TANZIA Kaka wa Freeman Mbowe, Charles Mbowe afariki Dunia

TANZIA Kaka wa Freeman Mbowe, Charles Mbowe afariki Dunia

yaani huyo mama aliyeandika kaandika kinafiki sana eti wanachadema mpuuzi kweli mnafiki huyo
Wewe ndio mnafik. Amesema taarifa amepata kutoka Chadema, kosa liko wapi? Amesema marehemu ni kaka wa Mwenyekiti wa Chadema, kosa liko wapi? Wapi aliposema kuwa msiba huu ni wa wanachadema peke yao na kuwa marehemu alikuwa Chadema?

Acha unafik. Si tabia nzuri kumsingizia mtu kitu ambacho hajasema.

Amandla...
 
Taarifa zilizotufikia kutoka Chadema zinaeleza kwamba Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa chama hicho amelazimika kukatisha kampeni za operesheni haki huko Zanzibar na kurejea Tanganyika baada ya kupokea taarifa za kifo cha Kaka yake aitwaye Charles Mbowe.

View attachment 1845577
View attachment 1845790

Kwa niaba yangu binafsi na familia yangu na kwa niaba ya wanaJF wote, nachukua nafasi hii kumpa pole kamanda Mbowe na ndugu zake kwa msiba huo.

INNALILLAH YA INNALILLAH RAJUUN.
Kamanda FHMbowe, Familia, Ndugu na Jamaa, Poleni sana kwa msiba wa Kaka yetu. Mwenyezi Mungu awape ujasiri wa kuyapokea magumu na mazito haya ili tuweze kuyakimilisha yale yanayotupasa kwa marehemu wetu. Aidha, Mwenyezi Mungu Aipunzishe roho ya marehemu mahali pema peponi. Amin, kwani ni wa Kwake na amerudi Kwake. Amin
 
Taarifa zilizotufikia kutoka Chadema zinaeleza kwamba Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa chama hicho amelazimika kukatisha kampeni za operesheni haki huko Zanzibar na kurejea Tanganyika baada ya kupokea taarifa za kifo cha Kaka yake aitwaye Charles Mbowe.

View attachment 1845577
View attachment 1845790

Kwa niaba yangu binafsi na familia yangu na kwa niaba ya wanaJF wote, nachukua nafasi hii kumpa pole kamanda Mbowe na ndugu zake kwa msiba huo.

INNALILLAH YA INNALILLAH RAJUUN.
Pole kwa familia ya Mbowe. Bwana alitoa, Bwana ametwaa.
 
Corona au
Nauliz hivyo kwa sababu vijana wa chadema huwa mnadhani wale wafuasi wa CCm wanaokufa wote ni kwa kutofata taratibu za kujikinga, pia wote wanaokufa ni corona.
Na mmekuwa mkitoa pole za kejeli je huyo nae hakupata chanjo?
Nawapeni pole makamanda ila kifo hakina chama wala mjanja.
Muwe na staha wanapokufa wa upande mwingine kwani wote ni binadam.

Nasema hivyo baada ya kifo cha yule diwani pale moshi, kuna comment humu zulikua zinakera.
Hawa wajinga huwa wanafanya nadharau sana hata mambo yao wanayojifanya wanasisitiza kama kukosoa serikali,wana utoto wa kipumbavu sana.
 
Nimeona wengi hutumia niaba kama kwa ajili ambapo ni makosa
... ni kweli Chief; hadi viongozi wakuu wanachapia hadi unashangaa. "Kwa niaba ya ..." means unamwakilisha mtu mwingine; you are speaking or you are there to represent someone else; sasa ukisema "Kwa niaba yangu ..." wakati msemaji ni wewe mwenyewe au uko pale wewe mwenyewe sijui unajiwakilisha vipi wewe mwenyewe.

Sema hivi, "Mimi binafsi na kwa niaba ya ..." au "Kwa niaba ya ... na kwa nafsi yangu ...". Hicho ndio Kiswahili fasaha.
 
Sasa ole wako uulize sababu ya kifo ni nini au uhusishe na Corona uone matusi yake na kuambiwa huna akili, wengine watakuuliza una elimu gani wengine watakuja na maneno maneno kuwa huna utu n.k

Ila akifa mtu wa upande tofauti tu na itikadi zao hawaulizi chanzo wao moja kwa moja wanapitisha tu ni Corona bila kupepesa macho tena hata ikitajwa sababu gani haita kubalika.
 
Tunakumbushana wadau
Screenshot_20210627-094739.jpg
 
Back
Top Bottom