Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Anaijua ndio.
Kama yeye ndiye aliyeandika Bible(maandiko matakatifu) iweje useme haijui.
Au neno Bible linakuchanganya?
Basi ita "Maandiko matakatifu" maana Hilo neno lilolotoholewa naona linakuchanganya
Mkuu huyo yupo kwa ligi zaidi.
Ukipata muislam anayejibu kwa hoja nishtue..naupenda huu mjadala ila sitaki kubishana nataka kuelimishana.
 
"In the weak mind of humans, what appeared to be (To our ancestors, prophets, and creators of our religions on Earth) the real, unique, and only God, was in fact, the “strongest” and most powerful god from all the other gods (Humans came to know, or heard about) who managed to outlaw other gods, to eliminate other gods, and convince our ancestors, that He is above all gods; the only one; and the creator of human beings, and the universe"

"As long as, here on planet Earth, we have markets’ competitions, different understanding of what is right and what is wrong, as long as we have so many different religions, each one claiming to be the most truthful religion, and as long as, using aggression (in any form or for any reason) to convince others, to intimidate others, to rule others, and to protect interests at a personal level or at a state level, as long as we are controlled by these rules and differences among us, the human race will remain negatively affected, greedy, violent, selfish, materialistic, and unable to seek and reach happiness, peace and the ultimate truth"
 

Wewe umeuliza Musa anaijua Biblia nikakujibu ndio anaijua.

Nikakuambia yeye kaandika Biblia alafu asiijue! Nikakuambia Kama neno biblia lililotoholewa kwenye neno Bible kutoka Biblio linalomaanisha maandiko matakatifu linakuchanganya basi ita maandiko matakatifu kwani ndio Kiswahili.

Kuhusu Musa na Yesu naona unataka kuniuliza maswali ya kitoto ambayo hata Quran iliyo-copy maandiko ya kiyahudi imeeleza wazi
 
Halimo kwenye torati, zaburi na injili ipi?
Wewe mkuu umejuaje halimo?
Em ziweke hapa namm nizisome nihakikishe kama kweli halimo.
Kwa vile halipo kweny qur an coz kweny qur an imesadifu yaliyopita yote...yote yamelewa ila hyo aya haipo na haingii akilini..sikia nakuuliza mussa na yesu Nan wa kwanza kuja ulimwenguni?
 
Hawa ndugu zetu wanakalia kukaririshwa kikasuku nao wanajiendea tuu.
Badala wajadili hoja naona wanapiga kelele na kutukana.
Hilo halina ubishi, ila sasa tatizo ni dini yenyewe au wahusika?

Yani kama ni dini, je tukipata msomi muislam aliyesoma mpaka Phd nayeye atakuwa anajibu kwa kelele na kutukana hivyo?

Kama ni wahusika, ina maana waislam wengi hawaendi shule? Kwanini?
 
😂😂😂Mussa haijui bible kama unavyodanganywa vitabu vingi havikuwa zimewekwa kweny mfumo wa kusomeka Bali yalikuwa ni masimulizi na wahyi ..ni kwamba muss hakuandika biblia kama unabisha leta ushahidi hata aya kwny bible kwamba kipind cha mussa yey ndo alaindika bible?
 
Hilo halina ubishi, ila sasa tatizo ni dini yenyewe au wahusika?
Yani kama ni dini, je tukipata msomi muislam aliyesoma mpaka Phd nayeye atakuwa anajibu kwa kelele na kutukana hivyo?
Kama ni wahusika, ina maana waislam wengi hawaendi shule?Kwanini?
Kama wewe hata elimu zero ndo unapokimbilia kwa elimu gani zaidi ya kuiba mitihani mashule yenu vilaza wengi hamna jipya...
 
Kwa vile halipo kweny qur an coz kweny qur an imesadifu yaliyopita yote...yote yamelewa ila hyo aya haipo na haingii akilini..sikia nakuuliza mussa na yesu Nan wa kwanza kuja ulimwenguni?
Huu sasa ni ujinga pro max.
Unasema injiili ya bible imeongezewa vitu nakuuliza injili original ikowapi unanambia tena kuhusu habari za quran..Quran ndio injili original?

Mimi siiamini Quran.
Sasa hebu tuassume huu ni mwaka 300AD kabla ya Quran wala mtume kuzaliwa, ila biblia ipo.
Sasa hapa kwa muktadha huu, una hoja zipi za kusema injili ya biblia imechakachuliwa?
 
Halafu bado wanaolewa wanne wanne.
(Na huwa hawapendi)
Yaani acha tu ni yale majini yao yanawapumbaza wanakaa tu halafu wote wanamuhangaikia pamoja na dawa wanazoogea acha tu mpaka ujitambue kakuzalisha kachoka wanaume wakislamu nawaogopaga niliwahi kufungwa kwa nazi na nazi imeandikwa kiarabu nilichoka nilipogundua aisee eti niolewe niwe second wife naakila akiniambia kitu nifuate sio niamue mimi kama mimi
 

Sasa kitu gani hapo kwenye Biblia hakipo?

Huyo Muhammad anasimulia habari za Yusuf au Musa, au Yesu yeye ni Myahudi? Anawajua hao watu?

Alikuwepo wakati hayo yanatokea?
Anajua mazingira waliokuwa wanaishi HAO mitume na manabii kumbuka hajawahi kufika Israel na kamwe hatakuja kukanyaga.

Au ndio alikuwa kama kina mwamposa au kina Masanja WA wakati ule kujifanya ameoteshwa vitu ambavyo tayari vipo?

Yaani Kabla Muhammad hajawa Mtume tayari visa vyote vipo mpaka Padri Walaga anavijua. Alafu anapata utume anajifanya kusimulia, tuweni serious kidogo.
 
Sasa mmi nitaamini vip kitabu kimeandikwa Italy Tena Kuna sehemu kimeandikwa "upumbavu wa mungu" hata kama ni wewe japo ulipata zero form unaweza kweli ukakubali icho kitabu..elewa kitu kimoja vitabu vimekuja kuandikwa zama za mwisho baada ya mitume walishaondoka kama bible iliandikwa kipind cha yesu.

Wapi panaonyesha kwamba yesu alisoma bible ?
 
Wakati Mo anakufa aliacha kitabu kinaitwa Quran au maswahaba wake ndio waliokiandika ?
 
Wewe hata kuunda tu sentesi inaonekana unapata tabu sana.
Sikujibu kwa qur an maana naona hauna hoja za maana ...njoo kweny ulingo unazunguka sasa mtu ulipata four form 4 Nibishane na wewe kwa lip? Kukariri tu hujui unakimbilia kwamba sitaki maandiko basi potea ,Nan apate tabu na mpubavu😂😂😂
 
Mods waleta mada za kidini kama hizi muwe mnapiga ban ya mwezi watajifunza waandishi uchwara
 
Nilikua naamini Musa alishushiwa torati kule mlimani alikokwenda, kumbe tofauti!!?
 
Waislam wanachuki na wanaroho mbaya sana hawanaga huruma ukiwaga nao karibu unatakiwa ujaribu sana uwahakikishie unawapenda sana.

Hataa kama ni mwanamke watu hao hapana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…