ntagunga
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 704
- 285
Atakamatwa na nani?Huamini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakamatwa na nani?Huamini?
Mnashangilia nini? Tusubiri utekelezaji IGP akae nondo ndo tuseme. Mhimili gani mkubwa?Hapa kwetu wahaini walio madarakani wanaitana jumba jeupe kupongezana kila baada ya kukamilika mauji na utekaji.
Atajipeleka mwenyeweAtakamatwa na nani?
Utasibiri sanaAtajipeleka mwenyewe
Hakuna hatua yoyote ni ujinga tu. Ameitwa amekataa, hukumu ndo atekeleze? Itabaki hivyo hadi anatoka ofisiniWenzetu kuna hatua wamepiga angalau,siku ikitokea Bongo itakuwa miujiza
Hapo sasaAnaanza lini kifungo
Kuna mengi yanafanyika Kenya huku kwetu hayawezi kutokea leo wala kesho hata uchaguzi wao una nafuu kuliko sisi.Hakuna hatua yoyote ni ujinga tu. Ameitwa amekataa, hukumu ndo atekeleze? Itabaki hivyo hadi anatoka ofisini
Akijipeleka uniombe msamaha😂Utasibiri sana
Haiwezekani hadi aondolewe hadhi ya U IJPMahakama ya Juu imemhukumu Kaimu Inspekta Jenerali wa Polisi Gilbert Masengeli kifungo cha miezi 6 jela kwa kosa la kudharau mahakama.
IGP alipuuza agizo la mahakama takriban mara 7 la kumtaka kufika mbele ya Jaji Lawrence Mugambi kueleza waliko watu watatu wanaodaiwa kutekwa na maafisa wa polisi katika mji wa Kitengela.
Jaji Lawrence amemtaka IGP kujisalimisha kwa kamishna mkuu wa Magereza mara moja na iwapo atakosa kufanya hivyo basi Waziri wa Mambo ya ndani Kithure Kindiki atoe agizo la kukamatwa kwake na kupelekwa Gerezani.
Pia soma
- Mahakama kutoa uamuzi kuhusu kesi dhidi ya Kaimu IGP wa Kenya wiki ijayo
Gari za serikali ni zipi?Kwa tz haiwezekani.wewe ona tu mzee kibao katekwa hadharani na askari waliokuja na gari za serikali na kwenda kumuua lakini Hadi Sasa hawajawajibishwa
Ni Kenya wanakojitambua bro sio kule kwa Wagagagigikokostori ya kina shigongo hii
Hao Askari waliomteka huyo mzee Kibao inavyoonekana siyo Askari Polisi bali ni Askari Jeshi wa kutoka TISS. Hiyo ilikuwa ni Abduction Squad ya TIss, na inavyoomekana huyo mzee Kibao kabla ya kutekwa ilikuwa tayari alishafanyiwa Surveillance ya kutosha kabisa.Kwa tz haiwezekani.wewe ona tu mzee kibao katekwa hadharani na askari waliokuja na gari za serikali na kwenda kumuua lakini Hadi Sasa hawajawajibishwa
Na sipojipeleka, wewe utafanya nini chief? Ugomvi wa mihimili huo, hadi Rais amtengue hapo sawaAkijipeleka uniombe msamaha😂
Hauwasaidiiii chochote nakuambia. Wanaishia kusema tu. Hakuna nchi ina ufisadi kama Kenya EA hiiKuna mengi yanafanyika Kenya huku kwetu hayawezi kutokea leo wala kesho hata uchaguzi wao una nafuu kuliko sisi.