Kalynda imefunga ofisi zake hapa nchini, viongozi wake hawajulikani walipo

Kalynda imefunga ofisi zake hapa nchini, viongozi wake hawajulikani walipo

Poleni wahanga tukutane week end tipige kitu kinaitwa Captain Morgan
 
Ila nadhani hivi vyombo vya habari credible ndio vinaingiza watu mkenge zaidi angali Mr. Kuku na Kalynda wote wanatumia zile channels unazoziamini kukupiga.

Najua wanapata matangazo lakini pia wao wanajukumu la kufanya due diligence. Jamii inaviamini sana.

ITV nao wajitafakari katika hili.
Hilo sio jukumu la chombo cha habari,wao ni kupokea tangazo na kuona je kisheria/kimaadili ya nchi yetu liko sawa!!hayo mengine huko ni kazi ya vyombo vingine.
 
Reputation damage ndio inawahusu hapa.
Kaka,

Kwendana na sheria zilizotungwa sahau habari ya reputational damage.

Hivi vyombo vyote vimekuwa squeezed na ndiyo maana vinategemea betting kujiendesha kwa sehemu kubwa.

Kitendo tu cha kutokuwa na balanced reporting kilishaondoa hayo maswala ya reputation.

Chombo cha habari ni lazima kifanye risk assessment kwa mazingira haya magumu, kutetea reputation yake ili kife kwa rungu la Nape au kutokujali reputation ili biashara i-survive. In this case naona vyombo vyote vimechagua survival-Si Mengi wala Bakhresa.

Binafsi nilishaacha kuangalia TV za nyumbani na kununua magazeti kwa sababu ya biased reporting.

Hakutakuwa na best defender wa interests zako zaidi ya wewe nwenyewe. Play your part very aggressively.
 
Ndio kitu gani hio[emoji1787][emoji1787]

Another DECI

mtapigwa kwa ponzi schemes hadi lini

1. DECI

2. RIFARO

3. FOREVER LIVING

4. QNET

5. KALYNDA

6.....

Nyingine nyingi zitakuja sababu wapumbavu ni wengi sana .
Bado ONTARIO naye yupo jikoni anatengeneza app yake anaiita EXXON atakuja kupiga nayo watu muda si mrefu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
...mamaaaa naumiaaaa....
SITAANGALIA TENA ITV maisha yangu yote
 
kitu chchote km unaona rahc kukipata bc pia jua n rahc kupotea
Kama heading inavyojieleze Kama unajua uliweka pesa zako Kaylnda sahau na utafute kazi nyingine ya kukuingizia kipato watanzania ni wagumu sana kuelewa sijui kiwakute nini ndio wakubali QNET nao walikuja ivi ivi wakaondoka na kuacha vilio kila kona now Kalynda wameaondoka na kijiji[emoji16][emoji16]
View attachment 2383601
 
Kwan mkuu ITV walikushikia panga ukaweke pesa zako umo, watu wamekuja na vibali vyote wanataka warushe tangazo lao na wakalipia sasa wao wahasukaje apo na wao wanafanya biashara?
Hata matangazo ya CRDB na soko la hisa dar es salaam (DSE) siyaamin tena ikiwa yataendelea kutolewa na ITV.
(To be honest ITV haikutakiwa warushe kitu cha mchongo mchongo Kama like.
Mfano, kwenye microfiber interested rate kwa mwezi should not be above 3.5%
Sasa hiyo rate ya 4% per day ilitosha sana kuhojiwa na kukataliwa.
Mim kilichofanya niikatae hii kaylinda ni hiyo return rate ya 4%, ila shangazi zangu wangejuaje hili...ITV, BOT wanatakiwa kuwa serious
 
Nyie viongozi wa KALYNDA popote mlipo,,

Nawaambieni ,,
MUNGU ATAAMUA UGOMVI

Jasho letu haliwezi kwenda bure.
Sio kila jambo tumuachie Mungu, Mungu yupo busy sana na mambo mengi haya ya kujitafutia tumalizane wenyewe
 
Kama ni kweli hizi ni taarifa njema sana maana wabongo vichwa kama kenge tu. Tuliwaalert mapema humu wakatupuuza. Fursa zingine ni fursana
 
Kuna jamaa aliweka milion 10 toka mwezi wa 6 akawa anasubiria mwezi huu achukue mpunga wa kutosha akamalizie nyumba yake mara ghafla bin vuu anaona watu waleeee wanatokomea kusikojulikana[emoji38][emoji38][emoji38]
Hivi mkuu kwa maelezo yao hio 10m ya tangu mwezi wa 6 inaongezeka kufikia kiasi gani? Huu mwezi aliotakiwa kupokea?
 
Poleni sana na pia ni somo hakuna mtu wa kukupa pesa za bure dunia ya sasa mchina gani wakuitwa Thomas
Wachina wanaotoka Hong Kong wana majina ya kizungu i.e Thomas Wong, Peter Lu..etc...
 
Back
Top Bottom