Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Sababu ya Ibilisi kukataa kumsujudia Adamu alishaieleza yeye mwenye kuwa aliona yeye ni bora kuliko Adamu kwa sababu yeye(Ibilisi) ameumbwa kwa moto na Adamu kaumbwa kwa udongo.
Unaweza kueleza hapa kwa nn alisema kwa vile kaumbwa na udongo

Ni kwamba udongo ni material dhalili kabisa katika uumbaji wao wakaona kama huyu nimsujudie hapana mimi nipo juu ka Mungu siwez kufanya hivyo hiki ni kiumbe dhaifu.

kufanya hivyo na kuprove kwamba yeye yupo juu kuna watu wanamfuata shetani na kumuabudu kama Mungu wao unabisha?
Duniani kajipa mamlaka kama ya Mungu maana alishaahidi kumkalia pande zote nne mwanadamu ili amfuate ndo unaona mambo ya uzinzi ,wizi,uuaji ,ubakaji ,ulevi .
Haya yote yapo chini ya mamlaka ya shetani ukifanya hivi automatically unamtukuza na kumuabudu shetani

Fanya kutafuta baadhi ya mitume walifanyiwa majaribia na shetani ili waache kumfuata Mungu.
 
Wapo walioumbwa kwa moto na wapo walioumbwa kwa nuru


kwa mfano "Malaika Jibril alifika mbele ya Mtume (s.a.w) akiwa na sura ya moto" (Bukhari).


Na Kuumbwa kwa nuru kwa mfano Surat An-Nur aya ya 35 inasema "Mwenyezi Mungu ni nuru ya mbingu na ardhi. Mfano wa nuru yake ni kama taa inayowashwa ndani ya kioo kilicho na nyota saba zinazoangaza
Sijui hata unaeleza nini naona unaleta janja janja tu, nionyeshe palipoeleza malaika kuumbwa kwa moto? Nachojua malaika wameumbwa kwa nuru,majini kwa moto na binaadamu kwa udongo. Sasa hao malaika lakini wameumbwa kwa moto wewe umesoma wapi hebu tuonyeshe.
 
Unaweza kueleza hapa kwa nn alisema kwa vile kaumbwa na udongo

Ni kwamba udongo ni material dhalili kabisa katika uumbaji wao wakaona kama huyu nimsujudie hapana mimi nipo juu ka Mungu siwez kufanya hivyo hiki ni kiumbe dhaifu.

kufanya hivyo na kuprove kwamba yeye yupo juu kuna watu wanamfuata shetani na kumuabudu kama Mungu wao unabisha?
Duniani kajipa mamlaka kama ya Mungu maana alishaahidi kumkalia pande zote nne mwanadamu ili amfuate ndo unaona mambo ya uzinzi ,wizi,uuaji ,ubakaji ,ulevi .
Haya yote yapo chini ya mamlaka ya shetani ukifanya hivi automatically unamtukuza na kumuabudu shetani

Fanya kutafuta baadhi ya mitume walifanyiwa majaribia na shetani ili waache kumfuata Mungu.
Ndio angekuwa malaika angesema ameumbwa kwa nuru na si moto, na chengine angekuwa malaika asingekataa kusujudu na kugomea amri ya Mungu maana hiyo sio sifa ya Malaika.
 
Sijui hata unaeleza nini naona unaleta janja janja tu, nionyeshe palipoeleza malaika kuumbwa kwa moto? Nachojua malaika wameumbwa kwa nuru,majini kwa moto na binaadamu kwa udongo. Sasa hao malaika lakini wameumbwa kwa moto wewe umesoma wapi hebu tuonyeshe.
ibilis (shetani) aliumbwa kwa moto na alikuwa kweny mamlaka ya Mungu kama malaika !
 
Wapo walioumbwa kwa moto na wapo walioumbwa kwa nuru


kwa mfano "Malaika Jibril alifika mbele ya Mtume (s.a.w) akiwa na sura ya moto" (Bukhari).


