Kalynda imefunga ofisi zake hapa nchini, viongozi wake hawajulikani walipo

Kalynda imefunga ofisi zake hapa nchini, viongozi wake hawajulikani walipo

Ila nadhani hivi vyombo vya habari credible ndio vinaingiza watu mkenge zaidi angali Mr. Kuku na Kalynda wote wanatumia zile channels unazoziamini kukupiga.

Najua wanapata matangazo lakini pia wao wanajukumu la kufanya due diligence. Jamii inaviamini sana.

ITV nao wajitafakari katika hili.
 
Ila nadhani hivi vyombo vya habari credible ndio vinaingiza watu mkenge zaidi angali Mr. Kuku na Kalynda wote wanatumia zile channels unazoziamini kukupiga.

Najua wanapata matangazo lakini pia wao wanajukumu la kufanya due diligence. Jamii inaviamini sana.

ITV nao wajitafakari katika hili.
Pasipo kujua nao wanaua brand pamoja na credibility yao.
 
Kalynda waliwaaminisha watanzania wapenda slope maeneo haya jamaa walikua na akili sana

1. Kujitangaza ITV na redio mbalimbali mfano huku mikoan iringa kuna redio inaitwa Nuru Fm walikua wakitangaza sana hawa jamaa

2. Leseni za biashara na Mlipakodi

3. Kupanga NSSF House 30 floor

4. Matangazo mpaka barabarani

5. Returnrate more than 102% yaaan jamaaa walikua wanalipa kuliko kampuni yoyote dunian [emoji1787] hata elon musk na Tesla yake alikua hauwez moto wa Kalynda

Baadhi ya mambo ambayo mjanja angeweza kustuka

1. Ponzi scheme ziko hivi always; ukiona tu mtu anasema njoo mahala fulan kwa kukulazimisha kuna fursa ujue wewe ndio fursa kaiona kwako

2. Application yao haikua ikiomesha moderator ni nan uwanja wa comment umefungwa na haieleweki nyuma ya kampuni wapo akina nan watendaji wakuuu ajabu mtendaji mkuu raia wa china anaitwa Mr. Thomas[emoji1787] aloooo

Watanzania fanyeni kazi, wanakuja wengine.
La mgambo likilia kuna jambo😂
 
Ni kitu gani au ni kina nani hawa jamaa?

Kila mahali Kalyanda....kalyanda,wamefanya nini?
 
Pasipo kujua nao wanaua brand pamoja na credibility yao.
Kabisa hata kama wanataka biashara wajiridhishe mara mbili mbili. Wanareputation yao katika media industry hapa nchini.

Assume now credible investment platform hawawezi kuwaamini ITV kwa 100% kama njia rasmi ya Promotion. Sababu audience yake ina maumivu tayari ya Kalynda
 
Back
Top Bottom