Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Waliambiwa wakazaane ,

Hii Pepo ya Allah mkishakula na kushiba mtainyea? Na pia mkisha kunywa pombe mtakujoa mkojo wa pombe ?
Alipo kuwa anakunya na kukojoa Adamu kabla hajatenda dhambi na Sisi tutakunya na kukojoa hapo hapo
Narudia Tena Peponi tutaishi kama binadamu kula na kunywa nikama kawaida
Kwa sababu Mungu ametuumba kwa umbo lililobora kabisa kuliko kiumbe chochote kuwahi kutokea, malaika wenyewe wanasuburi.
 
Kwahiyo wewe unavutiwa kwenda kufanya ngono na kulewa pombe? Hiyo ni mbingu kweli? Endeleeni kufuga majini hao ndg zenu na kufanya ushirikina kwa mujibu wa dini yenu ila mbingu mtaisikia tu
Wewe umeahidiwa Nini bro...
Ukute huna ulichoahidiwa ndio maana unaruka ruka tu...
 
Kwahiyo wewe unavutiwa kwenda kufanya ngono na kulewa pombe? Hiyo ni mbingu kweli? Endeleeni kufuga majini hao ndg zenu na kufanya ushirikina kwa mujibu wa dini yenu ila mbingu mtaisikia tu

Usiongee Kama Huna Elimu Juu Ya Jambo.Wapi Uislamu Umesema Tufanye ushirikina,Uislamu Ndo Dini Pekee Ambayo Haimshirikishi Mungu Na Kitu Kingine.Na Njia Ya Kwenda Peponi Ni Moja Tu Kuamini Kuwa Mungu Ni Mmoja Hana Mtoto Wala Hana Mshirika Wala Hana Wa Kufanana Naye.Mtu Mwenye Akili Timamu Hawezi Abudu Mungu Mwenye Sifa Kama Zake ana Mtoto,Pia Mungu Anayefanana Na Mwanadamu(Kulingana Na Biblia Inavosema Tumeumbwa Kwa Mfano Wake)

Kwanza Niulize Swali
Mungu Ni Nani Kutokana Na Maandiko Kwa Kikristo
Je, Mungu Ni Baba Wa Mtoto wake Yesu(Jehova) Au

Mungu Ni mtoto Mwenyewe(Maana Mtoto wa Nyoka Ni Nyoka)
 
Huyu anaye Jiita NASI ni nani ?

Aliye mtuma Muhammadi huku Mungu akiwa shahidi ?

Anaye ogopa walinzi Vimondo ?

Ambaye anasema hawezi kushindana na Mwenyezi Mungu?

Ambaye hakujitambulisha kule pangoni na kumkaba mtume hadi akaugua homa?

Ambaye ni Adui wa Jibliri

Surah An-Nisaa-Ayat 79

مَّآ أَصَابَكَ مِنۡ حَسَنَةٖ فَمِنَ ٱللَّهِۖ وَمَآ أَصَابَكَ مِن سَيِّئَةٖ فَمِن نَّفۡسِكَۚ وَأَرۡسَلۡنَٰكَ لِلنَّاسِ رَسُولٗاۚ وَكَفَىٰ بِٱللَّهِ شَهِيدٗا
Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

Surah Al-Djini Ayah 8

وَأَنَّا لَمَسۡنَا ٱلسَّمَآءَ فَوَجَدۡنَٰهَا مُلِئَتۡ حَرَسٗا شَدِيدٗا وَشُهُبٗا
Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo.




Surah Al-Djini Ayah 12

وَأَنَّا ظَنَنَّآ أَن لَّن نُّعۡجِزَ ٱللَّهَ فِي ٱلۡأَرۡضِ وَلَن نُّعۡجِزَهُۥ هَرَبٗا
Nasi tulijua kuwa hatutomshinda Mwenyezi Mungu duniani, wala hatuwezi kumponyoka kwa kukimbia.

Surah Al-Baqarat Ayah 97

وَلَتَجِدَنَّهُمۡ أَحۡرَصَ ٱلنَّاسِ عَلَىٰ حَيَوٰةٖ وَمِنَ ٱلَّذِينَ أَشۡرَكُواْۚ يَوَدُّ أَحَدُهُمۡ لَوۡ يُعَمَّرُ أَلۡفَ سَنَةٖ وَمَا هُوَ بِمُزَحۡزِحِهِۦ مِنَ ٱلۡعَذَابِ أَن يُعَمَّرَۗ وَٱللَّهُ بَصِيرُۢ بِمَا يَعۡمَلُونَ
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

Naomba kumjua huyu anaye jiita "Nasi" tafadhalini.
Mkuu Hapo kumejaa mambo ya ndani sana sana na kwa kweli kwangu mimi najua ndio TURNING POINT ya uislam,,,Majini yanaelezea yalikuwa wapi kabla ya kutupwa na kuzagaa kama mbu,,,na pia hutamani kurudi huko walikokuwa ila hupakuta kumejaa walinzi na vimondo vilivyo tayari kuwapasua,,,,muislam akijitoa kwenye akili ya ijaza akaelewa ukweli uliosemwa na majini kwenye surat jin 71,72 watakuwa na wazo la pili kuhusiana na dini yao ya kipagani.
 