Na Kuumbwa kwa nuru kwa mfano Surat An-Nur aya ya 35 inasema "Mwenyezi Mungu ni nuru ya mbingu na ardhi. Mfano wa nuru yake ni kama taa inayowashwa ndani ya kioo kilicho na nyota saba zinazoangaza
Halafu hujanijibu kuwa huyo shetani(ibilisi) alipoasi alikuwa na malaika wengine waliyoasi au alikuwa pekee yake? Je, mashetani(malaika waliyoasi) wanazaliana?
 
Halafu hujanijibu kuwa huyo shetani(ibilisi) alipoasi alikuwa na malaika wengine waliyoasi au alikuwa pekee yake? Je, mashetani(malaika waliyoasi) wanazaliana?
Inawezekana alikuwa na kundi lake ila yeye ndo kiongozi
 
shetani tunaamni yule alihasi bado yupo duniani mpaka siku ya mwisho ...Ila anajua makazi yake ni motoni.
Kwahiyo tofauti ya shetani na jini ni ipi katika uhalisia wa maisha yake sisi binaadamu?
 
Kwahiyo tofauti ya shetani na jini ni ipi katika uhalisia wa maisha yake sisi binaadamu?
shetani ni kiumbe kibaya milele hakina uzuri hta chembe kinatukuza mambo yote ya hovyo .

Majini wapo wema ,wanaoabdu Mungu na wabaya.
 
shetani ni kiumbe kibaya milele hakina uzuri hta chembe kinatukuza mambo yote ya hovyo .

Majini wapo wema ,wanaoabdu Mungu na wabaya.
Kwanini aliitwa shetani kwani shetani ina maana gani? Na vp kuhusu malaika kuna wema na wabaya?
 
Hivyo si jina ni sifa kwa maana hata jini au binaadamu anaweza kuwa hizo sifa za uadui,uovu na kufanya madhara?
Hapo tunaaaminisha yule aliyahasi kwa wakati ule.

Na hata binadamu nae anaweza kupewa hiyo sifa katika matumizi lugha ya kawaida ila sio vizuri kumuita binadamu shetani kwa sababu anaweza kuomba msamaha na kusamehewa ila shetani yule hana msamaha tayar ni mtu wa motoni
 
Hapo tunaaaminisha yule aliyahasi kwa wakati ule.

Na hata binadamu nae anaweza kupewa hiyo sifa katika matumizi lugha ya kawaida ila sio vizuri kumuita binadamu shetani kwa sababu anaweza kuomba msamaha na kusamehewa ila shetani yule hana msamaha tayar ni mtu wa motoni

Hapo tunaaaminisha yule aliyahasi kwa wakati ule.

Na hata binadamu nae anaweza kupewa hiyo sifa katika matumizi lugha ya kawaida ila sio vizuri kumuita binadamu shetani kwa sababu anaweza kuomba msamaha na kusamehewa ila shetani yule hana msamaha tayar ni mtu wa motoni
Kwako wewe wingi wa neno shetani kwa maana mashetani huwa unaelewa vp? Ukisikia mashetani huwa unaelewa ni akina nani ni malaika waliyoasi au majini wabaya?
 
Kwako wewe wingi wa neno shetani kwa maana mashetani huwa unaelewa vp? Ukisikia mashetani huwa unaelewa ni akina nani ni malaika waliyoasi au majini wabaya?
jamaa unachekesha haina mantiki swali lako hapa dunia hawa wanawapanda mpaka watu wanawehuka watu wanaita ''Mashetani " ila sio ni majini.
 
Huwa wanazaliana na kuongezeka au huwa malaika hadi wapo wanaoasi ndio huwa malaika wa Ibilisi?
Tuwaulize nyinyi wenzetu ambao mnaundugu nao wa damu kabisa.

Sisi tunajua pia kwa kuona kuwa Majini wote ni viumbe waovu. Wakimpagawa mtu ni kumtesa tu na kumharibia mipango yake.

Sasa ninyi wenzetu mtuambie hao Majini wema mnafanyiana wema upi ?

Majini mema wanafanya wema upi? Maana wenzetu mpo karibu nao, mtuambie.
 
Back
Top Bottom