Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua


Unazidi kujivua nguo kuonyesha ukaranga wako , ndio hivyo vitabu ni vya nani hapo ??
 
Unazidi kujivua nguo kuonyesha ukaranga wako , ndio hivyo vitabu ni vya nani hapo ??
Hata hujui
Torati
Zaburi
Injiri
Waliandika akina nani

Sasa sisi tukusaidieje mkuu.

Basi tufanye waliandika Wachaga.
 

Mungu akamwambia Musa , huyo anayesema hapo ni nani ??
 
Hata hujui
Torati
Zaburi
Injiri
Waliandika akina nani

Sasa sisi tukusaidieje mkuu.

Basi tufanye waliandika Wachaga.

Swali ni vitabu hivyo ni vya nani ??? Au kiswahili umeanza kuwa huelewi ??? ukaranga umekuzidi ??

Huelewi kuwa vitabu hivyo ni vya Mungu ???

Lakini sio Biblia
 
Swali ni vitabu hivyo ni vya nani ??? Au kiswahili umeanza kuwa huelewi ??? ukaranga umekuzidi ??

Huelewi kuwa vitabu hivyo ni vya Mungu ???

Lakini sio Biblia
Hivyo vitabu ni vya Waisraeli, wakiandika kuhusu Mungu wao Yehova.

Hivi wewe ilikuwaje darasani
Ulikuwa unapata hata maksi moja kweli ?

Au hujui Waarabu nao wameandika kuhusu Mungu wao Allah.

Wale Maswahaba wa Mtume, Waarabu.
 
Mwandishi huyo hana jina ??
Musa.
Daudi, Mathayo, Marko,Yohana, Luka Nk.

Kutoka 24:4 Basi Musa akayaandika maneno yote ya Bwana, akaondoka asubuhi na mapema, akajenga madhabahu chini ya mlima, na nguzo kumi na mbili, kwa hesabu ya kabila kumi na mbili za Israeli,
 
Kwani kwa Yesu ilikuwaje yeye!
Kuna sehemu kataja Jamaica au Canada?
 
Unapo andika andiko la kisomi husemi
"mashuhuda waliniambia mimi"

Bali unasema

"mashuhuda walimwambia mtafiti"

Au
"Mashuhuda walisema"

Yaani unajitoa kabisa uwepo wako binafsi.

Ndio maana unaona
Musa anaandika.

Mungu akasema.

Badala ya kuandika;
"Mungu aliniambia mimi Musa"

Umeelewa hapo dogo Gavana, ?

Na wengine mnao uliza uliza maswali ya kiloko.

Bible imeandikwa Kisomi.
 
Bora hata Muhammed lakini yesu alisema kabisa Mimi sikuja bali kwa kondoo wa nyumba ya Israel tu.
 
wewe s

mungu mkuu anae miliki hio miungu vipi yeye hahusiki kwenye kuumba dunia?
 
Nilisha wakalisha kitambo.Hawana hoja.
 
kwani muhamadi ndio aliiandika Quran hadiuseme amaibia ibia? halafu unasema allah hanauwezo wakati ulisema kila jamii inamungu wake allah unamlinganisha na mungu wajamii ipi?
 
kwani muhamadi ndio aliiandika Quran hadiuseme amaibia ibia? halafu unasema allah hanauwezo wakati ulisema kila jamii inamungu wake allah unamlinganisha na mungu wajamii ipi?
Muhammad na Allah ni kitu kimoja

33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
 
Muhammad na Allah ni kitu kimoja

33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
unaweza kuni fafanulia allah ninani na muhammadi ninani? Kama unaelewa lakini.
 
unaweza kuni fafanulia allah ninani na muhammadi ninani? Kama unaelewa lakini.
Umeelewa kwanza away wiwili ndio wanaamua kwa kushirikiana ? Wakisha kubaliana ndio linaletwa kwenu?

33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
 

Ndivyo mnavyodanganyana huko kanisani kwenu ??
 
Umeelewa kwanza away wiwili ndio wanaamua kwa kushirikiana ? Wakisha kubaliana ndio linaletwa kwenu?

33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
Ndio maan kwenye Qurani ukiona neno linatangulia "Sema"
Basi hapo Allah anaongea.

Kama halipo neno "Sema" ujue ni maneno ya Muhammadi.

Wanashirikiana kuwapiga fix Waislamu.
 
Hivyo vitabu ni vya Waisraeli, wakiandika kuhusu Mungu wao Yehova.

Hivi wewe ilikuwaje darasani
Ulikuwa unapata hata maksi moja kweli ?

Au hujui Waarabu nao wameandika kuhusu Mungu wao Allah.

Wale Maswahaba wa Mtume, Waarabu.


Mark 1:14


Now after John had been taken into custody, Jesus came into Galilee, preaching the gospel of God


Jee hapa Bwana Yesu alikuwa na Gospel ya , mark , luka ; john , mathew au barua za Paulo kwapani ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…