Kale ka nchi kanaweza kuvamiwa na kushambuliwa, lakini mwisho wa siku, mvamizi ataambulia kujuta na kusaga meno

Hao Hibollah wenyewe wamebaki kwanza wanatafakari kinachotokea Gaza kuona kama watakimudu
Mziki wa Hezbollah ni mkubwa sana Israel anaujua na anawaogopa mno.

Taliban wameomba njia ya kupita baadhi ya mataifa ili afike Israel akapambane na wayahudi. Hao Taliban nao ni moto mwingine.
 

Wayahudi wengi baada ya kutawanyika walizaliana na mataifa ya watu wa ulaya hata usishangae wako hivyo,sio suala la rangi ila damu na imani ndio inayowatambulisha.
 


Hayo maswali yako yanatupeleka tu kwenye conclusions kwamba ni Taifa la Mungu.
 
Hoja za kijinga kabisa hizi, wapalestina na Waisrael wanafanana sana tu, ni race moja. Kucheza mashindano ya Ulaya hata UTURUKI anashiriki mashindano ya Ulaya na hayupo Ulaya.
 
Hayo maswali yako yanatupeleka tu kwenye conclusions kwamba ni Taifa la Mungu.
Wanapigika kirahisi sana walipigwa na mgambo tu wa hezbollah 2006 na sasahivi hawa mgambo wa hamas tu hadi wanaomba msaada wa mataifa ya ulaya na marekani hiyo inaonyesha they are weak ila porojo nyingi ,kama ulaya walivyoyakanyaga kwa mrusi sasahivi vikwazo vinawaumiza wenyewe
 

Sawa, nenda na wewe kasaidie na jambia lako.
 
Israel no propaganda tu,hana lolote.hakuna vita yoyete amewahi kupigana na akashinda,anapigana na wala tende na harua tu.
Na ile vita ya June 1967 ya siku 6 ni propaganda? Maana naona hapa Aljazeera wanaicover kwa kuhoji pande zote zilizohusika ukiondoa Israel tu.Egypt,Syria,Lebanon na wenzo wote wanakiri walichapika haswa na wanaelezea kilichopelekea kuchapika kwao.Kwa hiyo na hao wanaeneza propaganda za Magharibi ?

Pata muda angalia hicho kipindi please halafu urudi hapa utueleze hizo propaganda
 
Ile vita
Israel mwaka 2006 alipoteza kwa mgambo wa hezbollah na kupelekea makamanda wake wote wa juu kujiuzulu
 
Ile vita

Israel mwaka 2006 alipoteza kwa mgambo wa hezbollah na kupelekea makamanda wake wote wa juu kujiuzulu
Naongelea vita ya June 1967,ungeona niliyekuwa namjibu usingeniletea hizo chokochoko za kikundi cha Magaidi wanaojifichia kwa watu na mwisho wa siku wanapigwa vizuri tu.Haya ielezee ile vita iliyokuwa real battle kati ya Wanajeshi wa Israel na wanajeshi wa hizo Nchi alizopigana nazo.
 
Ile vita

Israel mwaka 2006 alipoteza kwa mgambo wa hezbollah na kupelekea makamanda wake wote wa juu kujiuzulu
Vita sio mchezo especially unapopigana na mtu ambae hana cha kupoteza unadhani marekani mjinga kupeleka vifaa na kutaka kupeleka jeshi ?anajua what is there na akienda kifalafala anaaibika wale iran hujui wamepanga nini na mrusi ndio maana marekani anaenda kwa kusita sita, vita sio lelemama kama mtu ameweza kuingia ndani ya nchi yako na kuteka makamanda wako unadhani ni fala huyo?
 
Hebu nenda kaangalie kwa page ya 'eye on Palestina' uone kichapo kinavyotembezwa na uzuri wanapost ni wao wenyewe Wapalestina.
 
Uzuri wako unaongea kile ungependa kiwe na hauongelei uhalisia wenyewe[emoji3]
 
Uzuri wako unaongea kile ungependa kiwe na hauongelei uhalisia wenyewe[emoji3]
Kuua watu 900 ikiwemo wanajeshi na kuteka wengine ndani ya ardhi ya mtu anayelindwa na mataifa yote ya ulaya sio kazi ndogo hamas wapewe maua yao ,israel imegundua kwamba pamoja na kutumia gharama nyingi kujilinda but they are still weak (na hapo iran and russia are watching very closely kujua weakness ya adui)
 
Hata Israel kila uchwao hushambulia raia wasio na hatia wa Palestina.
Wale watu waliouliwa wa music festival hawakuwa raia wasio hatia?.watavuna walichopanda, tena ili kuwakomesha watoto wa Yakobo waichukue gaza yote kama afanyavyo mrusi kule Ukraine mbona kazi ipo. Ila Mungu ashukuriwe sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…