Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Pole sana endelea tu na maisha yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada ako atakua mchawiAchana nae....mie ni dada yangu alikuwa hanikubali kabisaa ikawa inaniuma sana nilijaribu kuomba msamaha kwa kosa ambalo silijui ila yeye akawa hataki kabisa...mpaka tumekuwa watu wazima tuna watoto na kazi simtafutagi....simpigii simu....tukikutana nyumban ni salamu kila mtu anafanya mambo yake...sitak shobo...wala namba yake sina....tuko mkoa mmoja wala sijui anapokaa...tunakutana nyumban kwa matukio maalum ya kifamilia namsalimia kawaida kama hamna tatizo....nadeal na wanaonipa furaha basi inatosha
Unalazimisha undugu kiruuuuh..... Me ndugu wa hvo nawapenda sana nawatesa kimaendeleo sio kimanenoZa leo ndugu zangu, natumai mko poa kabisa.
Kuna jambo limekuwa linanitatiza kwenye maisha yangu nalo ni chuki aliyonayo kaka yangu juu yangu.
Hili jambo nimekosa wa kumshirikisha ikabidi nililete hapa jukwaani kuna watu wanaweza kunisaidia.
Huyu kaka yangu kaanza zamani kunichukia toka tupo wadogo mpaka alipomaliza chuo na kupata kazi hajawahi kunisaidia kitu chochote .
Mwanzo nilidhani labda ana mambo mengi hivyo kipato hakitoshi ila nikaona mbona anasaidia watu wengine lakini mimi nikimuomba chochote ansema hana kitu. Mpaka naanza masomo yangu ya chuo namaliza bro hakuwahi kunisaidia chochote na nilikuwa nasoma chuo Dar es salaam, hata sehemu nilipokuwa napanga hakuwahi kuja.
Ila kwa watu wengine ambao hawana undugu nae safi tu anwatembelea na kuwasaidia wanapokwama.
Huyu bro ameoa ila alikuwa ananiponda Sana kwa shemeji yangu hata ndugu zake na shemeji. Hii hali imekuwa inaninyima amani japo chuo nilishamaliza na ndio napambana na maisha yawe mtaani ila huyu ndugu yangu anaonekana kunichukia sana.
Kuna kipindi alinipita njiani kama hanijui na mimi ikabidi nimkaushie. Nyumbani tupo watoto sita ila huyu ni kaka yetu mkubwa najiuliza kwa nini ana chuki sana namna hiyo.
Za leo ndugu zangu, natumai mko poa kabisa.
Kuna jambo limekuwa linanitatiza kwenye maisha yangu nalo ni chuki aliyonayo kaka yangu juu yangu.
Hili jambo nimekosa wa kumshirikisha ikabidi nililete hapa jukwaani kuna watu wanaweza kunisaidia.
Huyu kaka yangu kaanza zamani kunichukia toka tupo wadogo mpaka alipomaliza chuo na kupata kazi hajawahi kunisaidia kitu chochote .
Mwanzo nilidhani labda ana mambo mengi hivyo kipato hakitoshi ila nikaona mbona anasaidia watu wengine lakini mimi nikimuomba chochote ansema hana kitu. Mpaka naanza masomo yangu ya chuo namaliza bro hakuwahi kunisaidia chochote na nilikuwa nasoma chuo Dar es salaam, hata sehemu nilipokuwa napanga hakuwahi kuja.
Ila kwa watu wengine ambao hawana undugu nae safi tu anwatembelea na kuwasaidia wanapokwama.
Huyu bro ameoa ila alikuwa ananiponda Sana kwa shemeji yangu hata ndugu zake na shemeji. Hii hali imekuwa inaninyima amani japo chuo nilishamaliza na ndio napambana na maisha yawe mtaani ila huyu ndugu yangu anaonekana kunichukia sana.
Kuna kipindi alinipita njiani kama hanijui na mimi ikabidi nimkaushie. Nyumbani tupo watoto sita ila huyu ni kaka yetu mkubwa najiuliza kwa nini ana chuki sana namna hiyo.
Achana nae....mie ni dada yangu alikuwa hanikubali kabisaa ikawa inaniuma sana nilijaribu kuomba msamaha kwa kosa ambalo silijui ila yeye akawa hataki kabisa...mpaka tumekuwa watu wazima tuna watoto na kazi simtafutagi....simpigii simu....tukikutana nyumban ni salamu kila mtu anafanya mambo yake...sitak shobo...wala namba yake sina....tuko mkoa mmoja wala sijui anapokaa...tunakutana nyumban kwa matukio maalum ya kifamilia namsalimia kawaida kama hamna tatizo....nadeal na wanaonipa furaha basi inatosha
Ila Kama huna nmb zake bas mkeo anazo na pengine wanawasiliana SanaAchana nae....mie ni dada yangu alikuwa hanikubali kabisaa ikawa inaniuma sana nilijaribu kuomba msamaha kwa kosa ambalo silijui ila yeye akawa hataki kabisa...mpaka tumekuwa watu wazima tuna watoto na kazi simtafutagi....simpigii simu....tukikutana nyumban ni salamu kila mtu anafanya mambo yake...sitak shobo...wala namba yake sina....tuko mkoa mmoja wala sijui anapokaa...tunakutana nyumban kwa matukio maalum ya kifamilia namsalimia kawaida kama hamna tatizo....nadeal na wanaonipa furaha basi inatosha
Kweli kabisa, au kujibizana nae, kubisha kila akikutuma kitu, vitu hivi tulifanya kwa wakubwa zetu wakati wa utoto, japo si vizuri, wengine wanaweka kinyongo.Kuna watu huwa tunatunza kumbukumbu hata za zaman,yawezakuwa zaman mkiwa wadogo uliwah mfanyia kitu kilichomkaa mpaka leo
Ukiwa kwenye situation hiyo huwezi kuignore, kwasababu ya maswali mengi, mtu a najiuliza kwani kuna nini ama amefanya nini hata ndugu yake hataki mazoea nae kabisa kabisaAchna nae huyo, mchukulie kama sio ndugu yako... We unaona kabisa mtu anakuchukia bado unaendelea kujikomba komba mpaka kufungua thread? Jitambue kumbavu ww