Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 Kaiba hadi nguo za yule dada poa wa week ilopitaHadi soksi? Imagine🤣🤣
Inahuzunisha sana kuibiwa aisee.Moja kwa moja kwenye mada, Ni ndugu yangu mmoja ameshakamata 40 years mpaka Sasa Ana kazi Ni afisa kilimo na mifugo.
Jamaa Ni hataki kusikia habari ya kuoa, Ni baada ya kupigwa tukio na alokua manzi yake miaka mitano ilopita.
Alishangaa tu anaambiwa manzi yake kaolewa na yeye Hana taarifa yoyote na juzi tu wametoka kuwasiliana pia hakukua na ugomvi wowote Kati yao.
Sasa katika miaka yote hio amekua Ni mtu wa kuchakata Dada poa Hana plan yoyote ya maisha hufanya hivyo salary ikitoka au akiwa na pesa kuchacha kwake Ni kawaida ikifika tar 1 Hana kitu anakula msotooo mwezi mzima mpaka atakapokutana na kirungu kingine
Madeni benki na nje😀 yaani kwa kifupi Mambo Ni tafrani toka amepigwa tukio na Yule binti.
Sasa last week aliopoa Dada poa kumbe alikua mwizi wamerudi wamelewa jamaa akapigwa na midawa ya kulevya sijui Ni cocaine au heroine au ugoro bila kujielewa amekuja kuamka saa 7 mchana ndani Hakuna chochote alichoachiwa Ni kitanda alicholalia na vikombe viwili vya chai.
Imagine mtu anaiba adi sufuria
🙂
Tuweni makini
Wanawake wa siku hizi hali ngumuWezi wa siku hizi ni balaa, Ety mwizi anaiba na brash la chooni 🙆🙆🙆🙆
Na chaji ya simu ya kiswawadu
Kila malaya unaemleta umkojoze hapo kitandani alfu siku ya siku mtoto unamtafutia hapo hapo, unadhani watoto wenye tabia shenzii shenzii wanapatikana vip.The 1st rule:
Kabla hujamleta dada poa kwako, Hakikisha chumba chako/nyumba yako (ina choo ndani. )
2nd rule
Ukimleta dada poa kwako funga milango yote kwa kitasa kasoro mlango wa bafun na choon, afu ficha funguo sehem ambayo hawez kuiona. Ukiona anaulizia funguo basi akili yako ikae attention.
3rd rule
Ukishamgonga, kabla hujamruhusu, hakikisha unakagua mali zako je zpo zote? Always mi huwa naangali je pc yangu ipo? Wallet ipo? Hela zpo vile vile? Je smu ipo?.
Nikijiridhisha vyote vipo basi namfungulia mlango anaenda
NB:Hatupendi kuleta madada poa kwny nyumba zetu/vyumba vyetu lakn some times tunafanya hvyo ili kuepuka garama za guest.
By the way kwa nn niende gest akati home kwangu naish peke angu?
Sio wanawake tu, Ety hadi wanaume wanatupga mizinga ukisema sina wanakununiaWanawake wa siku hizi hali ngumu
Tunasave ela ya gest nduguDada poa unampeleka kwako unategemea nini kama sio kuibiwa
Si 50/50 shida ipo wapi?Sio wanawake tu, Ety hadi wanaume wanatupga mizinga ukisema sina wanakununia
Wala me Sina shida na raia yyteSi
Si 50/50 shida ipo wapi?
HhahahahaaaaSi wanasema life begins at 40, mwache aanze upya maisha.
huko tulishastuka tukatoka siku nyingi zilizopita, now Begins @ 60....@80Loading...Si wanasema life begins at 40, mwache aanze upya maisha.
Kwa hyo unatushaurije. Mana tunanunua da poa ili kupunguza garama. Nyie wa mtaan mnapiga mno vizinga yan vocha, gesi, kodi, nguo, chakula, vyote nikununulie mm aaaaaaaaaaah we^eeeee !!! Hapo hapo mi mwnyw sina kaz ya kueleweka. Nategemea nipige harakat ndo npate hela ya kula sku hyo.Kila malaya unaemleta umkojoze hapo kitandani alfu siku ya siku mtoto unamtafutia hapo hapo, unadhani watoto wenye tabia shenzii shenzii wanapatikana vip.
Try me😊Sio wanawake tu, Ety hadi wanaume wanatupga mizinga ukisema sina wanakununia
Ati ati nini?Try me😊
Kwa hyo unatushaurije. Mana tunanunua da poa ili kupunguza garama. Nyie wa mtaan mnapiga mno vizinga yan vocha, gesi, kodi, nguo, chakula, vyote nikununulie mm aaaaaaaaaaah we^eeeee !!! Hapo hapo mi mwnyw sina kaz ya kueleweka. Nategemea nipige harakat ndo npate hela ya kula sku hyo.
Try me, huwa siombi hela😅😅Ati ati nini?