Kalenda hii inaonesha kesho ni tarehe 32/10/2024

Kalenda hii inaonesha kesho ni tarehe 32/10/2024

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,412
Reaction score
3,043
Hii taasisi imetoa kalenda na kesho ni 32/10/2024

Nini maoni yako?

IMG_4143.jpeg
 
Pale DAWASA makao makuu kwenye bango lao jipya kabisa, kwenye mawasiliano yao wameweka na nembo ya twitter (ile alama ya kindege) kama moja ya mawasiliano yao.

Sasa unajiuliza, hawatambui mabadiliko ya twitter kwenda X!
 
Watu muna muda aisee kuangalia hizo kalenda za ukutani sikumbuki ni lini ....often natumia sana kalanda ya kwenye simu.
 
Watu muna muda aisee kuangalia hizo kalenda za ukutani sikumbuki ni lini ....often natumia sana kalanda ya kwenye simu.
Mkuu, watu wanapenda sana kutumia Manual kwa nini wasitumie Automatic wakati inarahisisha zaidi...?

Kuna mlevi mmoja aliskika mkuu.
 
Ina maana miezi iliyosalia itakuwa imevurugika kama mwezi unaofuata tarehe moja itachelewa kuanza siku
 
Madhara ya upigaji hayo.
Mtu yuko chap anawaza pesa tu.
Tanzania ina askari na maafisa wa magereza zaidi ya 2000. Kila askari kalenda moja na kila kalenda moja ukute ni sh. Elfu 50.
Hapo 100,000,000
Milioni 70 inaingia mifukoni mwa watu watatu tu. Na jamaa walivyo wababe wanaweza kuwauzia maaskari kalenda kwa buku 5 kila mmoja pesa ya mkuu wa jela ili naye azibwe mdomo
 
Back
Top Bottom