Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Waliwe tu Kama mbogambonga inavyo watafuna....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawaaaamini macho yao [emoji2][emoji2][emoji2]Kuna watu wanatoka jasho la pua muda huu hawaamini kilichotokea.
Akili itakaaa sawaNchi hii ina wapumbavu wengi sana
Ngoja waje wengine wajipigie tena
Ova
Nchi hii ina wapumbavu wengi sana
Ngoja waje wengine wajipigie tena
Ova
Plus wengine walikua hawaweki 20,000 wengine wameweka mpaka 1,000,000 na zaidiApp imekuwa download na watu Laki 1
Watu Laki 1 * 20000( kiwango Cha chini Cha kuwekeza )
Zaidi ya Bilioni 2 zimeibiwa
Pasipo kujua nao wanaua brand pamoja na credibility yao.Ila nadhani hivi vyombo vya habari credible ndio vinaingiza watu mkenge zaidi angali Mr. Kuku na Kalynda wote wanatumia zile channels unazoziamini kukupiga.
Najua wanapata matangazo lakini pia wao wanajukumu la kufanya due diligence. Jamii inaviamini sana.
ITV nao wajitafakari katika hili.
Super brandPasipo kujua nao wanaua brand pamoja na credibility yao.
Serekali eehTuwe watulivu, serikali yetu ni sikivu itatoa tamko juu ya hili..[emoji38][emoji38][emoji38]
Ungemwambia akukopeKuna jamaa alikuwa ananilazimisha sana nijiunge aloo nilipishana naye kwenye hili saizi sijui angenijibu kitu gani nimuelewe endapo ningeliwa pesa yangu.
La mgambo likilia kuna jambo😂Kalynda waliwaaminisha watanzania wapenda slope maeneo haya jamaa walikua na akili sana
1. Kujitangaza ITV na redio mbalimbali mfano huku mikoan iringa kuna redio inaitwa Nuru Fm walikua wakitangaza sana hawa jamaa
2. Leseni za biashara na Mlipakodi
3. Kupanga NSSF House 30 floor
4. Matangazo mpaka barabarani
5. Returnrate more than 102% yaaan jamaaa walikua wanalipa kuliko kampuni yoyote dunian [emoji1787] hata elon musk na Tesla yake alikua hauwez moto wa Kalynda
Baadhi ya mambo ambayo mjanja angeweza kustuka
1. Ponzi scheme ziko hivi always; ukiona tu mtu anasema njoo mahala fulan kwa kukulazimisha kuna fursa ujue wewe ndio fursa kaiona kwako
2. Application yao haikua ikiomesha moderator ni nan uwanja wa comment umefungwa na haieleweki nyuma ya kampuni wapo akina nan watendaji wakuuu ajabu mtendaji mkuu raia wa china anaitwa Mr. Thomas[emoji1787] aloooo
Watanzania fanyeni kazi, wanakuja wengine.
Kabisa hata kama wanataka biashara wajiridhishe mara mbili mbili. Wanareputation yao katika media industry hapa nchini.Pasipo kujua nao wanaua brand pamoja na credibility yao.