Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Anaijua ndio.
Kama yeye ndiye aliyeandika Bible(maandiko matakatifu) iweje useme haijui.
Au neno Bible linakuchanganya?
Basi ita "Maandiko matakatifu" maana Hilo neno lilolotoholewa naona linakuchanganya
Mkuu huyo yupo kwa ligi zaidi.
Ukipata muislam anayejibu kwa hoja nishtue..naupenda huu mjadala ila sitaki kubishana nataka kuelimishana.
 
"In the weak mind of humans, what appeared to be (To our ancestors, prophets, and creators of our religions on Earth) the real, unique, and only God, was in fact, the “strongest” and most powerful god from all the other gods (Humans came to know, or heard about) who managed to outlaw other gods, to eliminate other gods, and convince our ancestors, that He is above all gods; the only one; and the creator of human beings, and the universe"

"As long as, here on planet Earth, we have markets’ competitions, different understanding of what is right and what is wrong, as long as we have so many different religions, each one claiming to be the most truthful religion, and as long as, using aggression (in any form or for any reason) to convince others, to intimidate others, to rule others, and to protect interests at a personal level or at a state level, as long as we are controlled by these rules and differences among us, the human race will remain negatively affected, greedy, violent, selfish, materialistic, and unable to seek and reach happiness, peace and the ultimate truth"
 
😂😂😂😂😂😂😂😭😭Dah watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa..so mussa alikuwa mwanafunzi wa yesu alikuwa na mfundisho wa yesu??mussa na yesu Nan wa kwanza kuja katika zama zake..kaandikaje wakati alikuja duniai kabla ya mugu wenu ambaye ni yesu .

Wewe umeuliza Musa anaijua Biblia nikakujibu ndio anaijua.

Nikakuambia yeye kaandika Biblia alafu asiijue! Nikakuambia Kama neno biblia lililotoholewa kwenye neno Bible kutoka Biblio linalomaanisha maandiko matakatifu linakuchanganya basi ita maandiko matakatifu kwani ndio Kiswahili.

Kuhusu Musa na Yesu naona unataka kuniuliza maswali ya kitoto ambayo hata Quran iliyo-copy maandiko ya kiyahudi imeeleza wazi
 
Halimo kwenye torati, zaburi na injili ipi?
Wewe mkuu umejuaje halimo?
Em ziweke hapa namm nizisome nihakikishe kama kweli halimo.
Kwa vile halipo kweny qur an coz kweny qur an imesadifu yaliyopita yote...yote yamelewa ila hyo aya haipo na haingii akilini..sikia nakuuliza mussa na yesu Nan wa kwanza kuja ulimwenguni?
 
Hawa ndugu zetu wanakalia kukaririshwa kikasuku nao wanajiendea tuu.
Badala wajadili hoja naona wanapiga kelele na kutukana.
Hilo halina ubishi, ila sasa tatizo ni dini yenyewe au wahusika?

Yani kama ni dini, je tukipata msomi muislam aliyesoma mpaka Phd nayeye atakuwa anajibu kwa kelele na kutukana hivyo?

Kama ni wahusika, ina maana waislam wengi hawaendi shule? Kwanini?
 
Wewe umeuliza Musa anaijua Biblia nikakujibu ndio anaijua.
Nikakuambia yeye kaandika Biblia alafu asiijue!
Nikakuambia Kama neno biblia lililotoholewa kwenye neno Bible kutoka Biblio linalomaanisha maandiko matakatifu linakuchanganya basi ita maandiko matakatifu kwani ndio Kiswahili.

Kuhusu Musa na Yesu naona unataka kuniuliza maswali ya kitoto ambayo hata Quran iliyo-copy maandiko ya kiyahudi imeeleza wazi
😂😂😂Mussa haijui bible kama unavyodanganywa vitabu vingi havikuwa zimewekwa kweny mfumo wa kusomeka Bali yalikuwa ni masimulizi na wahyi ..ni kwamba muss hakuandika biblia kama unabisha leta ushahidi hata aya kwny bible kwamba kipind cha mussa yey ndo alaindika bible?
 
