Kajala: Harmonize ameanza mafunzo ya ubatizo. Kuitwa Gregory

Kajala: Harmonize ameanza mafunzo ya ubatizo. Kuitwa Gregory

Sio jambo la ajabu. Wakristu kibao tena watu maarufu sana wanabadili dini kila siku ili kuwapata wanawake wa kiislam mashombe wa kiarabu.

Mara nyingi mtu mkubwa anapobadili dini waamini wenzake husikitika lakini kule anakokwenda hufurahia kuwa wamepata muumini mpya
Muumini mpya muimba matusi bora abaki hukohuko
 
[emoji124][emoji124][emoji124]
306323426_3560133804270631_411088377832425611_n.jpg
 
Kuna watu hawatamuekewa Harmonize! Ila kiukweli mapenzi ya wanawake waliokomaa akili (watu wazima) ni matamu sana ukilinganisha na ya wale ambao hawajakomaa.
As long as huwajibiki kwa mtu, no need ya kufurahisha wengine- kikubwa tafuta personal satisfaction.

Mswahili hajawahi ishiwa maneno, na hatoishiwa asilani. Usipooa atasema hanithi, ukioa utaitwa bwege. Lakini kumbuka katika yote hakuna anayekuletea mboga nyumbani zaidi ya maneno ya kipumbavu 🙂🙂.

Dawa ya mswahili ni kufanya yako.
 
Nyege zikiisha ataitwa rajabu, kipya kinyemi. Mwanamke huwa na heshima kabla ya kuolewa. Akipata tu cheti majukumu yote ya nyumba uachiwa dada wa Kazi ye ni kufesibuka tu.
 
Huu ni ulimbukeni mbaya sana, kwani akitumia hilo hilo Ramadhani kwenye ukristo lina shida gani? Watanzania hasa wanaotoka kwenye jamii za kishenzi huwa wati wa hovyo sana.
 
ushamba,ulimbukeni,kutaka umaarufu..na kutokujitambua...anauza dini yake kwa kibibi kizee malaya wa tawn tu.
wamakonde sio watu wa kuwaamini
 
Back
Top Bottom