Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
HII DUNIA TUNAPITA TU
APUMZIKE KWA AMANI
APUMZIKE KWA AMANI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... actually sio wewe tu Mkuu; imekuwa ni common mistake; watu wengi sana wanafanya hilo kosa hadi inataka kuzoeleka na kuwa kawaida/sahihi.asante kwa masahihisho ya kiswahili , sikijui sana mkuu , najua cha kuombea maji tu
Poleni sana Wafiwa KAZI ya MUNGU haina MAKOSATaarifa zilizotufikia kutoka Chadema zinaeleza kwamba Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa chama hicho amelazimika kukatisha kampeni za operesheni haki huko Zanzibar na kurejea Tanganyika baada ya kupokea taarifa za kifo cha Kaka yake aitwaye Charles Mbowe.
View attachment 1845577
Kwa niaba yangu binafsi na familia yangu na kwa niaba ya wanajf wote , nachukua nafasi hii kumpa pole kamanda Mbowe na ndugu zake kwa msiba huo .
INNALILLAH YA INNALILLAH RAJUUN .
View attachment 1845579
Mungu ampumzishe pemaTaarifa zilizotufikia kutoka Chadema zinaeleza kwamba Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa chama hicho amelazimika kukatisha kampeni za operesheni haki huko Zanzibar na kurejea Tanganyika baada ya kupokea taarifa za kifo cha Kaka yake aitwaye Charles Mbowe.
View attachment 1845577
Kwa niaba yangu binafsi na familia yangu na kwa niaba ya wanajf wote , nachukua nafasi hii kumpa pole kamanda Mbowe na ndugu zake kwa msiba huo .
INNALILLAH YA INNALILLAH RAJUUN .
View attachment 1845579
Corona auTaarifa zilizotufikia kutoka Chadema zinaeleza kwamba Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa chama hicho amelazimika kukatisha kampeni za operesheni haki huko Zanzibar na kurejea Tanganyika baada ya kupokea taarifa za kifo cha Kaka yake aitwaye Charles Mbowe.
View attachment 1845577
Kwa niaba yangu binafsi na familia yangu na kwa niaba ya wanajf wote , nachukua nafasi hii kumpa pole kamanda Mbowe na ndugu zake kwa msiba huo .
INNALILLAH YA INNALILLAH RAJUUN .
View attachment 1845579
Mabeberu wanasema mradi uzibe pua na mdomo. Wengine wakipanda basi wanafunzi kima pua na mdomo kwa kutumia hijabu aliyoivaa.Hivi Barakoa nzuri ni za Vitambaa au zile za kutoka kwa Mabeberu? Nasubiri Majibu yenu ya haraka tafadhali.
Barakoa zote zinatumia aina ya kitambaa. Hakuna Barakoa ya ngozi, chuma, nyasi au miti.Hivi Barakoa nzuri ni za Vitambaa au zile za kutoka kwa Mabeberu? Nasubiri Majibu yenu ya haraka tafadhali.
Majibu yetu ni kuwa wewe ni mpumbaf!Hivi Barakoa nzuri ni za Vitambaa au zile za kutoka kwa Mabeberu? Nasubiri Majibu yenu ya haraka tafadhali.
Miaka hiyo ulikuwa hujaja mjini acha fix wewe!Duh Pole kwa familia ya akina Mbowe,enzi za ujana miaka ya 80&90 Charles muda wote alikuwa kwenye viunga vya Mbowe hotel (bills).
Haaaaa Haaaaa 😂 boss umeanzisha vitaMajibu yetu ni kuwa wewe ni mpumbaf!