Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

ali yajuaje Hadi akaandika kwenye kitabu chake? au lugha zinafanana?
Baada ya waraq kufa umeona muhammad alitaka kujiua maana alijua kimenuka 😂😂

Baadae akapa mkristo mwingine ndie alimuandikia surah kubwa kwenye Koran

Msome mwamba mwingine, tena anamchamba kabisa Muhammad anasema alikuwa hajui chochote alicho muandikia

Narrated Anas:
There was a Christian who embraced Islam and read Surat-al-Baqara and Al-`Imran, and he used to write (the revelations) for the Prophet. Later on he returned to Christianity again and he used to say: "Muhammad knows nothing but what I have written for him.
Sahih bukhari 3617
 
Baada ya waraq kufa umeona muhammad alitaka kujiua maana alijua kimenuka 😂😂

Baadae akapa mkristo mwingine ndie alimuandikia surah kubwa kwenye Koran

Msome mwamba mwingine, tena anamchamba kabisa Muhammad anasema alikuwa hajui chochote alicho muandikia

Narrated Anas:
There was a Christian who embraced Islam and read Surat-al-Baqara and Al-`Imran, and he used to write (the revelations) for the Prophet. Later on he returned to Christianity again and he used to say: "Muhammad knows nothing but what I have written for him.
Sahih bukhari 3617
kumbe wakrito wanajua kuandika Quran?
 
Wewe endelea kuvaa nepi hadi utakapo kua ndiyo uje
huku.
Unaijua the BIG BANG wewe?.

Quran 21:30
"Have those who disbelieved not considered that the heavens and the earth were joined entity, and we separate them and made from water living thing.Will they, then, not believe (that We created all this)?"


أَوَلَمْ يَرَ الَّذِينَ كَفَرُوا أَنَّ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ كَانَتَا رَتْقًا فَفَتَقْنَاهُمَا ۖ وَجَعَلْنَا مِنَ الْمَاءِ كُلَّ شَيْءٍ حَيٍّ ۖ أَفَلَا يُؤْمِنُونَ

(AL - ANBIYAA - 30)
Je! Hao walio kufuru hawakuona kwamba mbingu na ardhi zilikuwa zimeambatana, kisha Sisi tukazibabandua? Na tukajaalia kwa maji kila kilicho hai? Basi je, hawaamini?
yani hapa mwandishi alidhani hii ardhi ya dunia ipo flat na dunia ndio ulimwengu mzima, halafu yale mawingu alidhani ndio mbingu na ndio mwisho wa ulimwengu, halafu hiyo mbingu na hiyo ardhi alidhani vilingana ulimwengu mzima?😀😀
hakujua kama dunia yetu ni miongoni mwa matilioni ya sayari na hakuna ardhi iliyogandana na mbingu wala hakuna kiti kinachoitwa mbingu,universe is in infinity
 
Umefungua mlango ambao kuufunga huwezi... Unashusha blaa blaa tu...

Sijaingia kwenye maandiko ndani... Nimeanza na jina lenyewe tu BIBLIA ili kukiondoa katika listi ya vitabu vya Mungu... Kama ni kitabu cha Mungu kweli... Leta andiko lolote lile ndani ya BIBLIA likitaja jina la BIBLIA hata kwa bahati mbaya tu...
Kwanza unaelewa maana ya neno 'BIBLIA'? Nakusaidia hii
BIBLIA ni neno lenye asili ya Kigiriki (Kiyunani) “BIBLOS” lenye maana ya “jumla ya vitabu vitakatifu” Yaani vitabu kama Torati Injili vilikusanywa vikawekwa kwenye sehemu moja na kuitwa "BIBLIA" Sijui kama unaelewa?
 
BIBLIA ANAPANDA MAHAKAMANI KUJITETE MWENYWEWE TUYULIE TUMSIKIE!

Yesu katika Yohana 10:30, “ Mimi na Baba yangu ni mmoja.” Kwa mtazamo wa kwanza, hili linaweza kuwa si dai la kuwa Mungu. Lakini angalia mapokezi ya ujumbe huu kwa wayahudi, “hatukupigi mawe kwa lengine lile ila kufuru, kwa sababu wewe ni mwanadamu, unayejidai kuwa Mungu” (Yohana 10:33). Wayahudi walielewa matamshi ya Yesu kuwa alijijulisha kwao kuwa yeye ni Mungu. Katika aya zifuatazo hawasahihishi wayahudi kwa kusema, “si kusema mimi ni Mungu.” Hii ina maana ya kuwa aliposema haya yafuatayo alikuwa akimaanisha kweli kuwa ni Mungu, “Mimi na Baba yangu ni mmoja” (Yohana 10:30). Yohana 8:58 ni mfano mwingine. Yesu akasema, Amini, Amini nawaambia, kabla ya Abrahamu kuweko mimi nilikuwa.” Tena kwa ajili ya hayo wayahudi wakashika mawe ili wampige nayo Yesu (Yohana 8:59). Je, wayahudi wangetaka kumpiga mawe yesu kama haingekuwa ya kuwa alisikika akikufuru kwa kusema yeye ni Mungu?