Hilo halina ubishi, ila sasa tatizo ni dini yenyewe au wahusika?
Yani kama ni dini, je tukipata msomi muislam aliyesoma mpaka Phd nayeye atakuwa anajibu kwa kelele na kutukana hivyo?
Kama ni wahusika, ina maana waislam wengi hawaendi shule?Kwanini?
Kama wewe hata elimu zero ndo unapokimbilia kwa elimu gani zaidi ya kuiba mitihani mashule yenu vilaza wengi hamna jipya...
 
Kwa vile halipo kweny qur an coz kweny qur an imesadifu yaliyopita yote...yote yamelewa ila hyo aya haipo na haingii akilini..sikia nakuuliza mussa na yesu Nan wa kwanza kuja ulimwenguni?
Huu sasa ni ujinga pro max.
Unasema injiili ya bible imeongezewa vitu nakuuliza injili original ikowapi unanambia tena kuhusu habari za quran..Quran ndio injili original?

Mimi siiamini Quran.
Sasa hebu tuassume huu ni mwaka 300AD kabla ya Quran wala mtume kuzaliwa, ila biblia ipo.
Sasa hapa kwa muktadha huu, una hoja zipi za kusema injili ya biblia imechakachuliwa?
 
Halafu bado wanaolewa wanne wanne.
(Na huwa hawapendi)
Yaani acha tu ni yale majini yao yanawapumbaza wanakaa tu halafu wote wanamuhangaikia pamoja na dawa wanazoogea acha tu mpaka ujitambue kakuzalisha kachoka wanaume wakislamu nawaogopaga niliwahi kufungwa kwa nazi na nazi imeandikwa kiarabu nilichoka nilipogundua aisee eti niolewe niwe second wife naakila akiniambia kitu nifuate sio niamue mimi kama mimi
 
Naomba kama kweli ni mjuvi kama unavyojinasibu utoke kwenye GENERAL UENDE KWENYE SPECIF....

Lakini pia NAKUSHANGAA UNAVYOITOA BIBILIA KUTOKA MANENO YA MUNGU KUWA MASIMULIZI YA WATU KAMA YALIVYOWATOKEA... JE UNATAKA KUWEKA KWENYE MIZANIA MASIMULIZI YA WATU NA MANENO YA MOLA MLEZI AKIELEZEA JINSI ALIVYOWAANGAMIZA WALIOMKADHIBISHA AU ALIVYOWANUSURU WALIOMWAMINI
KAMA IBRAHIMU DHIDI YA KUCHOMWA MOTO, NUHU DHIDI YA GHARIKA AU MUSSA DHIDI YA FIRAUNI AU YESU DHIDI YA KUSULUBIWA? lakini Mola Mlezi haishii kusimulia tu BASI ANATOA BISHARA KWA YETU ATAKAYECHUKUA NJIA YA KUNDI LOLOTE KATI YA HAYO YALIYO PITA BASI AJUE KABISA NDIVYO YATAKAVYOKUWA MAFIKIO YAKE SAWA NA HAO WALIOPITA....

Lakini TOFAUTI na visa na matukio ya waliopita MOLA MLEZI AMEELEZA MAADA MBALIMBALI KWENYE QUR'AN KAMA;
1. Embryology rejea SURATUL muuminun aya za mwanzo

2. Akaelezea uumbaji wa mbingu na ardhi, mabadiliko ya usiku na mchana kama ishara ya uwepo wake...

3. Akaelezea masuala ya sheria kama MARRIAGE yupi na yupi wanaweza kuoana na yupi na yupi hawawezi kuoana, akaelezea masuala ya mirathi wanaopasa kurithi mpaka na viwango vyao,

4. Ameelezea masuala ya biashara na vilivyokatazwa katika biashara..

5. Ameelezea hali ya siku ya HUKUMU na watakavyokuwa watu siku hiyo....

6. Ameeleza juu ya HUKUMU ya vitu ZAKA NA MAKUNDI YANAYOPASWA KUPEWA HIYO ZAKA TOFAUTI NA BIBILIA AMBAYO HUWEZI KUPATA MGAWANYO HUO NA MATOKEO YAKE ZAKA NI YA VIONGOZI PEKEE...

