Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]From Rajabu to Gregory..
Under the influence of papuchii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo yule HamoRapa nae atabadili ajiite GregRapa??
Muumini mpya muimba matusi bora abaki hukohukoSio jambo la ajabu. Wakristu kibao tena watu maarufu sana wanabadili dini kila siku ili kuwapata wanawake wa kiislam mashombe wa kiarabu.
Mara nyingi mtu mkubwa anapobadili dini waamini wenzake husikitika lakini kule anakokwenda hufurahia kuwa wamepata muumini mpya
As long as huwajibiki kwa mtu, no need ya kufurahisha wengine- kikubwa tafuta personal satisfaction.Kuna watu hawatamuekewa Harmonize! Ila kiukweli mapenzi ya wanawake waliokomaa akili (watu wazima) ni matamu sana ukilinganisha na ya wale ambao hawajakomaa.
Ukijumlisha ushamba na kulazimisha umaarufu ndio vinamgharimu.
umeambiwa utaje hao wakristo maafufu unauliza unaishi dunia gani? Jibu swali acha kukata uno.Unaishi china au bongo?
Kuendeshwa na changu kama Kajala ni gharama tosha.Nini anagharimika sasa
Mkuu nawewe umeoa mwanamke aliekuzid umri? Mtu mzima kuliko weweKuna watu hawatamuelewa Harmonize! Ila kiukweli mapenzi ya wanawake waliokomaa akili (watu wazima) ni matamu sana ukilinganisha na ya wale ambao hawajakomaa.