Yohana 1:1 inasema “Neno alikuwa Mungu”. Yohana 1:14 inasema “Neno akafanyika mwili.” Hii inaonyesha wazi ya kwamba Yesu ni Mungu katika mwili. Matendo 20:28 inatuambia, “…Muwe wachungaji wa kanisa la Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe,” Ni nani aliyelinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe? Yesu kristo. Matendo 20:28 inasema ya kwamba Mungu alilinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe. Kwa hivyo Yesu ni Mungu!

Tomaso mwanafunzi wa Yesu alisema kuhusu Yesu, “Bwana na Mungu wangu” (Yohana 20:28). Yesu hamsahihishi kwa kuyasema haya. Tito 2:13 inatuhimiza kusuburi kurudi kwa Mungu wetu na mwokozi – Yesu kristo (Pia tazama petro wa pili 1:1). Waebrania 1:8, Baba asema juu ya Yesu, “Lakini juu ya mwana asema haya, “Na Kiti chako cha enzi, wewe Mungu, Kitadumu milele, na haki itakuwa fimbo ya ufalme wako.”

Katika kitabu cha ufunuo wa Yohana, Malaika alimwamuru mtume Yohana kumuabudu Mungu tu(ufunuo wa Yohana 19: 10). Mra nyingi Yesu katika maandiko aabudiwa (Mathayo 2;11; 14:33; 28:9,17; Luka 24:52; Yohana 9:38). Hakemei watu kwa kumuabudu. Kama Yesu hakuwa Mungu, angewaambia watu wasimuabudu, kama vile malaika alivyofanya. Kuna aya nyingi za maandiko zinazoshuhudia ya kwamba Yesu ni Mungu.

Sababu muhimu ya kwamba Yesu sharti awe Mungu ni kwamba kama si Mungu, kufa kwake hakungetoshea kufidia dhambi za ulimwengu wote (Yohana wa kwanza 2:2). Mungu pekee ndiye angeweza kulipia adhabu kama hiyo. Mungu pekee ndiye angeweza kufidia dhambi za ulimwengu wote w (Wakorintho wa pili 5: 21), afe na afufuke kuthibitisha ushindi juu ya dhambi na mauti.
Subiri kidogo.

Umeielewa aya ktk Quran.

Aya inaukiza ni wapi yesu kasema. "Mimi yesu, Mimi Mungu".

Swali la pili. Jiulize je aliyetundikwa msalabani ni Mungu.

Na wakati akiwa msalabani aliomba dua. Je ni kweli Mungu alikuwa anamuomba Mungu yupi tena.

Na swali la mwisho ni je sisi wafuasi unaamini roho anatoa ktk mwili ni Mwenyezingu?!?!? Na kwa hiyo huyu anachukua roho zetu ni Yesu?!?!?

Sikia ndugu; Neno; " neno" kwa warumi linamaana WAZO au MAWAZO.

Hata uwepo wa Mungu, dini, imani no chanzo ni MAWAZO.

Na mkusanyiko wa mawazo ndio hupata Mungu, Hupata dini, hupata imani.

Kwa hiyo hapo mwanzo kulikuwapo neno; manake hapo mwanzo kulikuwapo na WAZO. Soma historia ya neno "NENO"

Unaweza kunisahihisha
 
Baada ya waraq kufa umeona muhammad alitaka kujiua maana alijua kimenuka [emoji23][emoji23]

Baadae akapa mkristo mwingine ndie alimuandikia surah kubwa kwenye Koran

Msome mwamba mwingine, tena anamchamba kabisa Muhammad anasema alikuwa hajui chochote alicho muandikia

Narrated Anas:
There was a Christian who embraced Islam and read Surat-al-Baqara and Al-`Imran, and he used to write (the revelations) for the Prophet. Later on he returned to Christianity again and he used to say: "Muhammad knows nothing but what I have written for him.
Sahih bukhari 3617
Dah...[emoji848]
Qurani tumewaandikia alaf leo wanajifanya wajuaji.

Ndio maana Muhammadi aliwaambia kama kuna kitu hamuelewi waulizeni Wakristo na Wayahudi.

Leo wanajifanya wajuaji tena.
 
Subiri kidogo.

