Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.

Acha ujinga bhn rugemalila ye kama nani asipige magoti je angelambwa na makofi ungesemaje acha kulinganisha haki na mambo ya kijinga mkuu
 
asant mkuu
 
Angeanzia na kupigia kelele mfumo mzima wa ajira kwenye jeshi letu la Polisi.Wengi wanadai kwamba elimu sio muhimu kwenye utendaji wa jeshi la Polisi.How naive.
 
Hiv mwizi anatakiwa afanyiwe nn?? Ina maana hata magazeti yafungiwe kumwandika!!?? Hata kwenye taalifa ya habari watolewe.na ile kesi iendeshwe usiku!!!?? .Ni afrika tu mwizi anapewa heshima na utukufu km mfalme.
 
Leo nakuunga mkono 100%.

Hiyo ni hukumu na adhabu kabla ya kuhukumiwa.

Ni udhalilishaji wa kibinadamu wa hali ya juu.

Fikiria hapo ni mahakamani na mbele ya kadamnasi, jee huko mahabusu watuhumiwa wanakuwa katika hali gani?

Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda.

Wote tumejazwa ujinga wa hali ya juu na mpaka sasa humu nchini hakuna wakututowa huo ujinga.

Au ni ujinga wa asili?
 
south africa ipi unayoisema we paskal mayalla hukumbuk kesi ya oscar pistorious iliendeshwa live luningani mpaka vyombo vya BBC
 
Hakuna jambo baya kama kuishi bila kuzingatia sheria na utaratibu. Kuishi vyovyote tu ni jambo baya zaidi kwa mwanadamu.
Hili ni tatizo la Serikali na raia wa Tanzania kwa ujumla wake.
Mara ngapi tumeshiriki kupiga na kuchoma moto vibaka kwa kisingizio cha wananchi wenye hasira?
Mara ngapi watu wamebambikiwa kesi na vyombo vya ulinzi na Usalama?
Mara ngapi watuhumiwa wameteswa na kudhalilishwa mikononi mwa vyombo vya ulinzi?

Kilichotokea kwa hao watuhumiwa kinatokea kila siku na tumeamua kuwa kimya.
Kuna msemo "justice for all or justice for none "
Ukiona mtu anaonewa usifurahi maana uonevu ni kama mnyororo utakufikia tu.
Note : sitetei uhalifu lakini tuna utaratibu tuliojiwekea wa kushughulikia wahalifu. Utaratibu ufuatwe.
 
Umenena kweli pamoja na kwamba hao jamaa siwakubali kutokana na mambo yao hayo, lakini kitendo walicho fanyiwa si haki kabisa na kinafaa kulaaniwa na kukemewa kwa nguvu zote, na mara kadhaa tumekuwa tukiona matukio kama hayo yakifanywa na police wetu, na hakuna hatua yoyote iliyo chukuliwa dhidi yao ili mradi wanachofanya kinampendeza mtu flani basi hata kama wamevunja sheria wanaonekana wapo sawa: it's so ☹️☹️
 
hivi kweli Rugemalila na umri ule, na Singasinga na unene ule, walikuwa na tishio lolote la kutoroka chini ya ulinzi hadi kuwa chuchumalisha?!.
What if kuna wafanikishaji wa utorokaji? What if walishaattempt kutoroka kabla hawajafikishwa mahakamani? What if walionyesha resistance kubwa wakati wa kukamatwa kiasi cha kuwafanya polisi wapunguze imani juu yao? What if kulikuwa na dalili /signals za kimawasiliano zinozitia shaka baina ya watuhumiwa hao na baadhi ya watu. Kuchuchumalishwa kuna maana nyingi zaidi ya udhalilishaji unaouona wewe.
 
Mkuu ungeanzia kulisemea toka kipindi kile watu flani falni waliokuwa wakiropokwa na Bwana yule tungekuelewa kwa hili naomba Kaimu Jaji uliache kwanza mpaka zamu za woote ziishe alafu tuanze fresh!!
 
Mkuu hakuna aliyesahau ila thr is nothin they can do but ukweli utabaki kiwa ukweli kuwa magufuli kuna watu anawalinda ila nachojua cku akiacha madaraka huyo kijana atafutika kwenye siasa za tanzania kma january na jerry slaa

Muda utaamua yote
 
Mara nilipoona zile picha nilisikitika sana. Niliona huruma, yule mzee sinfa akashindwa kuchuchumaa akaliga magoti. Huu ni udhalilishaji. Haukubaliki. Sielewi ni kwa nini polisi wanadhalilisha sana watu. Au wao wapo juu ya sheria? Nina uhakika kwa nchi zinazojali sheria hii haipaswi kutendeka.. Ila in Tz, unaweza uliwa hata ukiwa polisi
 
Unaleta ubishi wakati hujui hizo taratibu. Nenda kaulize Askari Magereza au wafanyakazi wa Mahakama watakupa ufumbuzi.
Ubishi gani jiulize hio picha walikua wanasubiri gari au ndo wanaingia ndani .
wacha ubishi hapo walikua wanaingia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…