Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Umesikia au umesoma mahali iyo Allah kwa wingi? Ndio nasikia kwako .
 
Hata kama huko kuna kwenu kuna maelezo ya kutosha ukihoji unajibiwa bado kuna mambo ya ajabu kupitiliza kuliko ukristu. Hata kwa bunduki siendi kwenye uislam.
 
Nukuu

"Bali yapo mambo huweza kupelekwa mahakamani kama kutaka uthibitisho, ukweli, mbali na haki"

Tuende hivyo hivyo na tumuulize jaji iwapo atapokea ushahidi wa Quran ulioleta.

Jaji anaingia mahakamani.

Quran kama mshitakiwa anaanza kujenga hoja.

(AL - MAIDA - 116)
Na pale Mwenyezi Mungu atakapo sema: Ewe Isa bin Maryamu(YESU)! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu? (Na Isa) atasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hainifalii mimi kusema ambayo si haki yangu. Ikiwa nilisema basi bila ya shaka umekwisha yajua. Wewe unayajua yaliyo ndani ya nafsi yangu, lakini mimi siyajui yaliyo katika nafsi yako. Hakika Wewe ndiye Mjuzi mkubwa wa yaliyo fichikana.


Suali; anaulizwa Mshitaki.

Ni wapi yesu kasema "Mimi Yesu, Mimi Mungu.

Jibu kwa kutumia matukio yaliyotokea
 
Kwa
Hata kama huko kuna kwenu kuna maelezo ya kutosha ukihoji unajibiwa bado kuna mambo ya ajabu kupitiliza kuliko ukristu. Hata kwa bunduki siendi kwenye uislam.
Kwa sababu umezaliwa katika ukristo
 
ANDIKO NDANI YA BIBLIA YENYEWE... NDILO LINALOHITAJI... SIO BLAA BLAA HIZO...
17 Lakini Yesu akawatazama, akawaambia, β€œMaandiko haya Matakatifu yana maana gani basi? Jiwe walilokataa waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi!
Soma pia Luka 4 yote.

2 Timotheo 3:16
Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;

Alafu kamalizie Joshua 1:1-12
 
Kwa

Kwa sababu umezaliwa katika ukristo
Hata ningezaliwa uislam kwa akili yangu hii nisingeuelewa. Nimezaliwa mkristu mbona sijauelewa hadi sasa?

Hizi dini mbili ni za kipuuzi na za kibinafsi...hawajui kama kuna watu wanaoabudu mti na ni mungu wao...watamuona mshirikina.

Mungu mwenyewe haeleweki anatuchanganya tu hadi tunauana kisa imani. Kama sio upuuzi ni kitu gani hiki
 
Makubadhi ni sandal, na Kipedo huwa wanamaanisha nguo ambazo zipo chini ya goti.
Sasa hizo sendos mbona tuna vaa hadi tusio waislamu lakini when it comes to religion debate kubazi zinakuwa kama ni utambulisho wa waislamu pekee?
 

Biblia hakuna sehemu inayomtaja Mariam kama mungu, unachojaribu kukieleza Wewe na hiyo Quran yako ni kile walichonacho Wafuasi WA Kikristo na sio kilichomo kwenye Biblia.

Waliopelekwa mahakamani sio Wakristo au waislam Bali ni vitabu viwili Biblia na Quran.

Hoja ya bikra Maria kuaombewa au kufanyiwa mungu haipo kwenye Biblia yoyote Ile unayoijua. Hivyo hoja zako ni mfu hasihusiani na hoja zilizotolewa hapo juu.

Nilitegemea utapangia hoja moja baada ya nyingine katika ya zilizotolewa.
 
Allah alivyo mkubwa alijua Kuna vilaza nyoyo zao migumu Kama miamba tuwaambie hivi " nyinyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu wala atuwafosi tunacho abudu
 
Baki na Imani yako.
 
Ukisema kuteremshwa mna maana gani?
 

Ndio maana nikakuambia Quran hauwezi kuwa kitabu cha Rejea, afadhali umeniongezea hoja ya Saba hapo.

Quran haiwezi kukua pande zote WA wahusika/mitume Kwa sababu muandishi wake hajawahi kuwaona wahusika wenyewe, na hajui eneo waliokuwa wanaishi kijiografia.
Kitendo cha kusema tuu mitume wa jitahidi walikuwa na upande mmoja wa wema tuu kinadhihirisha kuwa Quran haiwezi kuwa kitabu cha rejea.

Biblia ipo wazi inaelezea bila kuficha pande zote mbili za mtu. Kumbuka Binadamu sio Malaika hivyo lazima akosee.
Na makosa yake yanapimwa kwenye sheria.
Kuanzia Abrahamu mpaka mitume wote wanadhambi na Biblia imeweka hayana makosa Yao.

Sasa Quran Kwa vile anayesimulia anahadithia hadithi asizozijua ni rahisi kupuyanga
 
Umesikia au umesoma mahali iyo Allah kwa wingi? Ndio nasikia kwako .
Hii ni hatari kubwa,kitu umeandika mwenyewe na yumkini wewe ndiye unayekijua zaidi halafu tena unakikataa?

Post yako uliyoyazungumza hayo hii hapa, ikiwezekana nifundishe nielewe

 

Kama hujasoma dini na hujui masuala ya kisheria huwezi elewa lolote humu.

Ila mtu aliyesoma sheria hata Kama hajasoma dini hoja zilizotolewa zinaweza kumpa picha halisi ya vitabu hivyo viwili na kutoa maamuzi ya kisheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…