DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ulishasikia wapi mchina anaitwa Thomas?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ulishasikia wapi mchina anaitwa Thomas?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pole zakeKuna jamaa aliweka milion 10 toka mwezi wa 6 akawa anasubiria mwezi huu achukue mpunga wa kutosha akamalizie nyumba yake mara ghafla bin vuu anaona watu waleeee wanatokomea kusikojulikana[emoji38][emoji38][emoji38]
Itv wameshiriki Sana uhuniIla nadhani hivi vyombo vya habari credible ndio vinaingiza watu mkenge zaidi angali Mr. Kuku na Kalynda wote wanatumia zile channels unazoziamini kukupiga.
Najua wanapata matangazo lakini pia wao wanajukumu la kufanya due diligence. Jamii inaviamini sana.
ITV nao wajitafakari katika hili.
6. ScatecNdio kitu gani hio[emoji1787][emoji1787]
Another DECI
mtapigwa kwa ponzi schemes hadi lini
1. DECI
2. RIFARO
3. FOREVER LIVING
4. QNET
5. KALYNDA
6.....
Nyingine nyingi zitakuja sababu wapumbavu ni wengi sana .
Mchina gan anaitwa thomas[emoji23]Mr.Thomas toka China moja ya wakurugenzi toka nje ya Africa waliofanikiwa Africa
Sportpesa yetu[emoji123][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]Long live Sportpesa
Asante kwa Taarifa ziwafikie wahanga na wahangwa kama zilivyoKama heading inavyojieleze Kama unajua uliweka pesa zako Kaylnda sahau na utafute kazi nyingine ya kukuingizia kipato watanzania ni wagumu sana kuelewa sijui kiwakute nini ndio wakubali QNET nao walikuja ivi ivi wakaondoka na kuacha vilio kila kona now Kalynda wameaondoka na kijiji[emoji16][emoji16]
View attachment 2383601
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tulieni mi naleta yangu sitawatapeli.
Mkuu pole kwa kupigwaSerikali iwajibike. Haiwezekani waruhusiwe kufanya biashara ya pesa bila dhamana.
Wananchi wataelewa serikali ndiyo imewatapeli.
Walisajiriwa brella wakalipa kodi.
Huku mtaani ni vilio tu mpaka huruma.
Nashukuru Mungu sikufanya ujinga huu
Pole sana mkuu, huyu mchina Mr.Thomas alikuwa anaishi wapi?Nyie viongozi wa KALYNDA popote mlipo,,
Nawaambieni ,,
MUNGU ATAAMUA UGOMVI
Jasho letu haliwezi kwenda bure.
Kabisa ingawa hawakukulazimisha ila nadhani wao wana uwezo mkubwa wa kufuatilia uhalali wa baadhi ya projects kuliko raia wa kawaida.Itv wameshiriki Sana uhuni
Kuanzia qnet, forever,mr.kuku kigamboni Hadi wale jamaa wa vanilla kilo million Moja. Wamewatangaza wao
Mkuu, walikuwepo wa akina deci enzi hizo sijui zikaja qnet, bwana kuku, nk nk ponzi schemes za kutosha zote walishalaaniwa sana kwa Mungu ila ndio ivo mnaendelea kupigwa kila siku kwa kukosa maarifa. Hizi issues zinapoanza huwa watu wanatoa nyuzi za tahadhari ila mnaishia kuwatukana na kuwaambia wivuNyie viongozi wa KALYNDA popote mlipo,,
Nawaambieni ,,
MUNGU ATAAMUA UGOMVI
Jasho letu haliwezi kwenda bure.
Yes. Ungepigwa
Watu wakija na vibali toka vyombo husika vya kufanya wanachofanya na wanataka tangazo liende hewani wao hawafanyi kazi ya polisi.Hawakushika panga ila unajua kwa nini wanahusika sababu ya reputation yao. Unadhani hili Tangazo lingekua Carrymastory linakua na weight kama ya ITV? Jibu ni hapana. Jamii ina imani kubwa sana na ITV na ndio maana hata habari ITV ina aminika zaidi.
Mkuu huo ulikuwa utapeli wa kitaalamu yaani wakisomi, hujawahi ona hadi serikali inatapeliwaga tu hata na makampuni na tenda kama zile za vichwa vya treni na dowans. Yaani unatapeliwa kitaalamu zaidiHawakushika panga ila unajua kwa nini wanahusika sababu ya reputation yao. Unadhani hili Tangazo lingekua Carrymastory linakua na weight kama ya ITV? Jibu ni hapana. Jamii ina imani kubwa sana na ITV na ndio maana hata habari ITV ina aminika zaidi.