Kaka yangu ananichukia

Kaka yangu ananichukia

Kuna mtu anawaangaria jicho baya ,...msipendane hata kidogo ndugu kwa ndugu na nyie hamjui,Kuna kijipepoapo....
 
Achana nae....mie ni dada yangu alikuwa hanikubali kabisaa ikawa inaniuma sana nilijaribu kuomba msamaha kwa kosa ambalo silijui ila yeye akawa hataki kabisa...mpaka tumekuwa watu wazima tuna watoto na kazi simtafutagi....simpigii simu....tukikutana nyumban ni salamu kila mtu anafanya mambo yake...sitak shobo...wala namba yake sina....tuko mkoa mmoja wala sijui anapokaa...tunakutana nyumban kwa matukio maalum ya kifamilia namsalimia kawaida kama hamna tatizo....nadeal na wanaonipa furaha basi inatosha
We ni ke?
 
Majibu sahihi anaweza kuwa nayo mama ako usikute bro Kuna Siri anaijua kuhusu wewe ambayo ww huijui...

Pia tafuta siku ukae nae na umuulize sababu ya yy kukuchukia hivyo...
 
Hakuna lolote hapo Nyota yako kali kupita yake kwa hiyo zina shindana!! muheshim tu!! halafu mnunue kisaikolojia......fanya mambo msahahu ila ukimuona njiani usiku simamisha gari!

akipanda sawa mpeleke kwake akikataa tembea! hii itakuepusha na laana mbaya yeye ni mkubwa kwako!! sasa jifanye mbabe kwake upooze mwili!...Mndugu meengi ndo yalivyo!
 
Kamshitaki polisi kuwa amekuibia!! tupa chochote ndani kwake km uthibitisho afu baada ya hapo njoo nikwambie kitu. kinachofuata.....
 
Hakuna lolote hapo Nyota yako kali kupita yake kwa hiyo zina shindana!! muheshim tu!! halafu mnunue kisaikolojia......fanya mambo msahahu ila ukimuona njiani usiku simamisha gari!

akipanda sawa mpeleke kwake akikataa tembea! hii itakuepusha na laana mbaya yeye ni mkubwa kwako!! sasa jifanye mbabe kwake upooze mwili!...Mndugu meengi ndo yalivyo!
Nimekuelewa hapo kwenye ukali wa nyota. Hii inawatokea watu wengi pasipo wao kujua, unakuta bosi na mfanyakazi wake, mpenzi na mpenzi wake, ndg na ndg, rafiki na rafiki.
 
Nimekuelewa hapo kwenye ukali wa nyota. Hii inawatokea watu wengi pasipo wao kujua, unakuta bosi na mfanyakazi wake, mpenzi na mpenzi wake, ndg na ndg, rafiki na rafiki.
Sawa kabisa Bwana Mseven! yaani ukifanyiwa ivo futa kabisaaaa kinyongo Moyoni mwako!! Utaona maajabu mbele, Vimba kimoyomoyo, fanya yako!

kuwa Mwema tu, jifanye mjinga kiaina lkn! akilini jua Nyota yako iko juu ni hatare!!...itaendaa watakupigia salute! usilipe ni ndg zako!! Nakupa mifani kidogo tu ya watu maarufu walio dharauliwa na ndg/wazazi!

Mandela, huyu ndugu zake hawajulikana saaana! mbali na mkewe Winnie na wanae!..... ina maana mke wa kwanza na wane alimdharau akamuacha! ndg zake walijua yule mlevi hana Maisha!

Mbali na Butiku, joseph nyerere,...ndg zake Nyerere hawajulikani kiviile Tanzania hii. sababu walimdharau mno wkt anadai Uhuru!...pia waliamini atapinduliwa Mbaya!

Martin Ruther ana ndg kibao lkn hawajulikani USA, Marcom x, unawajua ndg zake??....Zaidi ya hayo Ndg zake Yesu nani anawajua?? hata wachungaji wengi hawa wajui, na sababu kubwa wale walijua Yesu alikuwa Chizi!

Hata alipo surubiwa na kufufuka Msalabani ni Mama yake tuuu! na watu baki ndo tunawasikia km kina Mariamu Magdalena, hkn ndugu yake aliye kuwapo pale walimpuuza kitambo!

wakaenda Mbali zaidi na kumsema kuwa ''alirukwa na akili'' wakatamani kumfunga kamaba, hii ni kwa mujibu wa Biblia,......popote watu Wenye maono na Bright future,

Hawa wanachukiwa na kudharauliwa mnoo! Nyumbani na Makazini humo, hata waweza kufukuzwa kazi au kusimamishiwa mshahara kwa sababu za kipuuzi sana,.....Lkn mafanikio ya mbele ni hatare!

kwa sababu hii ndo Yesu akasema kuwa namnukuu ''Mti wenye Matunda ndiyo hupigwa Mawe''.....ukitafakari huu msemo utabakia kuchekaa tu!......

fikiria tu Yusufu alivo pigika! na kuchukiwa tena na ndugu zake hasaaa, na kilicho watokea baada ya hapo!...Nikutie Moyo tu, km hivi

ukitaka hao ndg zako wenye chuki wakuinamie siku moja mbele huko! usiwalipizie kisasi! utaona Maajabu!....usifanye kosa la kuwachukia au kuwalipizia kisasi,

hii inatokea hata kwa Mama zetu wa kambo!.....jikinge tu, na Mabalaa yake yasikudhuru, ila tu usiwalipizie kisasi ! ni ngumu sana lkn jitahidi kwa usalama wa kizazi chako!.....utabarikiwa mpaka useme yatosha sasa! !
 
Kweli kabisa ndugu mpaka nikienda kwake kumsalimia anaweza akaaga na kuondoka akaniacha alone sebuleni
Nakushauri achana nae, fanya maisha yako riziki hazitoki kwa ndugu.. Bali kwa Mungu. Ukiona ndugu anakusema kwa ndugu Baki.. Jua hapo Kuna uhasama mkubwa.. MI ndugu wa namna hiyo wananisikiaga ktk redio... Sina muda hata wa kuchukua n akutunza numba yake...mafanikio yangu anasikia kwa watu na Hana jinsi ya kujipendekeza.... Na nimeona maisha ya naendelea bila. Msongo wa mawazo
 
Back
Top Bottom