Umeielewa aya ktk Quran.

Aya inaukiza ni wapi yesu kasema. "Mimi yesu, Mimi Mungu".

Swali la pili. Jiulize je aliyetundikwa msalabani ni Mungu.

Na wakati akiwa msalabani aliomba dua. Je ni kweli Mungu alikuwa anamuomba Mungu yupi tena.

Na swali la mwisho ni je sisi wafuasi unaamini roho anatoa ktk mwili ni Mwenyezingu?!?!? Na kwa hiyo huyu anachukua roho zetu ni Yesu?!?!?

Sikia ndugu; Neno; " neno" kwa warumi linamaana WAZO au MAWAZO.

Hata uwepo wa Mungu, dini, imani no chanzo ni MAWAZO.

Na mkusanyiko wa mawazo ndio hupata Mungu, Hupata dini, hupata imani.

Kwa hiyo hapo mwanzo kulikuwapo neno; manake hapo mwanzo kulikuwapo na WAZO. Soma historia ya neno "NENO"

Unaweza kunisahihisha
Kwanza lazima ujue kwanini Yesu alikufa kwa kutundikwa msalabani, bila kujua hili hutaelewa kamwe, na hapa ndipo Quran inapata shida kumwelewa Yesu, Pale Edeni mwanadamu alipoteza haki zake kwahiyo ili kuzikomboa hizo haki ilimpasa Mungu mwenye aje amkomboe yeye mwenyewe.

Hapo shetani alipigwa chenga ya mwaka alibaki anashangaa hadi kuna sehemu Mapepo yalimuuliza Yesu 'imekuwaje umekuja kabla ya wakati"? na hii ndiyo kudhirihisha Mungu ni muweza wa yote.

Anzia hapo kwanza.
 
Kwanza lazima ujue kwanini Yesu alikufa kwa kutundikwa msalabani, bila kujua hili hutaelewa kamwe, na hapa ndipo Quran inapata shida kumwelewa Yesu, Pale Edeni mwanadamu alipoteza haki zake kwahiyo ili kuzikomboa hizo haki ilimpasa Mungu mwenye aje amkomboe yeye mwenyewe.

Hapo shetani alipigwa chenga ya mwaka alibaki anashangaa hadi kuna sehemu Mapepo yalimuuliza Yesu 'imekuwaje umekuja kabla ya wakati"? na hii ndiyo kudhirihisha Mungu ni muweza wa yote.

Anzia hapo kwanza.
Sawa mwalimu.

Na majibu ya maelezo yako yatahitaji ishahidi usio na shaka ndani ya biblia.

Kwamba yesu kamuumba shetani, lkn hapo hapo shetani anapigwa chenga na yesu. Kwa shida gani hata ampige chenga.

Quran inasema

[ AN-NISAAI - 157 ]
Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa (yesu) mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu. Na hakika walio khitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini.

Mwisho niseme. Yawezekana tunaongelea watu tufauti.

Issa mtoto wa mariam ambae Paulo aliwaaminisha warumi kuwa huyu ndie mwana wa Mungu kama vike kaisari.

Warumi kuita kiongozi wao mwana wa kungu ilikuwa ni utamaduni wao. Kama vile wewe ukikutana na mtu unaemjua ukamtukuza iwa kumwita.

Mzee, mkuu, mheshimiwa.

Tusichanganye habari.

Sisi tunamjua yesu kwa uelewa huu.

Alikuja kupingana na warumi. Kama lissu inavyopimgana na ccm.

Wakaidi wa utawala wa kirumi waliadhibiwa kwa kutundikwa msalabani. Ni adhabu ya laana kwa sheria ya kiyahudi. Kwa tz ukiwa mpinzani ya ccm utafungwa. Lkn kwa njia ya panya road unapigwa risasi.

Sasa somo pekee tunalopata ktk kusilubiwa ni...... Sisi tukitaka kuondoa utawala unaovumja hako za watu tunapaswa kisulubiwa. Na Si vinginevyo.

Lkn wewe nikikuuliza iwapo damu yako iko tayarinkuiubali kisulibiwa kwa ajilo ya wemgine. Utakata na utasema hauko tayari.

Shida yenu ndio hiyo. Pamoja na kujifanya mnamfata yesu lkn hamko tayari kusulubiwa wala kumwaga damu yenu kwa ajili ya wengine
 
Quran inasema

[ AN-NISAAI - 157 ]
Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa (yesu) mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu. i wao. Kama vile wewe ukikutana na mtu unaemjua ukamtukuza iwa kumwita.
1. Alie fananishiwa alifanana kila kitu na Isa original?
2. Kama jibu ni ndio je aliefananishiwa alisulubiwa?
3. Kama jibu ni ndio walio msulubisha walijua ni original au aliefananishiwa
4. Kama hawakujua alichukua mda gani mpaka wakaja kuambiwa walifananishiwa?
5. Je walio ona na kuandika walicho ona na Alie kuja kusema walifanishiwa nani muongo?
 
