Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

TheStoryTimeFacts [emoji310]
Habari [emoji112]
Naitwa Erry Mars ni msimuliaji wa Historia,makala na simulizi
Nathamini sana mchango wako ndugu [emoji120],Naomba support yako nisaidie ku SUBSCRIBE na kugusa KENGELE kwenye channel yangu.[emoji120]
Link Bonyeza Hapa[emoji116]



Asante sana [emoji120]

Ngoja nikiweka Fiber
 
Mzee mimi sinaga tabia ya kuwa narukaruka mada naacha zingine zinaelea kama nyani.

Huko tutafika tu, tumalize kwanza tulilokuwa tunajadili
Nakukumbusha: tulikuwa tunajadili kuchakachuliwa kwa injili, zaburi na torati.

Umesema hivo vitabu vimeongezewa vitu na kupunguziwa kwenye biblia. Sasa ili ujue hayo inabidi uwe umeshavisoma original zake ukafanya comparisons.
Wewe original zake umezisomea wapi namimi nikazisome?

Mbona unaruka kitu rahisi kama hiko?
Huenda namm nikisoma hizo original nikagundua zile copy zake kwenye bible zimechakachuliwa, nitasilimu.

Vinginevyo kama hauna original, hata kama kwenye bible imeandikwa Mungu ni shoga itabaki kuwa hivyo huwezi kusema imeongezewa, imeongezewa kutoka wapi sasa?
Nakuelewesha umesema qur an imecopy kama mtoa basi nikakumbia qur an imesadifu yaliyopita kweny ivyo vitabu vitatu, sasa nakuja nikasema biblia imechezewa nikakupa Aya kwamba mungu kaitwa mpumbavu nikasema hii limeongezwa.

Kwa nini nimejua kwa vile kama ingekuwepo kweny vitabu vile vilivyopota basi kweny qur an ingekuwepo maana inasadifu yaliyopita.
 
Kizuri ni kwamba akili hazifichiki na hazifekiki, kama hauna, hata ukijifanya unazo kiasi kipi, watu wakikuona tu wanajua kiwango chako..

Kama unazo, Hata ukijifanya hamnazo kiasi kipi ila watu wakikusoma tu watajua unazo kiasi kipi.
Ndo ivyo turudi kweny mchezo sasa ...maana nilishawahi kubishana na professor we sidhani hata kama diploma unayo!
 
Galileo alipelekwa mahakamani na akahukumiwa kunyongwa sababu ya kubishana na biblia kuhusu dunia kuwa duara
 
Nawakumbusha tu Mungu hana ushirika na binadam wala hajagawa utukufu wake kwa binadam......yupo kama ayupo tena ayupo kama yupo.............
 
Utata ni mwingi sana.
Mungu wa kweli kama yupo na anapatikana kwenye vitabu hivi vya dini kwanini aliruhusu kitabu kingine kije ambacho ni cha uongo mfano kama bible ni ya kweli kwanini aliruhusu Quran ije ambayo inapotosha au kama Quran ni kweli Mungu kwa nini alishindwa kuiteketeza bible ambayo ni uongo!?
Licha ya hayo Mtu pekee anayeeeza kukwambia Mungu wangu ni wa kweli ni mwanadamu ambaye naye anasoma kitabu kinacho jieleza kuwa kimetokana na Mungu wa kweli iwe bible au Quran nje ya vitabu hivyo sina hakika kama kunasehemu unaweza kuthibitisha kuwa vitabu hivo ni kweli.
Ajabu nyingine pia katika vitabu vyote huwa kuna inaibuka makundi(watu) ambayo yana tafasri kwa hivyo vitabu kwa mtazamo tofauti na ule wa wengine na makundi hayo yakipata wafuasi yanakuwa madhehebu iwe kwenye ukristo au uislam ni maajabu.
Nacho fikiri kwa sasa huenda watu walionyuma ya hizi dini ambao ndio waanzilishi wa hizi dini wakirudi leo hii pengine kunavitu vingi wangebadilisha au ķuvipinga kwan vitakuwa tofauti na mitazamo yao au mitazamo yao itakuwa imebadilika.
Pia wafuasi wengi wa hizi dini hawajui hata misingi ya imani zao naona dini ni silaha hatari zaidi kuwahi kutokea.
Nime fuatilia kwanini afrika tuko tulivo hasa Tanzania sababu ni dini waislam wanawakaririsha Quran watoto wakristi wanawakaririsha biblia watoto na mwisho wa siku watoto waanamini sehemu pekee yenye umuhim ni mbinguni huko kuna raha zote na dunia ni sehemu sawa tu kwa chochote kitakachotokea.
Kwa wenzetu wanasayansi wakubwa wote tunaowasoma waliofanya makubwa ni watu waliokuwa wanashinda maabara au pengine kusoma kwao ndio ilikuwa tumaini lao la kwanza.
Naahangaa sana watu ambao wanaona kuwekeza katika sayansi ni kama kumkana Mungu wakati huo huo wanatumia technologia zilizo tengenezwa kwa kiasi kikubwa na wanasansi ambao wengi wao hawaamini katika hizi dini.

