Kaka anataka kuvunja ndoa kisa mdomo wa mkewe!

Hakuna aliye mkamilifu hata uwe na chaguo sahihi. Katika maisha ni muhimu kujifunza kuchukuliana. Mungu huwa aweki wakamilifu pamoja bali uweka mkamilifu na asiye mkamilifu Ili jina lake litukuzwe
 
Ndoa ya hivo huyo John atakufa mapema sana atafute mchepuko wa kumpa furaha
 
Wanakeraaa balaaaa

#YNWA
Babu yangu kipindi cha uhai wake alinambia kabariki ndoa baada ya kuishi na bibi kwa mda mrefu kwa ndoa ya kimila, baba yangu pia hivyo hivyo tena wakati wanabariki hii nilishuhudia kabisa. Nilichojifunza wazee hawakukurupuka pia mpaka walipojiridhisha kuwa uyu ni wangu wa maisha though zama zile si sawa na sasa.
 
Yaani unataka watu tusioe tupate papuchi kwa mgao?
Serious? Acha wafu tuendelee kula na kumiliki papuchi za wake zetu kadiri tuwezavyo ninyi wenye akili kisoda endeleeni na nyeto au papuchi za mgao.
 
Ujumbe niliupata hapo kuwa ataoa tu mpka pale atakapopata sahihi.


So wewe Liverpool niamini utaoa tu haki tena.


Ndoa ya Liverpool na chakorii..😄😄wapi makofi yakeeeeee

Na utabirii huu lazima utimie hata iwe akhera.
In Jesus name, and the heaven say amen.

#YNWA
 
Wakifika miaka 50 na kuendelea wataelewa pale unapohitaji familia ya kuwa karibu na wewe haipo unaishi maisha ya kipweke mpaka kaburini

Babu kafa tokea 2012 na mpaka leo bibi yangu yupo.
Wanaompa kampani mi watoto na sio NDOA.

Na wapo watu walikimbiwa na familia zao kipindi cha kuwahitaji sanaa.

Hao nao unasemaje?

#YNWA
 
Wao wanadhani ndoa ni ngono ngono tu umuhimu wa ndoa utauona baada ya ujana kuisha pale ukifika 50 ndipo utahitaji mtu wa kuwa karibu yako

Liverpool VPN umebakiwa na 18 kufika 50 tafadhali fanya maamuz mapema

Na wale waliokimbiwa na wenza wao kipindi cha shida zao??

Marehe baba mdogo angu akiwa amelazwa Muhimbili akisumbiliwa na bonge la jipu la tambazi alikimbiwa na mkewe.
Sisi watoto wake ndio tuliohangaika nae mpaka umauti wake.

#YNWA
 
Yaani unataka watu tusioe tupate papuchi kwa mgao?
Serious? Acha wafu tuendelee kula na kumiliki papuchi za wake zetu kadiri tuwezavyo ninyi wenye akili kisoda endeleeni na nyeto au papuchi za mgao.

Narudi Tena, KUTOMBER hakuna uhusiano wowote na ndoa.

#YNWA
 
Na wale waliokimbiwa na wenza wao kipindi cha shida zao??

Marehe baba mdogo angu akiwa amelazwa Muhimbili akisumbiliwa na bonge la jipu la tambazi alikimbiwa na mkewe.
Sisi watoto wake ndio tuliohangaika nae mpaka umauti wake.

#YNWA
One in a million
 
Babu kafa tokea 2012 na mpaka leo bibi yangu yupo.
Wanaompa kampani mi watoto na sio NDOA.

Na wapo watu walikimbiwa na familia zao kipindi cha kuwahitaji sanaa.

Hao nao unasemaje?

#YNWA
Usishupaze shingo kiasi hicho tafadhali
 
Kama ww huoi ni sawa lkn usishawish wengine wafanye utakavyo..ipo siku utatoa hesabu ya ushauri wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…