Ni Babu yako?
Jibu maswali bila kutumia copy paste

1. kwa nini waraq alipokufa koran ikasiamama hapo hapo kuandikwa?
2. kwa nini muhammad alivyoona koran haiandikwi akataka kujitoa uhai?
 
Sawa mwalimu.

Na majibu ya maelezo yako yatahitaji ishahidi usio na shaka ndani ya biblia.

Kwamba yesu kamuumba shetani, lkn hapo hapo shetani anapigwa chenga na yesu. Kwa shida gani hata ampige chenga.

Quran inasema

[ AN-NISAAI - 157 ]
Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa (yesu) mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu. Na hakika walio khitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini.

Mwisho niseme. Yawezekana tunaongelea watu tufauti.

Issa mtoto wa mariam ambae Paulo aliwaaminisha warumi kuwa huyu ndie mwana wa Mungu kama vike kaisari.

Warumi kuita kiongozi wao mwana wa kungu ilikuwa ni utamaduni wao. Kama vile wewe ukikutana na mtu unaemjua ukamtukuza iwa kumwita.

Mzee, mkuu, mheshimiwa.

Tusichanganye habari.

Sisi tunamjua yesu kwa uelewa huu.

Alikuja kupingana na warumi. Kama lissu inavyopimgana na ccm.

Wakaidi wa utawala wa kirumi waliadhibiwa kwa kutundikwa msalabani. Ni adhabu ya laana kwa sheria ya kiyahudi. Kwa tz ukiwa mpinzani ya ccm utafungwa. Lkn kwa njia ya panya road unapigwa risasi.

Sasa somo pekee tunalopata ktk kusilubiwa ni...... Sisi tukitaka kuondoa utawala unaovumja hako za watu tunapaswa kisulubiwa. Na Si vinginevyo.

Lkn wewe nikikuuliza iwapo damu yako iko tayarinkuiubali kisulibiwa kwa ajilo ya wemgine. Utakata na utasema hauko tayari.

Shida yenu ndio hiyo. Pamoja na kujifanya mnamfata yesu lkn hamko tayari kusulubiwa wala kumwaga damu yenu kwa ajili ya wengine
Embu turudi edeni kwanini mwanadamu anakufa? kosa lake ni nini? NA Quran inajua nini kuhusu Roho?
 
1. Alie fananishiwa alifanana kila kitu na Isa original?
2. Kama jibu ni ndio je aliefananishiwa alisulubiwa?
3. Kama jibu ni ndio walio msulubisha walijua ni original au aliefananishiwa
4. Kama hawakujua alichukua mda gani mpaka wakaja kuambiwa walifananishiwa?
5. Je walio ona na kuandika walicho ona na Alie kuja kusema walifanishiwa nani muongo?
Hapo ndipo utauona muujiza wa Quran. Huyu kijana kutoka arabuni alijuaje.

Na kama aliyoyasema ni uongo leta wewe ukweli usio na tone la mashaka.

Je mtume wa Mungu aliyeomba baba Yale eloi eloi dua hii kweli haikujibiwa kwa huyu mwanawe aliyempenda?!?! Akaachamwanawe afe kifo cha laana?!?! Kama alisulubiwa ilikiwa SAA ngapi. SAA 3, saa 6, SAA 9?!?? Yakini ni SAA ngapi.

Ndio Quran inasema wala hawana yakini Bali tulimuinua juu.
 
Jibu maswali bila kutumia copy paste

1. kwa nini waraq alipokufa koran ikasiamama hapo hapo kuandikwa?
2. kwa nini muhammad alivyoona koran haiandikwi akataka kujitoa uhai?
Alikuambia Babu yako?
Lete ushahidi usilete figisufigisu
 
Hapo ndipo utauona muujiza wa Quran. Huyu kijana kutoka arabuni alijuaje.
Jibu Aya maswali yapo kwa number
1. Alie fananishiwa alifanana kila kitu na Isa original?
2. Kama jibu ni ndio je aliefananishiwa alisulubiwa?
3. Kama jibu ni ndio walio msulubisha walijua ni original au aliefananishiwa
4. Kama hawakujua alichukua mda gani mpaka wakaja kuambiwa walifananishiwa?
5. Je walio ona na kuandika walicho ona na Alie kuja kusema walifanishiwa nani muongo?
 
Back
Top Bottom