Mwizi huyo aliyeiba Hazina yeye bado ana walinzi . . , labda akishatoka kwenye utukufu wake ndio atashughulikiwa . .Iliyeiba Tsh 2.7 Bil hazina na Kuwahonga Wabunge wa CCM, Je yeye tumlaze chini au tumpigishe Magoti? Maana Mwizi ni Mwizi.
Ipo na wewe zamu yako shabikia tu Kama Nape!Wanafiki katika ubora wenu. Wamechutama tu mnalialia na kuleta UZANDIKI hapa, Je wakipigwa mikwaju 12 wakati wanaingia na 12 wakati wa kutoka si ndio mtajitapakaza inyee mwili mzima.
Thank you!wezi wa kuku wakidhalillishwa sawa tu ila kwa rugemalila ni udhalilishaji nyie wabongo kwa kujipendekeza ni mabingwa
Huu ni unafiki tu NAZANI kuna kitu nyuma yenu hayo mambo yanafanyika ktk mahakama zote tu..Leo mmekula Pesa zao mnaanza kuwatetea ooh wamedhalilishwa daaah!jiandaeni kisaikolojia tu na kuwapelekea chaiBora Paskali umelisisitiza hilo, kama mwahabari, na kulikemea. Inadhihirisha ni kwa jinsi gani tunavyotumia vibaya uhuru wa mawazo kutoa na kupata habari, hasa wakati huu wa utitiri wa social media.
Zaidi ya hilo Kuna watu wanataka waadhibiwe pasipo kuhukumiwa maana wamekwisha kuwahukumu kabisa. Hata baadhi wa wanasiasa na tena wanasheria wanataka, ambao wanawahisi wameshiriki, nao wakamatwe. . Hakika hii ni Nchi ya watu wa kujua kila kitu.
Mungu Ibariki Tanzania, kwenye utawala huu tusikia na kuona mengi, kwa kuwa tu Rais amethubutu kuchukua hatua ambazo ni kiongozi mwenye utashi wa kisiasa anaweza kufanya hivyo. Kwa sababu hiyo wapo wa kumuunga mkono na wapo wa kumkejeli, na wapo viongozi wa kujikomba mwishowe wakafanya kinyume na ustaarabu na sheria.
je na kulamba rambirambi za wahanga na kuwagawia mahawara nyumba za serikali naye atachuchumaa tu early 2021Hizi sheria zingine zahovyo
Mtu kasababisha uhai wa wenzie upotee kwa ufisadi wao
Bado apelekwe kama Yai!!
Harafu huyo singasinga alikamatiwa airport alikua anasepa.Kumbe ndo mana Mkuu alikuita Njaa wewe....nikisoma na matangopori yako uliyokuwa unaandika mwaka 2014 juu ya hili sakata napata jibu.
Sasa ushasema kuwa sababu ni kuwazuia wasitoroke chini ya ulinzi alafu unatoa hoja zako nyepesi za utetezi za unene na uzee.
Utajiri kwa fedha haramu haujawahi kumuacha mtu salama maisha yake yote hapa duniani.
Wasanii, Mramba, Yona, walipopigishwa magoti uliona? Machozi yalikububujika pianiliumia sana hadi machozi yakanitoka
yes! nina huruma sana yaaniWasanii, Mramba, Yona, walipopigishwa magoti uliona? Machozi yalikububujika pia