Ila wakifa wengine hakuna haja ya kumsitili marehemu bali ni kupiga kejeli mwanzo mwisho.Mkuu kwa heshima ya marehemu,tumsitili.
Maana sidhani kama alikuwa na misimamo ya kisanii kama ya mdogo wake.
Ndiyo,kamanda ameishatangaza.Uviko au?
Mwamba ameishasema tayari.Ni Covid 19Kama ni Uviko, familia ya Mbowe haiwezi kuficha, itaujulisha umma. Maradhi na kifo, siyo vitu vya aibu, hakuna aliye na uwezo wa kuvizuia.
Pole sana Mwenyekitibowe, poleni wanafamilia wote na watu wa karibu na marehemu.
Mungu wa huruma awajalieni moyo mkuu wa kuyapokea mapenzi yake kwa unyenyekevu,
Alikuwa ana pony tail na alikuwa ana chumba chake pale pale Bilicanas.Amewatafuna sana watoto wazuri karibia woteDuh Pole kwa familia ya akina Mbowe, enzi za ujana miaka ya 80 & 90 Charles muda wote alikuwa kwenye viunga vya Mbowe hotel (bills).
Corona au
Nauliz hivyo kwa sababu vijana wa chadema huwa mnadhani wale wafuasi wa CCm wanaokufa wote ni kwa kutofata taratibu za kujikinga, pia wote wanaokufa ni corona.
Na mmekuwa mkitoa pole za kejeli je huyo nae hakupata chanjo?
Nawapeni pole makamanda ila kifo hakina chama wala mjanja.
Muwe na staha wanapokufa wa upande mwingine kwani wote ni binadam.
Nasema hivyo baada ya kifo cha yule diwani pale moshi, kuna comment humu zulikua zinakera.
Funza wanamsubiri kwa hamu [emoji1787][emoji1787]
Enzi hizo meko yuko chato anachunga ngombeDuh Pole kwa familia ya akina Mbowe, enzi za ujana miaka ya 80 & 90 Charles muda wote alikuwa kwenye viunga vya Mbowe hotel (bills).
Funza watafaidi sana ule msambwanda wa kaka ake na mbowe!Acha wamfaidi huko anakoenda!
Mwenyewe kasema ni covidSasa ole wako uulize sababu ya kifo ni nini au uhusishe na Corona uone matusi yake na kuambiwa huna akili, wengine watakuuliza una elimu gani wengine watakuja na maneno maneno kuwa huna utu n.k
Ila akifa mtu wa upande tofauti tu na itikadi zao hawaulizi chanzo wao moja kwa moja wanapitisha tu ni Corona bila kupepesa macho tena hata ikitajwa sababu gani haita kubalika.
Enzi hizo meko yuko chato anachunga ngombe
Funza watafaidi sana ule msambwanda wa kaka ake na mbowe!
Mwenyewe kasema ni covid
RiP Kaka Charles. Hii Familia Jamani Mungu akasimame katikati Yao. Ni miaka ya Juzi Tu alikufa Dada Kwa Ajali, akafa Maximilian, akafa Yule Mwanajeshi wa Salasala. Huyu Charles Sijui ni Yule aliyekuwa ana Nywele ndefu anazibana Kwa Nyuma?? Tulikuwa tunamuita Mmarekani?! Daaaah Mbowe Mungu akutie Nguvu na kukupa Faraja.Duh Pole kwa familia ya akina Mbowe, enzi za ujana miaka ya 80 & 90 Charles muda wote alikuwa kwenye viunga vya Mbowe hotel (bills).