Kalynda imefunga ofisi zake hapa nchini, viongozi wake hawajulikani walipo

Kalynda imefunga ofisi zake hapa nchini, viongozi wake hawajulikani walipo

Kabisa hata kama wanataka biashara wajiridhishe mara mbili mbili. Wanareputation yao katika media industry hapa nchini.

Assume now credible investment platform hawawezi kuwaamini ITV kwa 100% kama njia rasmi ya Promotion. Sababu audience yake ina maumivu tayari ya Kalynda
Hatari sana mkuu. Sijui CEO wa ITV kwa sasa ni nani, ili yule mama Mhavile alikuwa anajitahidi sana. Sidhani kama bado yupo pale.
 
Mimi nilimuuliza muhamasishaji mmoja wa huu utapeli kwanini naweka pesa yangu kama malipo yatatokana na mimi kurate hizo bidhaa zao feki!

Sikupewa jibu na muhamasishaji akaninunia baada ya kukataa kujiunga.
 
Kuna jamaa aliweka milion 10 toka mwezi wa 6 akawa anasubiria mwezi huu achukue mpunga wa kutosha akamalizie nyumba yake mara ghafla bin vuu anaona watu waleeee wanatokomea kusikojulikana[emoji38][emoji38][emoji38]
Duh kweli nimeamini kuna watu ni wapumbavu,yaani mtu ana milioni 10 mkononi anashindwa kuizalishia anakwenda kuwapa matapeli
 
Ila nadhani hivi vyombo vya habari credible ndio vinaingiza watu mkenge zaidi angali Mr. Kuku na Kalynda wote wanatumia zile channels unazoziamini kukupiga.

Najua wanapata matangazo lakini pia wao wanajukumu la kufanya due diligence. Jamii inaviamini sana.

ITV nao wajitafakari katika hili.
Ukivilaumu vyombo vya habari unakosea ndugu,wewe ni mtu mzima mwenye akili timamu unapaswa kuchanganua mambo na kujua baya na zuri.
Vyombo vya habari kazi yao ni kupokea matangazo na kuyatangaza bila ubaguzi,ukipeleka tangazo la pombe watalitangaza,tangazo la sigara watalitangaza wao si kazi yao usiwe mlevi,ukilewa ukaharibikiwa huwezi kwenda kuwalaumu kwa nini mmetangaza pombe halafu mimi nikawa mlevi hiyo ni wewe na akili yako.
Angalau kidogo ungelaumu vyombo vya usalama ingekuwa na mantiki.
 
Back
Top Bottom