Hhhhhhhhhhhh baada ya kukubana kule na hoja zetu ukakimbilia kuanzisha uzi wako hhhhhhhhhh
Maria Nyedetse amekukamata na hoja zake umemkimbia
Naomba kama kweli ni mjuvi kama unavyojinasibu utoke kwenye GENERAL UENDE KWENYE SPECIF....
Lakini pia NAKUSHANGAA UNAVYOITOA BIBILIA KUTOKA MANENO YA MUNGU KUWA MASIMULIZI YA WATU KAMA YALIVYOWATOKEA... JE UNATAKA KUWEKA KWENYE MIZANIA MASIMULIZI YA WATU NA MANENO YA MOLA MLEZI AKIELEZEA JINSI ALIVYOWAANGAMIZA WALIOMKADHIBISHA AU ALIVYOWANUSURU WALIOMWAMINI
KAMA IBRAHIMU DHIDI YA KUCHOMWA MOTO, NUHU DHIDI YA GHARIKA AU MUSSA DHIDI YA FIRAUNI AU YESU DHIDI YA KUSULUBIWA? lakini Mola Mlezi haishii kusimulia tu BASI ANATOA BISHARA KWA YETU ATAKAYECHUKUA NJIA YA KUNDI LOLOTE KATI YA HAYO YALIYO PITA BASI AJUE KABISA NDIVYO YATAKAVYOKUWA MAFIKIO YAKE SAWA NA HAO WALIOPITA....
Lakini TOFAUTI na visa na matukio ya waliopita MOLA MLEZI AMEELEZA MAADA MBALIMBALI KWENYE QUR'AN KAMA;
1. Embryology rejea SURATUL muuminun aya za mwanzo
2. Akaelezea uumbaji wa mbingu na ardhi, mabadiliko ya usiku na mchana kama ishara ya uwepo wake...
3. Akaelezea masuala ya sheria kama MARRIAGE yupi na yupi wanaweza kuoana na yupi na yupi hawawezi kuoana, akaelezea masuala ya mirathi wanaopasa kurithi mpaka na viwango vyao,
4. Ameelezea masuala ya biashara na vilivyokatazwa katika biashara..
5. Ameelezea hali ya siku ya HUKUMU na watakavyokuwa watu siku hiyo....
6. Ameeleza juu ya HUKUMU ya vitu ZAKA NA MAKUNDI YANAYOPASWA KUPEWA HIYO ZAKA TOFAUTI NA BIBILIA AMBAYO HUWEZI KUPATA MGAWANYO HUO NA MATOKEO YAKE ZAKA NI YA VIONGOZI PEKEE...
7. Kwenye QUR'AN MOLA MLEZI Ameonya juu ya tabia mbaya kama UNAFIQ na mafikio yao, upunguzaji wa mizani katika mauziano, Uchawi n.k LAKINI HUWEZI KUKUTA VITU HIVYO WITH CLARITY AND CONSISTENT kwenye BIBLE...
8. Ameelezea mitume waliopita, mitihani walioipata kutoka kwa watu wao, yakini yao kwa Mola Mlezi na jinsi alivyowaokoa na MADHILA LAKINI PIA ANATOA BIDHARA KWETU SISI... Je unataka KUWEKA KWENYE MIZANI NA BIBILIA AMBAYO ndani anasimuliwa Mitume kwa uovu kama IFUATAVYO:
1. Abraham anatuhumiwa uzinzi
2. Nuhu anatuhumia Ulevi [Alcoholism]
3. Luti anatuhumia kuzini na binti zake
4. Daudi kuzini na mke wa kamanda wake na kumuua mwenye mke..
Uhalisia wa mambo hata tungechukua sample za matukio na kuyalinganisha kama yalivyosimuliwa na vyanzo vyote viwili utagundua kimoja hakiko consistent wala facts based na kingine simulizi ziko very clear, consistent and facts based...
1. Mfano nikikuambia lete simulizi ya Yusuf Alayhim Salam kama ilivyosimuliwa kwenye bibilia na kwenye Qur'an utaona utofauti
2. Malezi ya Maria mama wa Yesu, baba yake, mama yake, mlezi wake baada ya kufa kwa wazazi wake Mtume wa Allah Zakariah, miujiza yake kama kupokea chakula kutoka peponi/mbinguni, kuzaliwa kwa Yahaya, kuzaliwa kwa Yesu, miujiza ya Yesu kuwasemeza watu akiwa KICHANGA yako very clear, consistent na facts based kuliko unavyoweza kuyapata kwenye bibilia.
3. Matukio kama vijana wa pangoni na miujiza ya muda waliokuja pangoni, idadi yao na mbwa wao angalia kwenye BIBILIA na JINSI YALIVYO KWENYE QUR'AN ni mbingu na ardhi...
LAKINI PIA MPANGILIO WA MANENO YA BIBILIA NA QUR'AN:
1. Bibilia inajumuisha records za matendo na maneno ya Yesu pamoja na Maneno ya watu wengine KAMA MTUME PAULO ambyo sii maneno ya Yesu wala ya MUNGU lakini QUR'AN NI MANENO YA MOLA MLEZI KILA SURA INAANZA KWA JINA LAKE NA NANI MOLA MLEZI ANATUZUNGUMZISHA SISI WANAADAM
Note: USISOMA SURA YA 53 [NAJM] Mola Mlezi anaeleza haya HAYAKUWA NI MASIMULIZI YA MUHAMMAD ila ni WAHAY utokao Kwake YEYE
Nimechoka ngoja nifanye majukumu MENGINE