LDA COMPANY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 340
- 622
- Thread starter
-
- #21
Nipo coco beach tangu saa nne asubuhi kaka yangu kanifukuza nyumbani hii inaenda wiki ya pili.
Sawa mkuuAchna nae huyo, mchukulie kama sio ndugu yako... We unaona kabisa mtu anakuchukia bado unaendelea kujikomba komba mpaka kufungua thread? Jitambue kumbavu ww
Kuna watu huwa tunatunza kumbukumbu hata za zaman,yawezakuwa zaman mkiwa wadogo uliwah mfanyia kitu kilichomkaa mpaka leo
labda mkuu ila mi ni mdogo kwake yeye wa kwanza mimi wa nneKuna watu huwa tunatunza kumbukumbu hata za zaman,yawezakuwa zaman mkiwa wadogo uliwah mfanyia kitu kilichomkaa mpaka leo
Nashukuru sana kwa mchango wakoSijajua sababu ya kuleta uzi wako huu jukwaa la Sheria. Ila acha niseme umekosea. Hukukusudia. Kisheria, hakuna sheria inayolazimisha ndugu kupendana.
Lakini, huna haja ya kujilazimisha kwa mtu asiyekupenda. Kama anaona huna umuhimu, basi achana naye. Kuwa karibu na nduguzo wengine.
Kinachokutesa wewe ni kunyimwa msaada wa nduguyo. Wala si chuki. Maana sijaona popote alipokutenda ubaya. Ila kwa kuwa kila ukimuomba hakupatii, basi umeitafsiri kuwa ni chuki.
Pia, wapo watu wanapbaki na visasi sana. Huenda ulikuwa unapendwa sana na wazazi kuliko yeye. Wengine husahau, lakini wengine hulibeba moyoni. Anakua akiishi nalo, na hivyo kutengeneza nafasi ya kulipiza. Anashindwa hata kukusaidia, kwa sababu tu wazazi walikuthamini kuliko yeye.
Wazazi tujiangalie katika makuzi. Tusioneshe kumpenda mtoto mmoja zaidi ya wengine.
Kama unahisi ni chuki, kaa zungumza na wazazi wako. Waeleze, ila kigezo kisiwe kukusaidia. Ila viashiria vingine. Wazazi watazungumza naye na kujua undani.
Pole Mkuu.
Mi sitaki anisaidie kitu ndiyo maana sijalalamika. The info I provided do with it what you willUna umri gani na umemaliza lini chuo? Wewe unataka kaka yako akusaidie nini?
nadhani alijua ni mimiMi sitaki anisaidie kitu ndiyo maana sijalalamika. The info I provided do with it what you will
sawa mkuumpotezee fanya yako utazoea kumuona wa kawaida
Punguza hasira na jazba ulipofikia pambana mwenyewe ila usiibe fanya kazi yoyote iliyo mbele yako na usimtangazie yeyote elimu uliyo nayo kama hajakuuliza.sasa ni mwendo wa elimu ya mtaa chagama au vipi unaweza ukao..Mi sitaki anisaidie kitu ndiyo maana sijalalamika. The info I provided do with it what you will
Huyu mpotezee tu, komaa kivyako kuna siku yatamfika shingoni atafunguka.Kweli kabisa ndugu mpaka nikienda kwake kumsalimia anaweza akaaga na kuondoka akaniacha alone sebuleni
Sawa brotherHuyu mpotezee tu, komaa kivyako kuna siku yatamfika shingoni atafunguka.
Hajuwahi kukusaidia chochote !kwani lazima,nani kasema?imeandikwa wapi!kuzaliwa tumbo moja sio lazima msaidiane,Za leo ndugu zangu, natumai mko poa kabisa.
Kuna jambo limekuwa linanitatiza kwenye maisha yangu nalo ni chuki aliyonayo kaka yangu juu yangu.
Hili jambo nimekosa wa kumshirikisha ikabidi nililete hapa jukwaani kuna watu wanaweza kunisaidia.
Huyu kaka yangu kaanza zamani kunichukia toka tupo wadogo mpaka alipomaliza chuo na kupata kazi hajawahi kunisaidia kitu chochote .
Mwanzo nilidhani labda ana mambo mengi hivyo kipato hakitoshi ila nikaona mbona anasaidia watu wengine lakini mimi nikimuomba chochote ansema hana kitu. Mpaka naanza masomo yangu ya chuo namaliza bro hakuwahi kunisaidia chochote na nilikuwa nasoma chuo Dar es salaam, hata sehemu nilipokuwa napanga hakuwahi kuja.
Ila kwa watu wengine ambao hawana undugu nae safi tu anwatembelea name kuwasaidia wanapokwama.
Huyu bro ameoa ila alikuwa ananiponda Sana kwa shemeji yangu hata ndugu zake na shemeji. Hii hali imekuwa inaninyima amani japo chuo nilishamaliza na ndo napambana na maisha yaw mtaani ila huyu ndugu yangu anaonekana kunichukia sana.
Kuna kipindi alinipita njiani kama hanijui na mimi ikabidi nimkaushie. Nyumbani tupo watoto sita ila huyu ni kaka yetu mkubwa najiuliza kwa nini ana chuki sana namna hiyo.
shukraniAchana nae, fanya kazi, wekeza kwa faida yako, vichaa wamo wengi humu Duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hivyoHajuwahi kukusaidia chochote !kwani lazima,nani kasema?imeandikwa wapi!kuzaliwa tumbo moja sio lazima msaidiane,
Tafuta maisha yako,binadamu wengi tu wanaweza kuwa ndugu zako,kuliko uliotoka nao tumbo moja,tafuta pesa,pesa,pesa,utapata heshima
Mpotezee kama humjui vile siyo lazima mjuane kama hatakiNataka msaada ndugu maana inaniathiri kisaikolojia.
Asijali mawakili wasomi watakuja kumsaidia.Anataka ajue haki zake kwa kaka yake kisheria[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usiwe na wasiwasi utasaidiwa.Nataka msaada ndugu maana inaniathiri kisaikolojia.