Mr Devil
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 12,445
- 27,920
Atakua ana jua siri wewe usie ijua una hakika we ni mtoto wa hapo[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli mkuuHana mipango na wewe cha muhimu tafuta pesa mwenyewe atakuja kukusalimia kila asubuhi akiamuka ,Sisi kuna broo wetu wa Baba mmoja alikuwa anatubagua sana Tumesoma kwa shida alikuwa anawapa misaada ndgu wa nje Sio sisi ndgu zake muda huo ana magari 10 na maduka makubw ya pembe jeo. Hakuwai kukanyaga kwa Mama etu ata mara moja lakini saiz mzee amefariki na mama ake amefariki amebaki mama etu na saizi bro ameshafirisika hana kitu amebadilika sana adi leo Anakuja kukusalimia kila siku. na pale home anaendaga kusalimia kila akienda kijjn lazima pale akasamilie. SAKA PESA.
Ndo hivyo kiongoziMpotezee kama humjui vile siyo lazima mjuane kama hataki
Silali coco.Unalala hapo coco? Nilijuaga wewe mtu mzima
Duh hii ngoja nitafatiliaAtakua ana jua siri wewe usie ijua una hakika we ni mtoto wa hapo[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini kaka?Ilitakiwa akuweke bakora za maana ili hata hapo coco usiende.
Sawa kiongoziUsiwe na wasiwasi utasaidiwa.
Kwani muda gani nimetangaza elimu yangu? Au umechanganya umeniquote mtu siyo?Punguza hasira na jazba ulipofikia pambana mwenyewe ila usiibe fanya kazi yoyote iliyo mbele yako na usimtangazie yeyote elimu uliyo nayo kama hajakuuliza.sasa ni mwendo wa elimu ya mtaa chagama au vipi unaweza ukao..
Mbona unajiangaisha sanaa broo..??Kweli kabisa ndugu mpaka nikienda kwake kumsalimia anaweza akaaga na kuondoka akaniacha alone sebuleni
[emoji1533] nakaziaAtakua ana jua siri wewe usie ijua una hakika we ni mtoto wa hapo[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh nishaelewa life mkuuMbona unajiangaisha sanaa broo..??
#YNWA
🤔sawanakazia![]()
[emoji1533] nakazia
Unafanya nini coco beach [emoji2513] sasa?Nipo coco beach tangu saa nne asubuhi kaka yangu kanifukuza nyumbani hii inaenda wiki ya pili.
...lewaPunguza hasira na jazba ulipofikia pambana mwenyewe ila usiibe fanya kazi yoyote iliyo mbele yako na usimtangazie yeyote elimu uliyo nayo kama hajakuuliza.sasa ni mwendo wa elimu ya mtaa chagama au vipi unaweza ukao..
Sina pa kukaa. Nimekaa tuUnafanya nini coco beach [emoji2513] sasa?
SawaAchana nae