Kale ka nchi kanaweza kuvamiwa na kushambuliwa, lakini mwisho wa siku, mvamizi ataambulia kujuta na kusaga meno

Kale ka nchi kanaweza kuvamiwa na kushambuliwa, lakini mwisho wa siku, mvamizi ataambulia kujuta na kusaga meno

Ungejua siasa za dunia ungeelewa kwa nini Tanzania hatuwezi kuwa kama israel.

Ushawai jiuliza kwa nini israel ndio nchi pekee duniani yenye raia ambao hawafanani na majirani zake wote kimuonekano ? China , korea, japan wanafanana kimuonekano, india, bagladesh, Pakistan, wanafanana kimuonekano, Tanzania, burundi, kenya, uganda, rwanda , Zambia, Malawi tunafanana kimuonekano.marekani, mexico na canada wanafanana kimuonekano, south america Argentina, uruguay, Venezuela, raia wanafanana kimuonekano.

Cha kushangaza Israel wazungu kwa muonekano ila majirani zao nchi karibu zote ni wa arab kwa muonekano.

Pili ushawai kujiuliza kwa nini team za mpira za israel zinashiriki mashindano ya uefa champions league na europa league huku nchi yao haipo ardhi ya ulaya.
Cha ajabu zaid hao palestine na israel ni Babu yao mmoja yani ibrahim lkn ajabu kabisaa hawafanani kabisa mwenyez Mungu akawatenganisha kabisa wkt damu ni ya babu yao mmoja
 
Sjawahi kujua ni kivipi Israel huwa ni vigumu kupigika!
Ukiondoa hiyo Imani ya kusema ni taifa la Mungu, lakini Je, Mungu hachukii kisirani?

Mbona hicho kitaifa kina watu na viongozi wenye kisrani sana

Ni kagomvi mpaka nachukia, hakaogopi nchi kubwa wala mhuni kama Irani

Naomba kujua, mafunzo ya kijeshi jeshi la Israel hupata kutoka jeshi la nchi gani?

Je, tuna nchi ambayo hupewa mafunzo na jeshi la Israel kwa sasa? Jeshi hilo ni mahiri kiasi gani katika medeni za kivita?

Ni taifa dogo na lenye watu wachache, cha ajabu ndio taifa linaloogopeka zaidi Duniani

Ni taifa lenye jeshi imara zaidi ya nchi kama Iran, Saudi Arabia, brazil, na hata North Korea n.k

Africa tuna kwama wapi?

Mfano kama Nchi yangu Tanzania!

Hatujisikii aibu kuwa na nchi kuuubwa, lakini hatuwezi kabisa kuwa kwenye position kama hizo?

Mimi napenda mashindano siku zote, huwa sipendi kuachwa nyuma, ndivyo ninavyojisikia wivu nchi yangu kuwa nyuma kiasi vile

Tutafikia lini hapo? Kiasi cha kumkoromea hata Marekani, china, urusi na hata nchi yoyote?

Marekani huchangia siyo chini ya $3.8b kwa mwaka katika misaada ya kijeshi kwa Israel. Israel ndiyo mpokeaji mkubwa zaidi wa misaada ya kigeni ya Marekani tangu Vita vya Pili vya Dunia.


Bajeti ya ulinzi wa Israeli ikijumuisha misaada ya Marekani inakadiriwa kuwa dola bilioni 23.6 mwaka 2023.

Sasa inaonekana wana spend smartly tofauti na wenzao huko Middle East ambao bajeti zao ni kubwa zaidi.

Mfano…Bajeti ya ulinzi ya Saudi Arabia ilirekodi ongezeko la 5.7% hadi kufikia $69.1 bilioni mwaka 2023.
 
Marekani huchangia siyo chini ya $3.8b kwa mwaka katika misaada ya kijeshi kwa Israel. Israel ndiyo mpokeaji mkubwa zaidi wa misaada ya kigeni ya Marekani tangu Vita vya Pili vya Dunia.


Bajeti ya ulinzi wa Israeli ikijumuisha misaada ya Marekani inakadiriwa kuwa dola bilioni 23.6 mwaka 2023.

Sasa inaonekana wana spend smartly tofauti na wenzao huko Middle East ambao bajeti zao ni kubwa zaidi.