Waliambiwa wakazaane ,

Hii Pepo ya Allah mkishakula na kushiba mtainyea? Na pia mkisha kunywa pombe mtakujoa mkojo wa pombe ?
Mkuu kwenye hio mbingu pombe kiasi cha kijiko kidogo cha sukari mtu analewa miaka 60 na maana yake kile kijiko kikubwa atalewa miaka mia na ishirini,,,huko kuna pombe kali sana kwa hio nadhani wengi kwenye hio mbingu watakuwa sober na kwa sababu ya ulevi kuleta hali ya kutokujitambua nadhani wengi watakuwa wamejinyea...Usije ukasahau wale mabikira wana matako ya futi 40 almost 13mt kuna ya kutafakari.
 
Biblia na Quraan 😂😂

Kimoja watu waneungaunga vijitabu vilivyokubalika nafsini kwao halafu wanakwambia "USIONGEZE WALA KUPUNGUZA CONTENT" , tunakomaliwa na huu mstari wakati mstari wenyewe unakihusu kitabu kimoja tu 🤣🤣

Haya hiki kingine mtu anadai kashushiwa na Mungu lakini kitabu chenyewe maneno ni yake yeye mwenyewe akielezea aliyosimuliwa na kuyaskia wala hakuwahi kuyashuhudia 😂😂

HAKUNAGA SULUHU KWENYE IMANI JAMANI, KILA MTU ACHEZE MECHI YAKE HALAFU MWISHO WA MSIMU TUTAJUA A NANI HAJUI...
 
Yesu ni Muislam na hu ndio ushahidi kuwa Yesu ni Muislam

Yohana 17:3 (KJV)
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Mtu yoyote anayeamini kuwa Mungu ni wa pekee na huyo Mungu wa pekee ndio amewatuma manabii kama Yesu na wengine huyo ni Muislam

Kama wewe unao ushahidi unasema Yesu alikuwa dini nyingine tofauti na uislam weka hilo andiko tulione

Bibilia ni faile lililokusanya vitabu vya maneno ya manabii na maneno ya watu Mungu hajaleta kitabu kinachoitwa Bibilia

Hilo andiko katika kitabu Cha Yohana ni maneno ya Yesu na maneno ya Yesu ni Injili na Injili ni kitabu cha Mungu alicho mfunulia Yesu

Quran 3:3
Amekuteremshia Kitabu kwa haki, kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake. Na aliteremsha Taurati na Injili
Uislamu umeanzia kwa mwamed ni miakaa 5k baada ya yeu afu mtu anakuja anakwambia yesu alikuwa muislamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamani tulioko huku sie ni watu wazima jamen
 
Biblia na Quraan 😂😂

Kimoja watu waneungaunga vijitabu vilivyokubalika nafsini kwao halafu wanakwambia "USIONGEZE WALA KUPUNGUZA CONTENT" , tunakomaliwa na huu mstari wakati mstari wenyewe unakihusu kitabu kimoja tu 🤣🤣

Haya hiki kingine mtu anadai kashushiwa na Mungu lakini kitabu chenyewe maneno ni yake yeye mwenyewe akielezea aliyosimuliwa na kuyaskia wala hakuwahi kuyashuhudia 😂😂

HAKUNAGA SULUHU KWENYE IMANI JAMANI, KILA MTU ACHEZE MECHI YAKE HALAFU MWISHO WA MSIMU TUTAJUA A NANI HAJUI...

😂😂😂
 
Hay
Mtume Muhammad alikuwa ni mtu mwerevu sana.

Mwenye kumbukumbu nzuri na uwezo wa kusimulia hadithi alizozijua kutokana na kusafiri safiri kwake miji tofauti kibiashara.

Akiwa safarini Alisikia hadithi nyingi za dini zilizokuwepo kipindi hiko kutoka kwa Mayahudi (walioishi Arabuni wakati huo) na za Kikristo (kutoka kwa safari zake za kwenda Syria ki biashara) na akaunganisha hadithi alizozisikia kutoka kwenye dini tofauti hadi kwenye dini mpya aliyoianzisha ya kiislamu yenye hoja ya Mungu mmoja na yeye mwenyewe kama Mtume.

(Ni kama story za utani za kumsema nyerere enzi zile akiona kitu kwenye tv anakuja kusema ameoteshwa kwamba Marekani kimetokea hiki.. sababu watu wengine hawana tv wanaamini kaoteshwa kweli)

Alifanikiwa kuitumia dini hii mpya kufikia malengo mawili, moja la muda mfupi na moja la muda mrefu.

