Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kitu gani au ni kina nani hawa jamaa?
Kila mahali Kalyanda....kalyanda,wamefanya nini?
Nini kimetokea wakuu
Hatari sana mkuu. Sijui CEO wa ITV kwa sasa ni nani, ili yule mama Mhavile alikuwa anajitahidi sana. Sidhani kama bado yupo pale.Kabisa hata kama wanataka biashara wajiridhishe mara mbili mbili. Wanareputation yao katika media industry hapa nchini.
Assume now credible investment platform hawawezi kuwaamini ITV kwa 100% kama njia rasmi ya Promotion. Sababu audience yake ina maumivu tayari ya Kalynda
Serikali haihusiki na common sense za wananchi.
Ni yale mambo ya kupanda mbegu?Tayari huko watu wanashika vichwa... Wametapeliwa
Kabisa.......na sahv wanaletewa nyingine wakungutwe zaidi na zaidi[emoji23][emoji23][emoji23] nchii hii ina wananchi wahovyo sana saanaa teteteeeee
They're titling on the verge of collapse.Super brand
Unakuta Marketing team ya hivi vituo inapewa unrealistic numbers likija deal hata hawawazi wanapokea tu.Hatari sana mkuu. Sijui CEO wa ITV ni nani, ili yule mama Mhavile alikuwa anajitahidi sana. Sidhani kama bado yupo pale.
Sahv wanaletewa mambo ya kijiditaliNi yale mambo ya kupanda mbegu?
Hahahah wajinga hawaishi wanabadilika na mfumo tu.
Wamepigwaaaa vibayaaaa mnooooo ..App imekuwa download na watu Laki 1
Watu Laki 1 * 20000( kiwango Cha chini Cha kuwekeza )
Zaidi ya Bilioni 2 zimeibiwa
Pesa kama hiyo hailiki Bro,Mimi mwenyewe nataka nianzishe yangu kumbe wajinga ni wengi ivi[emoji16][emoji16]
😂😂Uzazi wa mpango tenaKadri wasomi wanavyokosa kipato cha uhakika, ndivyo uhalifu uongezeka. Idadi ya watu kubwa, uchumi wa nchi mdogo. Africa kuna shida kubwa sana. Tufanye uzazi wa mpango kama Ulaya.
Duh kweli nimeamini kuna watu ni wapumbavu,yaani mtu ana milioni 10 mkononi anashindwa kuizalishia anakwenda kuwapa matapeliKuna jamaa aliweka milion 10 toka mwezi wa 6 akawa anasubiria mwezi huu achukue mpunga wa kutosha akamalizie nyumba yake mara ghafla bin vuu anaona watu waleeee wanatokomea kusikojulikana[emoji38][emoji38][emoji38]
Watu wameshapigwa na kitu kizito kichwani..[emoji4][emoji4][emoji4]Nyie viongozi wa KALYNDA popote mlipo,,
Nawaambieni ,,
MUNGU ATAAMUA UGOMVI
Jasho letu haliwezi kwenda bure.
Ukivilaumu vyombo vya habari unakosea ndugu,wewe ni mtu mzima mwenye akili timamu unapaswa kuchanganua mambo na kujua baya na zuri.Ila nadhani hivi vyombo vya habari credible ndio vinaingiza watu mkenge zaidi angali Mr. Kuku na Kalynda wote wanatumia zile channels unazoziamini kukupiga.
Najua wanapata matangazo lakini pia wao wanajukumu la kufanya due diligence. Jamii inaviamini sana.
ITV nao wajitafakari katika hili.
Hewa imeshakuwa nzito , tufungue madirisha na milangoNa kunawatu bado wanaamini App itafunguka wapeleke hela.