Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Ngoja nikiweka Fiber
 
Nakuelewesha umesema qur an imecopy kama mtoa basi nikakumbia qur an imesadifu yaliyopita kweny ivyo vitabu vitatu, sasa nakuja nikasema biblia imechezewa nikakupa Aya kwamba mungu kaitwa mpumbavu nikasema hii limeongezwa.

Kwa nini nimejua kwa vile kama ingekuwepo kweny vitabu vile vilivyopota basi kweny qur an ingekuwepo maana inasadifu yaliyopita.
 
Kizuri ni kwamba akili hazifichiki na hazifekiki, kama hauna, hata ukijifanya unazo kiasi kipi, watu wakikuona tu wanajua kiwango chako..

Kama unazo, Hata ukijifanya hamnazo kiasi kipi ila watu wakikusoma tu watajua unazo kiasi kipi.
Ndo ivyo turudi kweny mchezo sasa ...maana nilishawahi kubishana na professor we sidhani hata kama diploma unayo!
 
Galileo alipelekwa mahakamani na akahukumiwa kunyongwa sababu ya kubishana na biblia kuhusu dunia kuwa duara
 
Nawakumbusha tu Mungu hana ushirika na binadam wala hajagawa utukufu wake kwa binadam......yupo kama ayupo tena ayupo kama yupo.............
 

Mkuu hapa hatujadili Mungu wa kweli.
Tunajadili hivyo vitabu viwili Biblia na Quran.

Yahwe na Allah wanaweza wasiwe kwenye orodha ya Mungu Mkuu MUWEZA WA YOTE.

Ila utata unakuwa pale Mungu WA waarabu Allah kufanya plagiarism Kwa mungu wa Wayahudi Yahwe.
Hapo ndipo utata ulipo
 
Nimeishi tanga nimeishi dar nimeishi kila mahali ambapo ndio waislamu wapo wengi sana .

Tunawajua kuishi nanyie ni shughuli kubwa sana .

Mnachuki za ndani kwandani
Mnalipiza visasi sana sijui kwanini .

Hampendani licha yakuwapenda wenzenu wakristo ukiwauzi tu kidogo aisee ni kali sana ukifua anaufua hata kama kafua kila kitu ukivaa vizuri lazima atawekea ni mabwana wamekununulia ukitoka zako tu kwenda kazini lazima wakutete anaenda kwa kazi gani hiyo inayomlipa atakusumbua hadi ulie kabisa.

Lazima☝️ ajenge hoja zakipumbavu tu au afanyevitu vyaajabu hadikero lazima umchoke uongee mpigane yaani
 
Kwahyo mimi nikiandika kitabu leo kinaitwa Kulwani halafu nikasema kinasadifu yote yanayopita na hiko kitabu kikampinga Muhamad, huo ndio utakuwa ushahidi wa kumpinga Muhamad?.

Ndiomaana nikakuambia weka Quran kitabu cha juzi pembeni tujadili biblia maana imekuwepo kabla ya Quran.

Je kama biblia imechakachuliwa, zile original zilizochakachuliwa ziko wapi?
Assume leo ni mwaka 300AD, Quran bado haijafikiriwa kutungwa, Je una ushahidi gani injili na zaburi za kwenye biblia zimechakachuliwa?
 
Nimeona umeongelea tabia za binadamu zaidi na sio uislamu maana hivyo vyote sio exclusively kwa Waislamu. Ongelea kisa kimoja hasa ambacho ulifanyiwa kisa tu wewe sio muislamu.
 
Hatari sana,ubaya ni kwamba sioni mleta mada akipingwa kwa hoja zaisi ya kupokea ballastic mesile kutokakwakina side
Ndio hivyo....hawa watu wana matatizo sana.
Inahitajika Tanzania elimu iwe lazima mpaka chuo. Ukibisha unafungwa jela.
 

Kwa Uelewa wako huo msahafu uliopo nyumbani wakati WA Mtume ulikuwepo?

Alafu ukimaliza kujibu Hilo swali naomba ujinu hoja mojamoja za Uzi huu. Ili wenzako waelewe.
Jibu Kwa mantiki Kama upo mahakamani
 
Nimeona umeongelea tabia za binadamu zaidi na sio uislamu maana hivyo vyote sio exclusively kwa Waislamu. Ongelea kisa kimoja hasa ambacho ulifanyiwa kisa tu wewe sio muislamu.
Sio wanadamu ni waislam ndio wengi wanatabia hizo asilimia 95%so elewa hivyoo .
Na kwanini mnachuki sana nawanadamu??
 
Nimeona umeongelea tabia za binadamu zaidi na sio uislamu maana hivyo vyote sio exclusively kwa Waislamu. Ongelea kisa kimoja hasa ambacho ulifanyiwa kisa tu wewe sio muislamu.
Dini haiongelei hizo tabia...lakini tambua Hizo tabia zipo uswahilini sana, na uswahili ndio kwa waislam wenyewe.

Inshort utamaduni wa uswahili ni mchanganyiko wa tamaduni za kiarabu na kibongo...sasa waliochukua tamaduni za kiarabu ni waislam.
 
Kuna ukweli, lakini ngoja waje wenyewe watoe majibu, maana wakali kama nyuki!

Ukiona mtu mkali kwenye kufafanua Jambo ujue hoja zake ni mfu. Yaani Hana hoja.
Ni Sawa na Mwalimu kilaza ambaye kila kosa anakimbilia kuchapa
 
Dini haiongelei hizo tabia...lakini tambua Hizo tabia zipo uswahilini sana, na uswahili ndio kwa waislam kwenyewe.
Inshort utamaduni wa uswahili ni mchanganyiko wa tamaduni za kiarabu na kibongo...sasa waliochukua tamaduni za kiarabu ni waislam.
Mwambie jamani
 
Qur an ni zama izi sasa hyo bible hata mussa haijui😂😂😂je Adam anaijua? Tutumie tu akili !!

Niambie kama unavyojua bible inamakoaa daily kule Italy wanamjadili jinsi ya kuibadilsha maana haiendani ..kwa hizi ngezi kwamba mapadre wasioe kweli?
 
Dini haiongelei hizo tabia...lakini tambua Hizo tabia zipo uswahilini sana, na uswahili ndio kwa waislam kwenyewe.
Inshort utamaduni wa uswahili ni mchanganyiko wa tamaduni za kiarabu na kibongo...sasa waliochukua tamaduni za kiarabu ni waislam.
Waarabu na wabongo wacha ujinga, waarabu ni advanced hizo ni tabia za kiafrica milele tu.

Sehemu watu wanalewa sana ni pa ovyo kuliko sehemu zote sehemu zenye mitaa ya ovyo patakuwa lazima na biashara za ngono, pombe za kienyeji, je kati ya ivyo vitu Kuna dini ina ruhusu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…