Kaka anataka kuvunja ndoa kisa mdomo wa mkewe!

Kaka anataka kuvunja ndoa kisa mdomo wa mkewe!

We masta siku utakayokuja kutokuiamini ni siku utakayokula kiasi cha ndoa takatifu.

Ni swala la muda.endelea kuleta nyuzi tu.

FB_IMG_1661189108510.jpg


Mi kitu kimoja wapo kinachoniboa ni MDOMO..!!

#YNWA
 
Bikra mpuuzi kbs Nilikuwa Nampa kichapo daily kwa sababu ya dharau..nikimwambia haelewi mtoto mdogo afu ana mitusi..pesa nitafute Mimi halafu mjinga MMOJA anione me fala.
Hawana mdhamana hao, dharau mwiko!!! Ni kisago tu
 
[emoji15]x tena...si umeoa juzjuz wewe
Nikisema yote hapa nitaandika Sana na Sasa hv nakula bia hapa na enjoy kusoma thread..we tulia nitaanzisha mada yake
Ila naona Bora nusu Shari tuoe walimu wametulia tulia kuliko majobless shukran hawana kabisa pumbafu..ndo maana namuunga mkono Liverpool VPN hakuna haja ya kuoa kuweka ndani ila kuwagonga nawashauri muendelee.
 
To yeye
Kausha huyu mjinga anapenda support
Acha tumvimbishe kichwa aone watu wanamsupport na ujinga wake
Hapo utakuta ameoa na watoto watatu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

😳😳😳😳
Kwani Beesmom ni @to yeye

mbarika sio lazima wotee waoe na kuolewa.
Hata huko zamani sio wotee walioishi kwenye ndoa.

#YNWA
 
Habarini Wana JF..

Ni yuleyule Mr. Liverpool A.K.A YANGA BINGWA.

Sasa story iko hivi..
Juzi nilisafiri kwenda Mbeya (hata navyoandika huu Uzi nipo Tunduma@Songwe) kufatilia bidhaa fulani hivi.

Safari yangu ilianzia Morogoro.
Nilivyopanda basi la NEW FORCE ndani ya basi nikakutana na baba mdogo.

Huyu jamaa mi sinaga story nae kabisaa, mara ya mwisho tulipigaga story 2016 tulipokutana msibani Kijiji kwetu huko.

Hata namba yake sina na nilisikiaga tu story za walimwengu kuwa anaishi Morogoro.

Sasa bana tulipofika Mafinga abiria jirani angu alishuka na baba mdogo akahamia kwangu na kuanza maswali yake yakiwaki na story za maisha.

Maswali sijui, "Nasikia mpaka leo hujaoa", "Una Kazi serikalini lakini hutaki kuoa" na mengine kama hayo.

Aliendelea kunihoji mpaka Kuna muda nikasikia "Ila kweli kwa vijana wa sasa ninaposikia hujaoa huwa sikulaumu"..!!

Nikabaki namshangaa ""Kwanini?""

Mara akafunguka anayopitia mwanae wa kiume.

Mwanae wa kiume (tumuite John) ni "age mate" wangu (32 Yrs).

Wakati mama yangu yupo hai nilishawahi kuishi nae na kusoma Shule moja.
Baada ya mama kufariki aliondokaga na mawasiliano yakaishia hapo.

Mimi na John mawasiliano yalirudi 2017 ila yalikuja kutoweka tena 2018 baada ya kuoa.

Maana baada ya kuoa alianza uduwanzi wa kuniita "Dogo utaoa lini?" "Dogo huna mke, majukumu upate wapi"

Nikaona huyu sasa ni WA kumpotezea.

Sasa bana jana baba ake John tukiwa safari anasema NDOA YA JOHN INAENDA KUVUNJIKA sababu ya MDOMO WA MKEWE.

Baba mdogo anasema "Mke wa John anamdomo Sana Tena usio na staha"

Yaani John anaweza kukosea Chumbani mkewe akamezea halafu akaja "kumchamba" John hadharani.

Mdomo wa mke wa John haujui hapa wapi, Kuna kina nani, wapi natakiwa kumpayukia mume wangu na wapi natakiwa kuwa na staha, yeye ni KUMPAYUKIA TU JOHN.

Kwa Maelezo ya baba mdogo, mke wa John kufoka na kupayuka ni staili yake ya kuongea na mumewe.

Tena John alihojiwa akasema "Mbona wengine hawafokei ila ni Mimi tu mumewe?""

John alivyoona mdomo wa mkewe umezidi na maongezi na maonyo ya mdomo hayabadilishi tabia ya mkewe basi John alianza kutumia force/kipigo.