Mkuu hapa hatujadili Mungu wa kweli.
Tunajadili hivyo vitabu viwili Biblia na Quran.

Yahwe na Allah wanaweza wasiwe kwenye orodha ya Mungu Mkuu MUWEZA WA YOTE.

Ila utata unakuwa pale Mungu WA waarabu Allah kufanya plagiarism Kwa mungu wa Wayahudi Yahwe.
Hapo ndipo utata ulipo
 
We dada toka umeishi hapa Tanzania lini muislamu alikushikia kisu kukulazimisha akupende au umepanda daladala waislamu wakasema wakristo wawapishe siti.

Hizi chuki unazosema mostly ni hearsay speaks about your own experience na waislam kwa kutoa ushuhuda wako and elezea uhalali wa hiyo chuki kua ni exclusively tu kwa waislam.
Nimeishi tanga nimeishi dar nimeishi kila mahali ambapo ndio waislamu wapo wengi sana .

Tunawajua kuishi nanyie ni shughuli kubwa sana .

Mnachuki za ndani kwandani
Mnalipiza visasi sana sijui kwanini .

Hampendani licha yakuwapenda wenzenu wakristo ukiwauzi tu kidogo aisee ni kali sana ukifua anaufua hata kama kafua kila kitu ukivaa vizuri lazima atawekea ni mabwana wamekununulia ukitoka zako tu kwenda kazini lazima wakutete anaenda kwa kazi gani hiyo inayomlipa atakusumbua hadi ulie kabisa.

Lazima☝️ ajenge hoja zakipumbavu tu au afanyevitu vyaajabu hadikero lazima umchoke uongee mpigane yaani
 
Nakuelewesha umesema qur an imecopy kama mtoa basi nikakumbia qur an imesadifu yaliyopita kweny ivyo vitabu vitatu..sasa nakuja nikasema biblia imechezewa nikakupa Aya kwamba mungu kaitwa mpumbavu nikasema hii limeongezwa ..kwa nn nimejua kwa vile kama ingekuwepo kweny vitabu vile vilivyopota basi kweny qur an ingekuwepo maana inasadifu yaliyopita 😂
Kwahyo mimi nikiandika kitabu leo kinaitwa Kulwani halafu nikasema kinasadifu yote yanayopita na hiko kitabu kikampinga Muhamad, huo ndio utakuwa ushahidi wa kumpinga Muhamad?.

Ndiomaana nikakuambia weka Quran kitabu cha juzi pembeni tujadili biblia maana imekuwepo kabla ya Quran.

Je kama biblia imechakachuliwa, zile original zilizochakachuliwa ziko wapi?
Assume leo ni mwaka 300AD, Quran bado haijafikiriwa kutungwa, Je una ushahidi gani injili na zaburi za kwenye biblia zimechakachuliwa?
 
Nimeishi tanga nimeishi dar nimeishi kila mahali ambapo ndio waislamu wapo wengi sana .

Tunawajua kuishi nanyie ni shughuli kubwa sana .

Mnachuki za ndani kwandani
Mnalipiza visasi sana sijui kwanini .

Hampendani licha yakuwapenda wenzenu wakristo ukiwauzi tu kidogo aisee ni kali sana ukifua anaufua hata kama kafua kila kitu ukivaa vizuri lazima atawekea ni mabwana wamekununulia ukitoka zako tu kwenda kazini lazima wakutete anaenda kwa kazi gani hiyo inayomlipa atakusumbua hadi ulie kabisa .
Lazima☝️ ajenge hoja zakipumbavu tu au afanyevitu vyaajabu hadikero lazima umchoke uongee mpigane yaani
Nimeona umeongelea tabia za binadamu zaidi na sio uislamu maana hivyo vyote sio exclusively kwa Waislamu. Ongelea kisa kimoja hasa ambacho ulifanyiwa kisa tu wewe sio muislamu.
 
Hatari sana,ubaya ni kwamba sioni mleta mada akipingwa kwa hoja zaisi ya kupokea ballastic mesile kutokakwakina side
Ndio hivyo....hawa watu wana matatizo sana.
Inahitajika Tanzania elimu iwe lazima mpaka chuo. Ukibisha unafungwa jela.
 