7. Kwenye QUR'AN MOLA MLEZI Ameonya juu ya tabia mbaya kama UNAFIQ na mafikio yao, upunguzaji wa mizani katika mauziano, Uchawi n.k LAKINI HUWEZI KUKUTA VITU HIVYO WITH CLARITY AND CONSISTENT kwenye BIBLE...

8. Ameelezea mitume waliopita, mitihani walioipata kutoka kwa watu wao, yakini yao kwa Mola Mlezi na jinsi alivyowaokoa na MADHILA LAKINI PIA ANATOA BIDHARA KWETU SISI... Je unataka KUWEKA KWENYE MIZANI NA BIBILIA AMBAYO ndani anasimuliwa Mitume kwa uovu kama IFUATAVYO:
1. Abraham anatuhumiwa uzinzi
2. Nuhu anatuhumia Ulevi [Alcoholism]
3. Luti anatuhumia kuzini na binti zake
4. Daudi kuzini na mke wa kamanda wake na kumuua mwenye mke..

Uhalisia wa mambo hata tungechukua sample za matukio na kuyalinganisha kama yalivyosimuliwa na vyanzo vyote viwili utagundua kimoja hakiko consistent wala facts based na kingine simulizi ziko very clear, consistent and facts based...

1. Mfano nikikuambia lete simulizi ya Yusuf Alayhim Salam kama ilivyosimuliwa kwenye bibilia na kwenye Qur'an utaona utofauti


2. Malezi ya Maria mama wa Yesu, baba yake, mama yake, mlezi wake baada ya kufa kwa wazazi wake Mtume wa Allah Zakariah, miujiza yake kama kupokea chakula kutoka peponi/mbinguni, kuzaliwa kwa Yahaya, kuzaliwa kwa Yesu, miujiza ya Yesu kuwasemeza watu akiwa KICHANGA yako very clear, consistent na facts based kuliko unavyoweza kuyapata kwenye bibilia.

3. Matukio kama vijana wa pangoni na miujiza ya muda waliokuja pangoni, idadi yao na mbwa wao angalia kwenye BIBILIA na JINSI YALIVYO KWENYE QUR'AN ni mbingu na ardhi...

LAKINI PIA MPANGILIO WA MANENO YA BIBILIA NA QUR'AN:
1. Bibilia inajumuisha records za matendo na maneno ya Yesu pamoja na Maneno ya watu wengine KAMA MTUME PAULO ambyo sii maneno ya Yesu wala ya MUNGU lakini QUR'AN NI MANENO YA MOLA MLEZI KILA SURA INAANZA KWA JINA LAKE NA NANI MOLA MLEZI ANATUZUNGUMZISHA SISI WANAADAM


Note: USISOMA SURA YA 53 [NAJM] Mola Mlezi anaeleza haya HAYAKUWA NI MASIMULIZI YA MUHAMMAD ila ni WAHAY utokao Kwake YEYE


Nimechoka ngoja nifanye majukumu MENGINE

Sasa kitu gani hapo kwenye Biblia hakipo?

Huyo Muhammad anasimulia habari za Yusuf au Musa, au Yesu yeye ni Myahudi? Anawajua hao watu?

Alikuwepo wakati hayo yanatokea?
Anajua mazingira waliokuwa wanaishi HAO mitume na manabii kumbuka hajawahi kufika Israel na kamwe hatakuja kukanyaga.

Au ndio alikuwa kama kina mwamposa au kina Masanja WA wakati ule kujifanya ameoteshwa vitu ambavyo tayari vipo?

Yaani Kabla Muhammad hajawa Mtume tayari visa vyote vipo mpaka Padri Walaga anavijua. Alafu anapata utume anajifanya kusimulia, tuweni serious kidogo.
 
