizia funguo basi akili yako ikae attention.

3rd rule
Ukishamgonga, kabla hujamruhusu, hakikisha unakagua mali zako je zpo zote? Always mi huwa naangali je pc yangu ipo? Wallet ipo? Hela zpo vile vile? Je smu ipo?.

Nikijiridhisha vyote vipo basi namfungulia mlango anaenda

NB:Hatupendi kuleta madada poa kwny nyumba zetu/vyumba vyetu lakn some times tunafanya hvyo ili kuepuka garama za guest.

By the way kwa nn niende gest akati home kwangu naish peke angu?
 
Huyu mzee hakai Kigambon kwel? Kuna mzee mmoja namuhisi ana hizi characters.
 
Inahuzunisha sana kuibiwa aisee.

Lakini kwa namna ulivyoisimulia nimebaki nacheka
 
Kila malaya unaemleta umkojoze hapo kitandani alfu siku ya siku mtoto unamtafutia hapo hapo, unadhani watoto wenye tabia shenzii shenzii wanapatikana vip.
 
Kila malaya unaemleta umkojoze hapo kitandani alfu siku ya siku mtoto unamtafutia hapo hapo, unadhani watoto wenye tabia shenzii shenzii wanapatikana vip.
Kwa hyo unatushaurije. Mana tunanunua da poa ili kupunguza garama. Nyie wa mtaan mnapiga mno vizinga yan vocha, gesi, kodi, nguo, chakula, vyote nikununulie mm aaaaaaaaaaah we^eeeee !!! Hapo hapo mi mwnyw sina kaz ya kueleweka. Nategemea nipige harakat ndo npate hela ya kula sku hyo.
 

Unaweza kua unakutana na wanawake wa aina moja kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…