Leo anampiga mkewe, mara mkewe anakimbilia kwao, halafu akifika kwao ni full kutetewa, kwahiyo John huonekana mkosefu kila wakati.

Baba mdogo anasema kwa jinsi alivyomsoma mkwewe ni "Mwanamke anayependa/taka ku-control mwanaume" na John kagoma kuwa controlled.
Sasa hapo ndio vita inaanza.

Baba anasema John, kaongea weee, kampiga sanaa mikanda mkewe ila HABADILIKI na SASA SHAURI LIPO MAHAKAMANI huko Dar NDOA INATAKA KUVUNJWA.

Mdomo tu umemshinda..!!!

Turudi kwenu:-
Nikiwaambia "MSIOE" Utasikia "Wanaume wenye akili ndio waoe" Sasa cha kujiuliza huyo anayetakiwa kuolewa kwani akili nae sio kigezo chake?

Nyie mabaharia Ma-feminism watawaua.

Yaani unasutwa na mkeo halafu unatoa kipigo, mke anakimbilia kwao na kwao wanakurudi wewe na vichambo..!!!

Baba mdogo anasema John kanusurika mara 3 kulala lock up sababu ya kumpiga mkewe na kidomo chake.
Na mara mbili yeye baba ndio alibembeleza John asilazwe lockup na mkwewe.

Bila yeye baba kuingilia kati John ilikuwa aue huyo mkewe maana ni full kusemwa na maneno.

Mdomo tu UNAACHANISHA NDOA.

ANYWAY:-
Tuendelee kutafuta hela, If you think money can't buy happiness then go and ask the Homeless and Jobless.

Wale wa Songwe tuonane Mpemba ile "underground club" kama unaelekea Mbeya ipo upande wa kulia tule vyomboooo.

Kuoa waachieni Wazee wenu ndio walioa, nyie mnasogeza matatizo na stress tu za maisha.

USIOE
USIOE
USIOE
Akili za kupuuzi sana hizi
Kataa ndoa
Kula maisha
Piga kazi
Kula mbususu
Mpaka kieleweke

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nikisema yote hapa nitaandika Sana na Sasa hv nakula bia hapa na enjoy kusoma thread..we tulia nitaanzisha mada yake
Ila naona Bora nusu Shari tuoe walimu wametulia tulia kuliko majobless shukran hawana kabisa pumbafu..ndo maana namuunga mkono Liverpool VPN hakuna haja ya kuoa kuweka ndani ila kuwagonga nawashauri muendelee.

Haleluyah..
🙌🙌🙌🙌

#YNWA
 
Habarini Wana JF..

Ni yuleyule Mr. Liverpool A.K.A YANGA BINGWA.

Sasa story iko hivi..
Juzi nilisafiri kwenda Mbeya (hata navyoandika huu Uzi nipo Tunduma@Songwe) kufatilia bidhaa fulani hivi.

Safari yangu ilianzia Morogoro.
Nilivyopanda basi la NEW FORCE ndani ya basi nikakutana na baba mdogo.

Huyu jamaa mi sinaga story nae kabisaa, mara ya mwisho tulipigaga story 2016 tulipokutana msibani Kijiji kwetu huko.

Hata namba yake sina na nilisikiaga tu story za walimwengu kuwa anaishi Morogoro.

Sasa bana tulipofika Mafinga abiria jirani angu alishuka na baba mdogo akahamia kwangu na kuanza maswali yake yakiwaki na story za maisha.

Maswali sijui, "Nasikia mpaka leo hujaoa", "Una Kazi serikalini lakini hutaki kuoa" na mengine kama hayo.

Aliendelea kunihoji mpaka Kuna muda nikasikia "Ila kweli kwa vijana wa sasa ninaposikia hujaoa huwa sikulaumu"..!!

Nikabaki namshangaa ""Kwanini?""

Mara akafunguka anayopitia mwanae wa kiume.

Mwanae wa kiume (tumuite John) ni "age mate" wangu (32 Yrs).

Wakati mama yangu yupo hai nilishawahi kuishi nae na kusoma Shule moja.
Baada ya mama kufariki aliondokaga na mawasiliano yakaishia hapo.

Mimi na John mawasiliano yalirudi 2017 ila yalikuja kutoweka tena 2018 baada ya kuoa.

Maana baada ya kuoa alianza uduwanzi wa kuniita "Dogo utaoa lini?" "Dogo huna mke, majukumu upate wapi"

Nikaona huyu sasa ni WA kumpotezea.

Sasa bana jana baba ake John tukiwa safari anasema NDOA YA JOHN INAENDA KUVUNJIKA sababu ya MDOMO WA MKEWE.