Mfano…Bajeti ya ulinzi ya Saudi Arabia ilirekodi ongezeko la 5.7% hadi kufikia $69.1 bilioni mwaka 2023.
Uwezo wao kimedani vipi mkuu
 
Mossad ni moja ya sophisticated intelligence agencies duniani , zana na teknolojia nyingi duniani hutoka kwa hawa jamaa , hata tunavoongea quantum computing mpaka mRNA ya covid ni jews marekani ndo walivumbua .
Walichukua F35 ya marekani wakaifanya stealth mpaka kuna rumour wakiitest ilipaa juu iran mpaka mji mkuu ila hamna radar ilidetect ,story yenyewe iliachiliwa na news station ya kuwait .
Wale jamaa wana kismart fulani sio cha kawaida
 
Mossad ni moja ya sophisticated intelligence agencies duniani , zana na teknolojia nyingi duniani hutoka kwa hawa jamaa , hata tunavoongea quantum computing mpaka mRNA ya covid ni jews marekani ndo walivumbua .
Walichukua F35 ya marekani wakaifanya stealth mpaka kuna rumour wakiitest ilipaa juu iran mpaka mji mkuu ila hamna radar ilidetect ,story yenyewe iliachiliwa na news station ya kuwait .
Wale jamaa wana kismart fulani sio cha kawaida
Mbona sasa hivi wanapigwa vibaya na vikosi vya wanamgambo?wakiwachinja iran si watapigwa vibaya?acheni story za kwenye kahawa.
 
HAMAS wapigwe mpaka wachakae japo itaenda sambamba na kupotezwa kwa maisha ya Wapalestina wengi wasio na hatia,lakini mwana kulitaka mwana kulipewa.
Mtazamo wako,ingawa sijui kama huyo unaemuomba atakuitikia hiyo dua!!
 
Sjawahi kujua ni kivipi Israel huwa ni vigumu kupigika!
Ukiondoa hiyo Imani ya kusema ni taifa la Mungu, lakini Je, Mungu hachukii kisirani?

Mbona hicho kitaifa kina watu na viongozi wenye kisrani sana

Ni kagomvi mpaka nachukia, hakaogopi nchi kubwa wala mhuni kama Irani

Naomba kujua, mafunzo ya kijeshi jeshi la Israel hupata kutoka jeshi la nchi gani?

Je, tuna nchi ambayo hupewa mafunzo na jeshi la Israel kwa sasa? Jeshi hilo ni mahiri kiasi gani katika medeni za kivita?

Ni taifa dogo na lenye watu wachache, cha ajabu ndio taifa linaloogopeka zaidi Duniani

Ni taifa lenye jeshi imara zaidi ya nchi kama Iran, Saudi Arabia, brazil, na hata North Korea n.k

Africa tuna kwama wapi?

Mfano kama Nchi yangu Tanzania!

Hatujisikii aibu kuwa na nchi kuuubwa, lakini hatuwezi kabisa kuwa kwenye position kama hizo?

Mimi napenda mashindano siku zote, huwa sipendi kuachwa nyuma, ndivyo ninavyojisikia wivu nchi yangu kuwa nyuma kiasi vile

Tutafikia lini hapo? Kiasi cha kumkoromea hata Marekani, china, urusi na hata nchi yoyote?
Invincibility yake kwisha. Ni ka nchi ka hovyo hata kiulinzi kameumbuliwa
 
Huna unachokijua kuhusu Israel.
Sema ww unachokijua tusikie.

israel ipo pale inalindwa na mataifa ya magharib kwa kila kitu ukijuacho kama hufahamu.

Hawana uwezo wa kusimama wenyewe kwa wenyewe kama unavyofikiri.

Kinachowatesa wapalastina ni kukosa support ya nje,kwa kuwa mataifa yote ya kiarabu ukiacha iran ni wanafiki watupu.

Hivyo hakuna taifa ambalo linawasaidia wapalestina km ilivyo kwa waisrael.
 
Soma vizuri historia ya hio nchi kwenye medan za kivita.
Hakuna vita ambayo israel walipigana wenyewe.

Vita yote wanasimamiwa na mataifa ya magharibi ikiongozwa na marekani.

Ndio ukaona mara baada ya shambulizi la juzi marekani katangaza kutoa manuary ya kivita kwenda kuisaidia israel.
 
ila huu ndio ugaidi halisi, imagine badala ya kupigana na wanajeshi trained kama wewe, unaenda kupiga raia ambao hata hawako trained, wengine wanafunzi. kuna mama mmoja analia mtoto wake aliondoka mexico kuja shule, amechukuliwa mateka na wamempeleka gaza. kama wao ni wanaume, si wapigane na wanajeshi wa israel? unashambuliaje raia wasio wanajeshi? ndio ugaidi huo.
Kwani hao wanajeshi wa israel hawashambulii raia wa palestine,au hao wanaokufa wote ni wapiganaji wa hamas??
 
Pale myahudi toka tandale kwa tumbo anapoisifia israel ya mashariki ya kati.
 
Kabisa wako nyuma yao kumlinda, bila hivyo israel ni kama jeshi la bongo tu
Jeshi letu ni zuri, lakini hutakuwa sahihi kulilinganisha na Jeshi la Israeli.

Mwaka 1964, Israel ilitoa msaada wa mafunzo kwa maofisa wa JWTZ, baada ya kuombwa na TANU. Lakini sina taarifa kama na nchi yetu imeshawahi kuisaidia Israeli kwa jambo lolote.

Kumbuka, mkubwa ndiyo humsadia mdogo.
 
Back
Top Bottom