Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Waliambiwa wakazaane ,

Hii Pepo ya Allah mkishakula na kushiba mtainyea? Na pia mkisha kunywa pombe mtakujoa mkojo wa pombe ?
Alipo kuwa anakunya na kukojoa Adamu kabla hajatenda dhambi na Sisi tutakunya na kukojoa hapo hapo
Narudia Tena Peponi tutaishi kama binadamu kula na kunywa nikama kawaida
Kwa sababu Mungu ametuumba kwa umbo lililobora kabisa kuliko kiumbe chochote kuwahi kutokea, malaika wenyewe wanasuburi.
 
Kwahiyo wewe unavutiwa kwenda kufanya ngono na kulewa pombe? Hiyo ni mbingu kweli? Endeleeni kufuga majini hao ndg zenu na kufanya ushirikina kwa mujibu wa dini yenu ila mbingu mtaisikia tu
Wewe umeahidiwa Nini bro...
Ukute huna ulichoahidiwa ndio maana unaruka ruka tu...
 
Kwahiyo wewe unavutiwa kwenda kufanya ngono na kulewa pombe? Hiyo ni mbingu kweli? Endeleeni kufuga majini hao ndg zenu na kufanya ushirikina kwa mujibu wa dini yenu ila mbingu mtaisikia tu

Usiongee Kama Huna Elimu Juu Ya Jambo.Wapi Uislamu Umesema Tufanye ushirikina,Uislamu Ndo Dini Pekee Ambayo Haimshirikishi Mungu Na Kitu Kingine.Na Njia Ya Kwenda Peponi Ni Moja Tu Kuamini Kuwa Mungu Ni Mmoja Hana Mtoto Wala Hana Mshirika Wala Hana Wa Kufanana Naye.Mtu Mwenye Akili Timamu Hawezi Abudu Mungu Mwenye Sifa Kama Zake ana Mtoto,Pia Mungu Anayefanana Na Mwanadamu(Kulingana Na Biblia Inavosema Tumeumbwa Kwa Mfano Wake)

Kwanza Niulize Swali
Mungu Ni Nani Kutokana Na Maandiko Kwa Kikristo
Je, Mungu Ni Baba Wa Mtoto wake Yesu(Jehova) Au

Mungu Ni mtoto Mwenyewe(Maana Mtoto wa Nyoka Ni Nyoka)
 
Mkuu Hapo kumejaa mambo ya ndani sana sana na kwa kweli kwangu mimi najua ndio TURNING POINT ya uislam,,,Majini yanaelezea yalikuwa wapi kabla ya kutupwa na kuzagaa kama mbu,,,na pia hutamani kurudi huko walikokuwa ila hupakuta kumejaa walinzi na vimondo vilivyo tayari kuwapasua,,,,muislam akijitoa kwenye akili ya ijaza akaelewa ukweli uliosemwa na majini kwenye surat jin 71,72 watakuwa na wazo la pili kuhusiana na dini yao ya kipagani.
 
Waliambiwa wakazaane ,

Hii Pepo ya Allah mkishakula na kushiba mtainyea? Na pia mkisha kunywa pombe mtakujoa mkojo wa pombe ?
Mkuu kwenye hio mbingu pombe kiasi cha kijiko kidogo cha sukari mtu analewa miaka 60 na maana yake kile kijiko kikubwa atalewa miaka mia na ishirini,,,huko kuna pombe kali sana kwa hio nadhani wengi kwenye hio mbingu watakuwa sober na kwa sababu ya ulevi kuleta hali ya kutokujitambua nadhani wengi watakuwa wamejinyea...Usije ukasahau wale mabikira wana matako ya futi 40 almost 13mt kuna ya kutafakari.
 
Biblia na Quraan 😂😂

Kimoja watu waneungaunga vijitabu vilivyokubalika nafsini kwao halafu wanakwambia "USIONGEZE WALA KUPUNGUZA CONTENT" , tunakomaliwa na huu mstari wakati mstari wenyewe unakihusu kitabu kimoja tu 🤣🤣

Haya hiki kingine mtu anadai kashushiwa na Mungu lakini kitabu chenyewe maneno ni yake yeye mwenyewe akielezea aliyosimuliwa na kuyaskia wala hakuwahi kuyashuhudia 😂😂

HAKUNAGA SULUHU KWENYE IMANI JAMANI, KILA MTU ACHEZE MECHI YAKE HALAFU MWISHO WA MSIMU TUTAJUA A NANI HAJUI...
 
Uislamu umeanzia kwa mwamed ni miakaa 5k baada ya yeu afu mtu anakuja anakwambia yesu alikuwa muislamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamani tulioko huku sie ni watu wazima jamen
 

😂😂😂
 
Hay aya waislam mjibuni huyu anataka Quran imtajie manabii walotoka Marekani ulaya China Australia na Japan 😁😁😁
Nilikua sitak ni comment lkn nilposoma hapo nikashindw kujizuia kucheka.
Allah azidi kukufungulia uelewe usiyoyaelewa ndug yangu.
 
Paulo hakuish wakat wa yesu kijana chimba zaidi, katika wanafunzi wa Yesu paulo alikuepo ?
 
Mtume Muhammad nd ametajw kama aliekua adui wa jibril hapo, sababu ya kuitwa hivyo ni pale alipotokewa na jibril kwa mara ya kwanza akabwa na kukimbia mpk akapatwa na hofu.
Kwamba Jibril ndie alieishusha Quran moyon mwake
Kwanini Jibril alikuwa mshari namna hiyo?
 
Kwahiyo wewe unavutiwa kwenda kufanya ngono na kulewa pombe? Hiyo ni mbingu kweli? Endeleeni kufuga majini hao ndg zenu na kufanya ushirikina kwa mujibu wa dini yenu ila mbingu mtaisikia tu
Nyie mbona mnaimani ya ajabu sana. Alowambia uislam ni kufuga majini naona ni sawa na paulo t alowaminisha ukristo ni dini na mkaingia mazima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…