Jambo la heri kwa nani? Uliwahi kumsikia marehemu kabla ya umauti kumkuta? Uamzi wa kutoa sababu za kifo cha mtu yeyote asiyekuwa public figure ni wa familia na hamna mtu mwenye haki ya kulazimishataarifa hiyo itoke. Hapo uliko bila shaka umeishawahi kufiwa na watu wako wa karibu na hatujakusikia ukija JF kutoa taarifa zao na sababu za kifo chao...
Soma kuelewa.
"Jambo la kheri" ni kauli ya kiswahili kilichokomaa kuwa "bila shuruti, ushawishi wala hiyana."
Usikonde lakini. Kiswahili kilizaliwa Pwani.
Apumzike kwa amani Charles Mbowe.