Hamjui hata jina la kampuni kila my anafungua threadKama heading inavyojieleze Kama unajua uliweka pesa zako Kylinda sahau na utafute kazi nyingine ya kukuingizia kipato watanzania ni wagumu sana kuelewa sijui kiwakute nini ndio wakubali QNET nao walikuja ivi ivi wakaondoka na kuacha vilio kila kona now KyLINDA wameaondoka na kijiji[emoji16][emoji16]
View attachment 2383601
😂😂😂😂😂Nyie viongozi wa KALYNDA popote mlipo,,
Nawaambieni ,,
MUNGU ATAAMUA UGOMVI
Jasho letu haliwezi kwenda bure.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyie viongozi wa KALYNDA popote mlipo,,
Nawaambieni ,,
MUNGU ATAAMUA UGOMVI
Jasho letu haliwezi kwenda bure.
Cc Daudi MchambuziSerikali iwajibike. Haiwezekani waruhusiwe kufanya biashara ya pesa bila dhamana.
Wananchi wataelewa serikali ndiyo imewatapeli.
Walisajiriwa brella wakalipa kodi.
Huku mtaani ni vilio tu mpaka huruma.
Nashukuru Mungu sikufanya ujinga huu
ADMIN ni mfantakazi tu ametoa taarifa kuwa mabosi zake awajulikani walipo[emoji23][emoji23][emoji23] na yeye kapigwa na kitu kizitoAkamatwe huyo admin,mana bado yupo kazini,analipwa na nani
Tanzania wapmbv ni wengi sanaNdio kitu gani hio[emoji1787][emoji1787]
Another DECI
mtapigwa kwa ponzi schemes hadi lini
1. DECI
2. RIFARO
3. FOREVER LIVING
4. QNET
5. KALYNDA
6.....
Nyingine nyingi zitakuja sababu wapumbavu ni wengi sana .
Cha muhimu ujumbe umefika pole sana shukuru bado upo hai pesa zinatafutwa utapata nyingine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hamjui hata jina la kampuni kila my anafungua thread
Mimi mwenyewe nataka nianzishe yangu kumbe wajinga ni wengi ivi[emoji16][emoji16]App imekuwa download na watu Laki 1
Watu Laki 1 * 20000( kiwango Cha chini Cha kuwekeza )
Zaidi ya Bilioni 2 zimeibiwa
Cha muhimu ujumbe umefika pole sana shukuru bado upo hai pesa zinatafutwa utapata nyingine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Cha muhimu ujumbe umefika pole sana shukuru bado upo hai pesa zinatafutwa utapata nyingine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]