Malengo yake ya muda mfupi yalikuwa ni ya kumfanya yeye kuwa Chief Man in Arabia jambo ambalo alifanikiwa kulipata hadi wakati wa kifo chake na, baada ya kifo chake, warithi wake walifanikiwa kufikia lengo lake la muda mrefu la kuwafanya waarabu waitawale dunia kwa kutumia advantage waliyonayo ya uislam na lugha ya kiarabu isambae dunia nzima na waarabu wawe watu muhimu kwenye jukwaa la kimataifa

Ukisoma vizuri quran story zilizopo kwenye quran zinazungumzia mazingira ambayo Mohammad aliyajua tu (kwa kufika ama kusikia story zake). Mazingira ya mbali hayapo kwenye quran Maana alikuwa hajawai kufika na hakuwai sikia story zake. Maana ni mbali na uarabuni

Mfano matunda yaliyotajwa , wanyama waliotajwa kwenye quran, ndege waliotajwa kwenye quran, vyakula na mengineyo ni vya mazingira ya middle east tu ambayo Mohammad aliyaona ama aliyasikia kwa watu jirani zake ( Mungu angeandika Quran asingefanya hili kosa maana anayajua mazingira ya dunia nzima na angeyaweka kwenye quran)

The Qur’an really speaks only of the animals found in the Arabian lands (midle east) , and only the plants and fruits that grow in that geography.”

Also Foods known in the ( midle east) Arabian lands such as figs, grapes, pomegranates, dates, olives, honey, onions, garlic, gherkin, etc. have also been used in various Qur’anic verses and examples for various topics…

Jiulize Why do animal, and fruit names not belonging to the arab land doesn’t indicated in the Qur’an?

Utapata jibu Prophet wrote these names which he saw in places he went and he heard story from other merchants .

Inshort prophet Mohammad had a dream

Nothing was going to stop him from making that dream come true…

He came up with Islam to gain political power and to unite his people under the rule of one goverment

Ukijiuliza swali hili

Why does the Quran not mention prophets in America, Australia, Asia, Northern Europe, China, Japan, or South Africa?

Jibu litakalokujia kichwani haraka haraka ni hili

Because the writers of the Qur'an would not have been aware if these lands. Islamic religion is invented in one small area of the world (arabs land) which is why quran, hadith, & sunnah text only mentions things happen in that area only
aya waislam mjibuni huyu anataka Quran imtajie manabii walotoka Marekani ulaya China Australia na Japan 😁😁😁
Nilikua sitak ni comment lkn nilposoma hapo nikashindw kujizuia kucheka.
Allah azidi kukufungulia uelewe usiyoyaelewa ndug yangu.
 
Hapa hatujadili kama Quran au biblia kipi ni kitabu cha Mungu, hilo ni subjective huwezi kuprove au kidisprove ni jambo la kiimani..na huenda hata vyote visiwe vitabu vya Mungu.

ishu hapa ni je Quran au biblia ipi inaaminika kihistoria? ili uiamini Quran inabidi kwanza umuamini Muhamad (maana kila kitu kilitoka kwa Muhamad akisema kimetoka kwa jibril anayesema kinatoka kwa Allah)

Ukishamuamini Muhamad inakubidi sasa ndio uamini kila kitu kwenye Quran blindly maana ni masimulizi ambayo hata Muhamad msimuliaji hakuwepo.

Biblia ni masimulizi ya wahusika waliokuwepo kwenye tukio au hata kama hawakuwepo basi waliishi zama za hayo matukio..sio mtu anakusimulia habari za yesu miaka 600 imeshapita.

Paulo ana credibility kuliko Muhamad kwasababu

1. ameishi zama hizo hizo za yesu(sio miaka 5 baadae).
2. Amekutana na watu waliokuwa wanafunzi wa Yesu kina petro na wengine

Paulo ni mfano mmoja ila ni karibia vitabu vyote iko hivyo.
Paulo hakuish wakat wa yesu kijana chimba zaidi, katika wanafunzi wa Yesu paulo alikuepo ?
 
Mtume Muhammad nd ametajw kama aliekua adui wa jibril hapo, sababu ya kuitwa hivyo ni pale alipotokewa na jibril kwa mara ya kwanza akabwa na kukimbia mpk akapatwa na hofu.
Kwamba Jibril ndie alieishusha Quran moyon mwake
Kwanini Jibril alikuwa mshari namna hiyo?
 
Kwahiyo wewe unavutiwa kwenda kufanya ngono na kulewa pombe? Hiyo ni mbingu kweli? Endeleeni kufuga majini hao ndg zenu na kufanya ushirikina kwa mujibu wa dini yenu ila mbingu mtaisikia tu
Nyie mbona mnaimani ya ajabu sana. Alowambia uislam ni kufuga majini naona ni sawa na paulo t alowaminisha ukristo ni dini na mkaingia mazima.
 
Back
Top Bottom