Huu sasa ni ujinga pro max.
Unasema injiili ya bible imeongezewa vitu nakuuliza injili original ikowapi unanambia tena kuhusu habari za quran..Quran ndio injili original?

Mimi siiamini Quran.
Sasa hebu tuassume huu ni mwaka 300AD kabla ya Quran wala mtume kuzaliwa, ila biblia ipo.
Sasa hapa kwa muktadha huu, una hoja zipi za kusema injili ya biblia imechakachuliwa?
Sasa mmi nitaamini vip kitabu kimeandikwa Italy Tena Kuna sehemu kimeandikwa "upumbavu wa mungu" hata kama ni wewe japo ulipata zero form unaweza kweli ukakubali icho kitabu..elewa kitu kimoja vitabu vimekuja kuandikwa zama za mwisho baada ya mitume walishaondoka kama bible iliandikwa kipind cha yesu.

Wapi panaonyesha kwamba yesu alisoma bible ?
 
Mkuu binafsi huwa naheshimu sana maandiko yko mengi ila hili nimekushusha thamani mpk kwenye 0 kiukweli,yan mpk nimerud tena juu nihakiki kma ni kweli ndo wewe uliyeandika hv,sijaamini kma ndo wewe unaweza kuandika nonsense kma hv.
Hv unaijua Quran sawasawa mkuu?
Ulishawahi kuisoma vzr ukaielewa?
Unajua Quran ni nini na ni maneno ya nani?
Unajua Muhammad yale si maneno yake?
Unawafahamu walioiandaa hiyo bible?Unaelewa makusudio yao?
Yan leo umeandika kama mtoto wa std7 aisee.....Kaa chini usome Quran uelewe sio unakurupuka tu
Wakati Mo anakufa aliacha kitabu kinaitwa Quran au maswahaba wake ndio waliokiandika ?
 
Wewe hata kuunda tu sentesi inaonekana unapata tabu sana.
Sikujibu kwa qur an maana naona hauna hoja za maana ...njoo kweny ulingo unazunguka sasa mtu ulipata four form 4 Nibishane na wewe kwa lip? Kukariri tu hujui unakimbilia kwamba sitaki maandiko basi potea ,Nan apate tabu na mpubavu😂😂😂
 
Mods waleta mada za kidini kama hizi muwe mnapiga ban ya mwezi watajifunza waandishi uchwara
 
Hakuna kitabu kilichowahi kushushwa.
Alafu Elewa Torati, Zaburi na Injili walioiandika ni Wayahudi na Mungu wao ni Yahwe!
Alafu akatokea Allah wa waarabu akai-copy akaiita Quran.
Mpaka leo Mungu WA Wayahudi ni Yahwe.
Na mpaka leo Mungu WA Waarabu ni Allah.
Ndio maana kuna hoja nimelezea Jambo hili kama ushahidi kuonyesha Biblia inaweza kutumika kama Rejea kuu kuliko Quran.

Kwa sababu haiwezekan Allah mungu wa waarabu miaka zaidi ya elfu mbili yote awatumie Wayahudi Kama manabii alafu awaache watu wake(waarabu) alafu mara paah! Mwisho kabisa ndio amtumie Muarabu Kama Mtume WA mwisho. 😊 Tumia akili hata ya kuzaliwa. Halikadhalika na Yahwe miaka yote awatumie Wayahudi watu wake kama manabii alafu mara paap! Amuokote muarabu Muhammad mwishoni kama Nabii au Mtume. Hivi mlijifunza haya mambo wapi?
Nilikua naamini Musa alishushiwa torati kule mlimani alikokwenda, kumbe tofauti!!?
 
Waislam wanachuki na wanaroho mbaya sana hawanaga huruma ukiwaga nao karibu unatakiwa ujaribu sana uwahakikishie unawapenda sana.

Hataa kama ni mwanamke watu hao hapana.
 
Back
Top Bottom