min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Nilikuwepo mkuu, na utakapo zingatia hiyo simu ndogo zingatia msg za mashoo zake😁😁Zingatia SIMU NDOGO
Haukuja kikaoni ndo maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwepo mkuu, na utakapo zingatia hiyo simu ndogo zingatia msg za mashoo zake😁😁Zingatia SIMU NDOGO
Haukuja kikaoni ndo maana
Mtu atakaekula hela yangu labda kama anazo mbiliMtafute kwa nguvu sana kuna vijana wengi wanahitaji mishangazi. Supply bado ndogo
Mbili si yako na yake jamani😁 acha roho mbayaMtu atakaekula hela yangu labda kama anazo mbili
Mbili zote zangu🤣Mbili si yako na yake jamani😁 acha roho mbaya
😂Mupee mwenzio wacha uchoyo bana, utelezi umepewa freeMbili zote zangu🤣
Helaaa???? Nehi nehiiiii nehiiiiiii😂Mupee mwenzio wacha uchoyo bana
Well said brotherunapoteza muda wako bure kwa ufupi usimpe nafasi mwanamke mpumbavu kwenye maisha yako ukimhisi tuh mpe kwaheri songa mbele ni rahisi sana
Wewe si umepewa free sliding aka utelezi, mupee na kijana aserereke na mjulubeng wake. Muone anti ezekiel anavyofaidia kitoto KusahHelaaa???? Nehi nehiiiii nehiiiiiii
Packet mpya ya pad kuna kakiswaswadu kanakaaga huko hamkajui..ndio kanaitwa msukule😅Duuuh
Elezea kidogo kuhusu misukule ya kwenye pedi
Kulea ni shida sanaWewe si umepewa free sliding aka utelezi, mupee na kijana aserereke na mjulubeng wake. Muone anti ezekiel anavyofaidia kitoto Kusah
Sio fumbo,yaani kuna viswaswadu vinafichwa hicho kinawashwa usipokuwepo home,kinafichwa mithili ya misukule.....🤣😅
Mafumbo hayo
Au ndo fumbo mfumbie mjinga
Tulia sasaHela ninazo
Huu msemo umekaa kikabwela🤔Tafta hela wewe
Kwanini?Huu msemo umekaa kikabwela🤔