Kaimu Balozi wa Marekani, Dkt. Inmi Patterson kuondoka Tanzania

Mnajua kumtetea mungu wenu muuaji
 
tusifurahi sana huenda ni mikakati yakutulea corona upya maana ushindi wetu dhidi ya corona hawajaupenda kabisa coz umewafanya waonekane ka wajinga
 
Wanajua kumtetea mungu wenu muuaji

Mkuu unaongea majungu huna ushahidi wowote. I am not interested in rumor mongers. Njoo na facts hapa then tujadili kwa uwazi kama ilivyokuwa JF kabla haijauzwa kwa bei ya peremende.
 
Tusifurahie kuondoka kwake maana huenda analetwa hatari zaidi kwakuwa uchaguzi upo jikoni......... Tusubiri tuone!
Hakuna lolote usitutishe ,huyo muda wake umeisha.Tunatamani na wa nchi fulani kubwa naye aondoke kwa sababu ya mienendo yao ya kutaka tufanye wanavyotaka lakini kwa bahati mbaya wakadunda.Tunaomba huyo anayekuja awe hatari zaidi ili naye aijue vizuri Tanzania ya sasa.
 
Sidhani kama unamfahamu Dr. Henry Kissinger, unaongea tu wewe.
 
Hawapo pale kama wanajeshi ila huwa wapo kama moja ya wafanyakazi wa ubalozi wao ila wao ndio wanajijua nani ni nani
 
Hivi unatania au upo seriously? Unaanzaje wewe kujilinganisha na USA? Mna kitu gani nyinyi?
 
Mkuu unaongea majungu huna ushahidi wowote. I am not interested in roomer mongers. Njoo na facts hapa then tujadili kwa uwazi kama ilivyokuwa JF kabla haijauzwa kwa bei ya peremende.
Unaweza kuthibitisha pasi na shaka kuwa baba yako, yaani mme wa mmako ndiye aliyempa mmako mimba yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…