Kaimu IGP Masengeli ahukumiwa kifungo cha miezi 6 jela kwa kudharau Mahakama

Kaimu IGP Masengeli ahukumiwa kifungo cha miezi 6 jela kwa kudharau Mahakama

Ikaria

Member
Joined
Jul 17, 2019
Posts
93
Reaction score
238
Mahakama ya Juu imemhukumu Kaimu Inspekta Jenerali wa Polisi Gilbert Masengeli kifungo cha miezi 6 jela kwa kosa la kudharau mahakama.

IGP alipuuza agizo la mahakama takriban mara 7 la kumtaka kufika mbele ya Jaji Lawrence Mugambi kueleza waliko watu watatu wanaodaiwa kutekwa na maafisa wa polisi katika mji wa Kitengela.

Jaji Lawrence amemtaka IGP kujisalimisha kwa kamishna mkuu wa Magereza mara moja na iwapo atakosa kufanya hivyo basi Waziri wa Mambo ya ndani Kithure Kindiki atoe agizo la kukamatwa kwake na kupelekwa Gerezani.

unnamed.jpg


Pia soma
- Mahakama kutoa uamuzi kuhusu kesi dhidi ya Kaimu IGP wa Kenya wiki ijayo
 
Mahakama ya Juu imemhukumu Kaimu Inspekta Jenerali wa Polisi Gilbert Masengeli kifungo cha miezi 6 jela kwa kosa la kudharau mahakama.

IGP alipuuza agizo la mahakama takriban mara 7 la kumtaka kufika mbele ya Jaji Lawrence Mugambi kueleza waliko watu watatu wanaodaiwa kutekwa na maafisa wa polisi katika mji wa Kitengela.

Jaji Lawrence amemtaka IGP kujisalimisha kwa kamishna mkuu wa Magereza mara moja na iwapo atakosa kufanya hivyo basi Waziri wa Mambo ya ndani Kithure Kindiki atoe agizo la kukamatwa kwake na kupelekwa Gerezani.

View attachment 3094855


Pia soma
- Mahakama kutoa uamuzi kuhusu kesi dhidi ya Kaimu IGP wa Kenya wiki ijayo
Kwa Kenya inawezekana ila kwa Tanzania hiyo inakua comedy.
 
Mahakama ya Juu imemhukumu Kaimu Inspekta Jenerali wa Polisi Gilbert Masengeli kifungo cha miezi 6 jela kwa kosa la kudharau mahakama.

IGP alipuuza agizo la mahakama takriban mara 7 la kumtaka kufika mbele ya Jaji Lawrence Mugambi kueleza waliko watu watatu wanaodaiwa kutekwa na maafisa wa polisi katika mji wa Kitengela.

Jaji Lawrence amemtaka IGP kujisalimisha kwa kamishna mkuu wa Magereza mara moja na iwapo atakosa kufanya hivyo basi Waziri wa Mambo ya ndani Kithure Kindiki atoe agizo la kukamatwa kwake na kupelekwa Gerezani.

View attachment 3094855


Pia soma
- Mahakama kutoa uamuzi kuhusu kesi dhidi ya Kaimu IGP wa Kenya wiki ijayo
Hatafungwa huyo jamaa. Hiyo inaitwa kiinimacho. Kindiki na Ruto bado wapo watamkingia kifua😎😎😎
 
Mahakama Kuu imemhukumu Kaimu Inspekta Jenerali wa Polisi nchini Kenya Gilbert Masengeli, kifungo cha miezi 6 gerezani kwa kosa la kuidharau Mahakama.

Masengeli alitakiwa kufika mahakamani kuelezea waliko watu watatu wanaoaminika kutekwa nyara na Polisi, ambapo alikosa kufika mara 7 Mahakamani.
image-1200x600 - 2024-09-13T135924.482.png
Jaji wa Mahakama Kuu ya Milimani Lawrence Mugambi, ameagiza kifungo hicho cha miezi 6 kuanza baada ya siku 7, huku Masengeli akitakiwa kufika mahakamani ndani ya siku hizo.

Waziri wa Usalama wa Ndani Kindiki Kithure, ameagizwa kuhakikisha kaimu Inspekta Jenerali Gilbert Masengeli anafungwa Jela.
 

Attachments

  • image-1200x600 - 2024-09-13T135924.482.png
    image-1200x600 - 2024-09-13T135924.482.png
    928.1 KB · Views: 7
Mahakama nchini Tanzania imemuongezea muda JAJI MKUU aliyemaliza muda wake Kwa miaka mingine 20
 
#HABARI: Kaimu Inspekta Jenerali wa Polisi nchini Kenya Gilbert Masengeli, amehukumiwa kifungo cha miezi 6 gerezani kwa kosa la kuidharau Mahakama.

Masengeli alitakiwa kufika mahakamani kuelezea waliko watu watatu wanaominika kutekwa nyara na Polisi, ambapo alikosa kufika mara 7 mahakamani.

Jaji wa Mahakama Kuu ya Milimani Lawrence Mugambi, ameagiza kifungo hicho cha miezi 6 kuanza baada ya siku 7, huku Masengeli akitakiwa kufika mahakamani ndani ya siku hizo.

Waziri wa Usalama wa Ndani Kindiki Kithure, ameagizwa kuhakikisha kaimu Inspekta Jenerali Gilbert Masengeli anafungwa Jela.
Au mahakama nao ni hao hao?
 
Kaimu Inspekta Jenerali wa Polisi nchini Kenya Gilbert Masengeli, amehukumiwa kifungo cha miezi 6 gerezani kwa kosa la kuidharau Mahakama.

Inspekta Masengeli alitakiwa kufika mahakamani kuelezea waliko watu watatu wanaominika kutekwa nyara na Polisi, ambapo alikosa kufika mara 7 mahakamani.

Jaji wa Mahakama Kuu ya Milimani Lawrence Mugambi, ameagiza kifungo hicho cha miezi 6 kuanza baada ya siku 7, huku Masengeli akitakiwa kufika mahakamani ndani ya siku hizo.

Waziri wa Usalama wa Ndani Kindiki Kithure, ameagizwa kuhakikisha kaimu Inspekta Jenerali Gilbert Masengeli anafungwa Jela.

SOURCE ITV TANZANIA SOURCE JOHNGERVAS
 
Back
Top Bottom