#COVID19 Kaka yangu amefariki kwa ugonjwa wa CORONA

Nah !!
it is very loud mkuu , inategemea tu masikio umeelekeza wapi.
Nimepoteza wengi sana na hii kitu , na hata mi mwenyewe nimenusurika kupotea mara kadhaa
Pole sana chief
 
Dah .... isije kuwa baada ya kuambiwa ana corona...akapata hofu....kinga ikashuka....msukumo wa damu ukavurugika...akafariki...... wazo tu 😷
 
Kwanini uhisi kuumwa ukapime Corona? Badala ya Malaria,Uti,Tb n.k ujue vitu vingine bhana Ni kujitia wasiwasi
 
Pole sana mkuu. Kasema SSH wanaobeza jitihada za huu ugonjwa ni vile hawajaguswa.

Tupate chanjo wakuu ugonjwa udhibitiwe kwanza.

Mengine baadaye.
Chanjo ndo huugui sio?
 
Gharama za matibabu ya Corona ni kubwa sana ,my relative ametumia zaidi ya milioni 7 ICU akiwa kwenye oxygen support hospitali. Sisi makapuku tunaojifanya tunda tunaweza kumudu hizo gharama? Hiyo ni hospitali ya serikali sijui kuhusu private hospitals, tuchukue hatua na tupate chanjo ndugu zangu.
 
Utakufa kwa hofu zako mjinga!

Machinga wa Kariakoo, Makondakta, bodaboda wangekuwa wanapukutika kama wangekuwa na mihofu kama yenu.
Angalieni huyu takataka ..Kikikupata kijimdudu kile ukipona uje hapa kutupa ushuhuda.
 
Mimi nimempa mtu aliyepoteza kakake pole, wewe unanitukana. Mjinga hapo atakuwa ni mama yako. Na hasa babu yako ambaye amekwisha kufa. Mimi ni mzima.
Mnakufa kwa hofu zenu wajinga!

Machinga wa Kariakoo, Makondakta, bodaboda wangekuwa wanapukutika kama wangekuwa na mihofu kama yenu.
 
Mkuu kama ilikufua vya kutosha itoshe kusema hivyo,lakini chanjo sio kinga ya kutopata corona.

Au huna taarifa kwamba hata waliochanja inawahusu bado??
 
Maskini labda angekaa nyumbani asingekufa. Akanywa dawa tulizoea..Hospital.hofu na kutengwa kunafanya wengi wafariki.
 
Mkuu kama ilikufua vya kutosha itoshe kusema hivyo,lakini chanjo sio kinga ya kutopata corona.

Au huna taarifa kwamba hata waliochanja inawahusu bado??
Mkuu chanjo ni Kinga tosha ya Corona. Kuhusu waliochanja na bado wakapata; Kiutaalamu kuna Kitu kinaitwa seroconversion, Hii ni kwa kiswahili tunaweza sema ni kiwango cha utengenezaji wa Antibody maalimu iliyokusudiwa katika mwili baada ya kupata chanjo husika. Kwa kiingereza “In immunology, seroconversion is the development of specific antibodies in the blood serum as a result of infection or immunization.”
sasa kama mwili wako uliseroconvert kwa 20% au 30% au 50% ndo unapata ugonjwa kirahisi. Kumbuka pia Hata unapomeza Dawa wakati mwingine hazikusaidii au zinakusaidia kwa kiwango kidogo kadiri ya mwili wako unavorespond kwenye Dawa husika.
Natumaini umenielewa mkuu.
 
Sometimes a positive test doesn't mean you are infectious
 
Nah !!
it is very loud mkuu , inategemea tu masikio umeelekeza wapi.
Nimepoteza wengi sana na hii kitu , na hata mi mwenyewe nimenusurika kupotea mara kadhaa
Ulivukaje mkuu?!

Pole sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…