chrisbleez
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 752
- 1,239
Unaona sasa[emoji849]hizi ndio hofu tunazozizungumzia kama kila mtanzania atakuwa akihusisha kila uchovu na kujiskia vibaya ni corona tutapoteza watu wengi mno nachukia sana ninapoona watu tunapeana hofu na kukuza hizi habari.Poleni sana, leo mimi najisikia ovyo kweli nimetapika angalau najisikia nafuu sijui ndiyo yenyewe dah
Unaripoti ya daktari ya kukuthibishia kuwa wale wote waliuwawa na corona?Leo kwenye group la whatsapp la famila ya wife, huko Rombo jana padri alifanya misa ya pamoja ya watu 10, Jamani hii kitu ni serious
SanaaaYaani hii kitu ni bonge ya SILENT KILLER..
Daaah mkuu upo Green city home,nimepamiss.Hiv makasini bado ipo?Uyole huku tunazika daily afu bado watu hawasanuki yaan.Daaa
Naunga mkono hoja kama taifa tungeendelea kuwa na msimamo ule ule coz wagonjwa walikuwepo na tulikuwa tukijiuguza nyumbani na tunarudi uraiani sasa angalia tulivyoanza kuishi kwa mihemko madhara yake ndio hayaKati ya kosa alilofanya n kwenda hospitali, ukiukwaa kaa home, jidisconnect na ulimwengu halafu assume ni tatizo la kawaida! Mm kama mm nimeupata nisave kwa namna hiyo lkn n maumivu yasiyoelezeka! Poleni sana
Zantel ndugu au jina umekoseaMost likely ni Minyoo hiyo mkuu. Nenda hospitali wakupe Zantel ya maji
Daah poleni sanaUyole huku tunazika daily afu bado watu hawasanuki yaan.Daaa
Zentel ndugu sijalikoseaZantel ndugu au jina umekosea
Kaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando mwanza hakika ni majonzi makubwa sana.
Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo kazidiwa mchana Leo na jioni amelala akiwa bado ajawekwa kwenye oxygen.
Hakika ni majonzi makubwa
He was a really man ameacha watoto wadogo na mke very sad indeed.
Poleni sanaKaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando mwanza hakika ni majonzi makubwa sana.
Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo kazidiwa mchana Leo na jioni amelala akiwa bado ajawekwa kwenye oxygen.
Hakika ni majonzi makubwa
He was a really man ameacha watoto wadogo na mke very sad indeed.
Huyo alikua na magonjwa mengine either kisukari au HIV,Kaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando mwanza hakika ni majonzi makubwa sana.
Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo kazidiwa mchana Leo na jioni amelala akiwa bado ajawekwa kwenye oxygen.
Hakika ni majonzi makubwa
He was a really man ameacha watoto wadogo na mke very sad indeed.
Pole sana. Tatizo huu ugonjwa unaondoa watu kimzaha mzaha matokeo yake watu wanaupuuza. Mtu anaanza kuumwa kama utani vile unasikia kesho yake kaondoka. Nimepoteza mjomba wangu mpendwa wiki hii kimchezo mchezo tuKaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando mwanza hakika ni majonzi makubwa sana.
Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo kazidiwa mchana Leo na jioni amelala akiwa bado ajawekwa kwenye oxygen.
Hakika ni majonzi makubwa
He was a really man ameacha watoto wadogo na mke very sad indeed.
Labda unamaanisha wachinaHawa wazungu manina zao