Hoja yako ni dhaifu Mno na inaonesha ni kiwango gani usichojua unachokizungumza....

1. Muasisi wa jambo hawezi kuwa ndiye anayeelekezwa na wafuasi wake

2. Pia angejikita zaidi kijitukuza kwenye mambo yake..

3. Chain ya urithi na Utawala ungejikita zaidi kwenye kizazi chake... ikiwa ni pamoja na kuacha mrithi

4. Muda aliutumia MUHAMMAD Rehema na amani ziwe juu yake kama MTUME ni miaka 23 pekee lakini UJUMBE ALIOUSIMAMIA Umebobea kwenye utawala, thelojia, biashara, social norms, laws, military, geography, embryology, n.k kiasi kwamba no human being yeyote awaye anaweza au atatokea atakaye weza kuwa na ufahamu huo...

Kwa Uelewa wako huo msahafu uliopo nyumbani wakati WA Mtume ulikuwepo?

Alafu ukimaliza kujibu Hilo swali naomba ujinu hoja mojamoja za Uzi huu. Ili wenzako waelewe.
Jibu Kwa mantiki Kama upo mahakamani
 
Nimeona umeongelea tabia za binadamu zaidi na sio uislamu maana hivyo vyote sio exclusively kwa Waislamu. Ongelea kisa kimoja hasa ambacho ulifanyiwa kisa tu wewe sio muislamu.
Sio wanadamu ni waislam ndio wengi wanatabia hizo asilimia 95%so elewa hivyoo .
Na kwanini mnachuki sana nawanadamu??
 
Nimeona umeongelea tabia za binadamu zaidi na sio uislamu maana hivyo vyote sio exclusively kwa Waislamu. Ongelea kisa kimoja hasa ambacho ulifanyiwa kisa tu wewe sio muislamu.
Dini haiongelei hizo tabia...lakini tambua Hizo tabia zipo uswahilini sana, na uswahili ndio kwa waislam wenyewe.

Inshort utamaduni wa uswahili ni mchanganyiko wa tamaduni za kiarabu na kibongo...sasa waliochukua tamaduni za kiarabu ni waislam.
 
Kuna ukweli, lakini ngoja waje wenyewe watoe majibu, maana wakali kama nyuki!

Ukiona mtu mkali kwenye kufafanua Jambo ujue hoja zake ni mfu. Yaani Hana hoja.
Ni Sawa na Mwalimu kilaza ambaye kila kosa anakimbilia kuchapa
 
Dini haiongelei hizo tabia...lakini tambua Hizo tabia zipo uswahilini sana, na uswahili ndio kwa waislam kwenyewe.
Inshort utamaduni wa uswahili ni mchanganyiko wa tamaduni za kiarabu na kibongo...sasa waliochukua tamaduni za kiarabu ni waislam.
Mwambie jamani
 
Kwahyo mimi nikiandika kitabu leo kinaitwa Kulwani halafu nikasema kinasadifu yote yanayopita na hiko kitabu kikampinga Muhamad, huo ndio utakuwa ushahidi wa kumpinga Muhamad?.

Ndiomaana nikakuambia weka Quran kitabu cha juzi pembeni tujadili biblia maana imekuwepo kabla ya Quran.
Je kama biblia imechakachuliwa, zile original zilizochakachuliwa ziko wapi?
Assume leo ni mwaka 300AD, Quran bado haijafikiriwa kutungwa, Je una ushahidi gani injili na zaburi za kwenye biblia zimechakachuliwa?
Qur an ni zama izi sasa hyo bible hata mussa haijui😂😂😂je Adam anaijua? Tutumie tu akili !!

Niambie kama unavyojua bible inamakoaa daily kule Italy wanamjadili jinsi ya kuibadilsha maana haiendani ..kwa hizi ngezi kwamba mapadre wasioe kweli?
 
Dini haiongelei hizo tabia...lakini tambua Hizo tabia zipo uswahilini sana, na uswahili ndio kwa waislam kwenyewe.
Inshort utamaduni wa uswahili ni mchanganyiko wa tamaduni za kiarabu na kibongo...sasa waliochukua tamaduni za kiarabu ni waislam.
Waarabu na wabongo wacha ujinga, waarabu ni advanced hizo ni tabia za kiafrica milele tu.

Sehemu watu wanalewa sana ni pa ovyo kuliko sehemu zote sehemu zenye mitaa ya ovyo patakuwa lazima na biashara za ngono, pombe za kienyeji, je kati ya ivyo vitu Kuna dini ina ruhusu?
 
Back
Top Bottom