Hamjui hata jina la kampuni kila my anafungua threadKama heading inavyojieleze Kama unajua uliweka pesa zako Kylinda sahau na utafute kazi nyingine ya kukuingizia kipato watanzania ni wagumu sana kuelewa sijui kiwakute nini ndio wakubali QNET nao walikuja ivi ivi wakaondoka na kuacha vilio kila kona now KyLINDA wameaondoka na kijiji[emoji16][emoji16]
View attachment 2383601