Baba mdogo anasema "Mke wa John anamdomo Sana Tena usio na staha"

Yaani John anaweza kukosea Chumbani mkewe akamezea halafu akaja "kumchamba" John hadharani.

Mdomo wa mke wa John haujui hapa wapi, Kuna kina nani, wapi natakiwa kumpayukia mume wangu na wapi natakiwa kuwa na staha, yeye ni KUMPAYUKIA TU JOHN.

Kwa Maelezo ya baba mdogo, mke wa John kufoka na kupayuka ni staili yake ya kuongea na mumewe.

Tena John alihojiwa akasema "Mbona wengine hawafokei ila ni Mimi tu mumewe?""

John alivyoona mdomo wa mkewe umezidi na maongezi na maonyo ya mdomo hayabadilishi tabia ya mkewe basi John alianza kutumia force/kipigo.

Leo anampiga mkewe, mara mkewe anakimbilia kwao, halafu akifika kwao ni full kutetewa, kwahiyo John huonekana mkosefu kila wakati.

Baba mdogo anasema kwa jinsi alivyomsoma mkwewe ni "Mwanamke anayependa/taka ku-control mwanaume" na John kagoma kuwa controlled.
Sasa hapo ndio vita inaanza.

Baba anasema John, kaongea weee, kampiga sanaa mikanda mkewe ila HABADILIKI na SASA SHAURI LIPO MAHAKAMANI huko Dar NDOA INATAKA KUVUNJWA.

Mdomo tu umemshinda..!!!

Turudi kwenu:-
Nikiwaambia "MSIOE" Utasikia "Wanaume wenye akili ndio waoe" Sasa cha kujiuliza huyo anayetakiwa kuolewa kwani akili nae sio kigezo chake?

Nyie mabaharia Ma-feminism watawaua.

Yaani unasutwa na mkeo halafu unatoa kipigo, mke anakimbilia kwao na kwao wanakurudi wewe na vichambo..!!!

Baba mdogo anasema John kanusurika mara 3 kulala lock up sababu ya kumpiga mkewe na kidomo chake.
Na mara mbili yeye baba ndio alibembeleza John asilazwe lockup na mkwewe.

Bila yeye baba kuingilia kati John ilikuwa aue huyo mkewe maana ni full kusemwa na maneno.

Mdomo tu UNAACHANISHA NDOA.

ANYWAY:-
Tuendelee kutafuta hela, If you think money can't buy happiness then go and ask the Homeless and Jobless.

Wale wa Songwe tuonane Mpemba ile "underground club" kama unaelekea Mbeya ipo upande wa kulia tule vyomboooo.

Kuoa waachieni Wazee wenu ndio walioa, nyie mnasogeza matatizo na stress tu za maisha.

USIOE
USIOE
USIOE

#YNWA
Huyo mke wa John hana tofauti na mke wa kaka yangu. Mke mlevi, muongo, mbea,muashaerati,mchonganishi .Kila siri ya ndani anayoijua lazima aimwage nje.

Sasa hivi tuko tunaandaa kuja final solution jamii isije ikatulaumu maana anasema hamuogopi mtu yoyote yule kwenye familia isipokuwa Mungu. Akianza kutukana kama amefungulia bomba. Ndoa ina mwaka mmoja na nusu.

Wanaume wema wapo, wanawake bora wapo. Ila huyu fyatu tunaenda kumfyatua.
 
Shetani uwapenda Sana wanawake wenye midomo
Kwasababu ni mpinzani wake. Ile laana ya kwenye bustani hadi leo shetani anaikumbuka. Na uzao wa mwanamke ndio unaomsumbua kwahiyo anafanya juhudi ili kukomesha uzao wake.

Shetani aliambiwa atatembea kwa tumbo na kula mavumbi.

Mwanamke atazaa kwa uchungu na uzao wake utamponda kichwa shetani, huku yeye akimgonga kisigino. (Mtoto kabla hajazaliwa huishi tumboni mwa mwanamke miezi 9)

Wote wawili walipewa adhabu ya matumbo yao.
 
Midomo yao ndio chanzo cha vipigo na vifo vyao.
Pana mmoja Tunduma anamropokea mumewe "unabeba beba mtoto utadhani mtoto wako unajua kuzaa wewe mwanaume suruari" mwanaume yupo jela hadi leo kwa kesi ya kumuua mkewe sababu mdomo. Wengi midomo yao michafu akianza kuropoka usijibizane nae jiondokee zako sio yeye huyo ni shetani keshamvaa.
 
Back
Top Bottom