Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Yesu na mtume wote hawakufanikiwa sehemu zote za dunia kutokana na hali iliyopo just imagine miaka hii ya 2022 kuna baadhi ya maeneo km mbande,chanika,bagamoyo kuna mipori,mistu ya kutisha vp wkt huo,kwa nchi km Australia,na izo ambzo umeztaja hpo juu midle east ndio kitovu cha kila kitu kwa ulimwengu wote.
 
Cheki ulivyo mnafik unaijua Quran wewe usingeongea utumbo wako hapo juu soma vzuri biblia achana na Quran kafiri wewe,fata procedure jinsi Quran ilivyoandikwa tofaut na Bible ilivyoweza kugeuzwa na kufanyiwa editing kweny baadhi ya Paragraph zake.
 
Kwanini Quran sio kitabu cha Hearsay?
Kwani Muhamad alikuwepo kipindi cha Yesu?
Mbona anaongelea habari za Yesu?
Sisi ktk proofings hatuangalii Hoja dhaifa km za mleta mada...maandishi yote tunayosoma ni Hearsay iwe historia,kemia au laws mpk somo letu la kiswahili Lina Hearsays....

Quran ,Biblia nk. Vyote vina hearsay...Hoja hapa Ni je upi mfumo sahihi wa maisha ulioelezewa na hivyo vitabu viwili?

Jibu Ni moja TU uislamu Ni mfumo wa maisha uliotimia kuliko ukristo...
 
Mbona ueleweki sasa
 
Hapa hatubishanii Ukristo wala uislam tunaangazia vitabu hivyo viwili ambavyo navitumia vyote.
Hata waislam wakubwa mahiri wote wanatumia Biblia Kama rejea kuu.
Hatujadili dini Mkuu
Wewe jamaa muongo Sana, sisi waislamu tunaamini ktk Biblia lkn sio Martin Luther King.

Wekeni agano la kale tujadili pamoja. Na kwann agano la kale limepigwa pin na kufungiwa ndani huko ancient Ugiriki?
 
Injili nne za kina Luka, Marko, Matayo na Yohana. Zimeandikwa na nani ? Thibitisha kama hao wanaonasibishwa nazo ndiyo waandishi ?

Marko alimuona Yesu ? Aliishi zama za Yesu ? Aliwaona wanafunzi wa Yesu ? Hizi habari alizipata wapi ?
Mtu anayesema Mtume Muhammad (Swalla Allahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam) alikuwa anatokea kabila la Wakurdi

Surah ya Yusufu Myahudi isimuliwe na Muhammad Muarabu wa Makka wa kabila la Wakurdi
Mtu ambaye anasema Malakul Mawt anaitwa Izrael na sababu ya kuitwa hivyo ni eti uhasama wa waarabu na wayahudi.

Eti mtu huyu anataka kujibiwa hoja zake. Hoja gani? Anatakiwa asome kwanza. Huyu mtu nimegundua kuna watu wanamkuza kumuweka mahali isiyo yake naye ameghurika.

Maswali uliyomuuliza hatoweza kuyajibu (na sidhani kama kayaelewa kwanza) ila katika kubainisha kwake na kwa wenzie ni muhimu sana waulizwe. Huenda Allah akawaongoza.
 
Muda aliutumia MUHAMMAD Rehema na amani ziwe juu yake kama MTUME ni miaka 23 pekee lakini UJUMBE ALIOUSIMAMIA Umebobea kwenye utawala, thelojia, biashara, social norms, laws, military, geography, embryology, n.k kiasi kwamba no human being yeyote awaye anaweza au atatokea atakaye weza kuwa na ufahamu huo...

Inatosha.
 
Huu upuuzi wa wajinga kuijadili Quran tukufu sijui utakoma lini. Yaani mpumbavu tu mmoja anajifanya anaijua Quran. Damn u. Clumsy fool
 
Ona Huyu naye ...umefundishwa na Nani kujibu matusi ??
 
Majina ya Majini.

Zumaridi
Zulfa
Zaharani
Maimuna
Popobawa
Chausiku
Lewiethani
Legioni
Lutta
Uza
Manata
Harut na Marut wanaofundisha uchawi kwa waislamu.
Jini Mahaba

Jini Allah
Nk.
Akili fupi punguza konyagi
 
Wasipoelewa na hapa hasa mleta Uzi na wavaa rozari wenzake Basi tambua ..wanashida mahali.
 
Ntakupa baadhi ya hints biblia imeandikwa kupotosha sio kitabu cha mungu ..ndani ya biblia hakuna neno ukristo ni dini, hakuna sehemu kwamba yesu ni mungu ,Kuna sehemu mungu kaitwa

MPUMBAVU weka hints
 
Biblia haijaandikwa na mtu mmoja ama jamii moja.. ni collection of books kutoka kwa watu tofauti tofauti.

Biblia imeunganishwa vitabu vya waandishi wengi kwa zaidi ya miaka 1600
Hii hoja hata ingeandikwa na vitabu vingapi ni kitabu kilichofanyiwa collection tyr
 
Injili nne za kina Luka, Marko, Matayo na Yohana. Zimeandikwa na nani ? Thibitisha kama hao wanaonasibishwa nazo ndiyo waandishi ?

Marko alimuona Yesu ? Aliishi zama za Yesu ? Aliwaona wanafunzi wa Yesu ? Hizi habari alizipata wapi ?
Uzi ufungwe wavaa Rozari wameamua kuukimbia Uzi Unique Flower Karibu katka uislamu hautojutia mummy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…